ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
- Thread starter
- #121
Usikate tamaa i hope siku moja utatupa ushuhuda wako humu jf.Daaah,,,mwaka wa nne huu tangu niweke vyeti vyangu chini ya godoro. Ndoto zangu na nilichokisomea haviendani na hata ninachokifanya sasa nacho hakijulikani yani basi tu kikubwa nahema.