Tena yale manguo ni bei mbaya,Bora ya suruali na brauzi ukiwa na 20 ukienda karume unapata na viatu,Hata mimi nilikuwq nawaona hivyo, ni kama mmekosa nguo za kupangilia kwa hiyo mmepiga linguo la moja kwa moja. Kumbe sio
Their mantra is fake it untill it become real, and it works brethren ila consistency ndo muhimu maana kuna kugundulika kabla hujawa tajiriThe goal is to be rich not to look rich.
HUwa naiwahi sana chief..halfu leo nilikua na forester ya jamaa mmoja kwahyo nilikua nayo kuvimbia kidogoUmechelewa Shule ya Sabato.
Ukaingia kwenye chumba chako cha af 70 na kuanza kulia[emoji1787]
🤣Kwa msiopajua makutano hii ni umbali wa Mwanza mjini mpaka Geita ndio Mkuu wetu OKW BOBAN SUNZU ame mind mpaka anadai kupqnda boda distance hiyo😂,nimechekaNimekwambia sikushukia huko, jamaa una mambo ya kike sana. Haya nilishukia Makutano nikaja na boda. unasemaje sasa
Yule demu aliponipa mzigo tako tatu wadhungu hao. Nikasingizia sijala ngoja nile nimpe show za WWE John cena you can't see mee. Nikala chips ndizi mishikaki. Nikampq romance kupima oil naona huyu kashaiva nikachomeka kupiga take tatu wajapan hao. Nikaona sasa hapa mbona kazi sana. Nikaona ngoja nizuge zuge kuangalia vipindi vya wanyama kwenye TV. .
Alipoamka nikaona nitumie nafasi hii kumuonyesha show ya kibabe. Kupiga tako nyingine tani aisee wazee hawajakosea siku ya kufa nyani kweli miti yote huteleza. Kupiga tako nikajikaza yani kufika tako ya tano tu tena nimejikaza nikawa na uma na meno wahindi haoo. Aisee what an embarrassing day.
Kurudi kwenye mada, ili kurudisha heshima nikamuliza demu hivi unaishi wapi? Akajibu magomeni nimepanga chumba elfu 70. Nikaanza kujiongelesha hapa inabidi upange sinza chumba laki na hamsini. Nataka nikukipie kodi ya miezi kumi. Kwanza kabla sijasahau shika hii laki. Ukifika nyumbani nakutumia hela nyingine ununue vitu vya nyumbani hiyo laki ni nauli tu. Hata samsung unayotumia sio simu ya maana nakununulia iphone.
Alipoondoka na laki yangu nikatupa line nikasajili line nyingine kwa mpita njia. Huyu dada tulikutana kwenye mwendokasi. Hata mwendokasi sipandi tena nawasiwasi naweza kukutana nae huko [emoji51][emoji51][emoji51]
Niwe na pesa au nisiwe nazo, uhuru wangu na kujitambua mwenyewe nataka nini ni muhimu kuliko kujali nitaonekanaje na walimwengu wanataka nini.
Kama heshima yako inalindwa na pesa, huna heshima, hiyo ni gharama tu.
Nina tabia ya kutoa pesa kumaliza shida, si kutafuta heshima.
Pia, hata kama unajali walimwengu wanakuonaje, unaweza kufikiri unaweka heshima kwa kutumia pesa kubwa, halafu watu wakakudharau kwa kukuona mjinga huna pesa halafu unajitutumua kujionesha unazo.
Unanunua dharau kwa bei kubwa.
Dah mlitisha Sana mabaharia 😁😁Ilinitokea miaka hiyo nikiwa sekondari, siku moja asubuhi(mimi na ndugu yangu) tumetoka kwa sista. Sista alikua na safari ya nairobi kwahiyo ikatulazimu turudi nyumbani mkoani kwakua alihofia kutuacha wenyewe. Tukapewa nauli na baada ya kuona hela tukaona hatuna muda wa kupoteza tukaaga mbio mbio hata chakula hatukula tuliona kitatuchelewesha.
Tukafika town tukashauriana tuingie mahali tuchambe koo na juice plus kuku kidogo then tuamshe. Tulifika na kupokelewa na pisi moja ya kimbulu kali sana(huu ndio ugonjwa wa huyu ndugu yangu mpaka kesho alafu ni mbishi akitaka jambo lake lazima liwe). Nikamnong'oneza ndugu yangu hapa bei zao sio size yetu tumevamia kambi tutafute sehemu nyingine, mwamba akagoma akasema pesa si ipo leta vitu. Nikaagiza juice, inakuja juice naona na misahani shazi, nikauliza kiuwoga nikajibiwa huwa wanauza special package(hapa tulipigwa plus ushamba). Tukaulizwa turudishe au mtakula? Ndugu yangu akaropoka tutakula mbona ni jambo dogo sana, basi tukala tukamaliza bili inakuja hatukubaki hata na nauli, tulivyotoka hapo nilikua kama bubu kimya tulitembea hadi kwa dada tulivyofika tukamwambia asijali sisi tutabaki tu hamna shida, alituelewa 😂😂 sitosahau hiyo siku niligongwa na mvua sana.
We uko kama Mimi Tu,unajua wakati mwingine ili kuondoa aibu ndogo ndogo ni Bora ujue bei mapema kuliko kuja kutukanwa baadae,kuna sehemu soda 1,000 kwengine 6,000 na 8,000 haya ndo umejichanganya kwenye buku 8 hlf huna hiyo hela si aibu hiyo?Mie nimejiwekea ka utaratibu kakuuliza bei Kwanza sikurupuki aisee,
Nilijichanganyaga siku moja nilikuwa na wenge,
Nilikuwaga Safari nikanunua korosho nilitoa buku ten,akanirudishia buku moja,nikatulia Kwanza nikajua kafuata chenji,. Nikatulia kwenye benchi nikaona kimya hatokei,nikamfuata nikamuuliza hizi ni buku Tisa?? Akasema ndio
Nikamwambia hatukuelewena nahitaji za buku,hahahaha nashukuru alinielewa akanirudishia pesa yangu,
Japo niliumia pia hizo za buku hata kumi hazikufika,
Kabisa nikitu kizur sema watu wanaona aibu.We uko kama Mimi Tu,unajua wakati mwingine ili kuondoa aibu ndogo ndogo ni Bora ujue bei mapema kuliko kuja kutukanwa baadae,kuna sehemu soda 1,000 kwengine 6,000 na 8,000 haya ndo umejichanganya kwenye buku 8 hlf huna hiyo hela si aibu hiyo?
Na hii nilijifunza hata Kwa wazungu huwa wanauliza bei Sana,siku moja tulitoka nao out Yani wanauliza bei fresh Tu, kwahiyo ndio nikazidi kupata hamasa ya kuuliza kabla ya huduma
[emoji23][emoji23]Nilikua na 2000 tu alaf dem wa chuo nlietoka kumtongoza siku km 3 nyuma akaniambia hana vocha, nikasema mmh uyu nikimuonyesha unyonge mapema itakua jau, nikamuungisha bando la 1500 uku m nikabaki nawaza ntakulaje iyo siku.
Ni kutojiamini Tu chief, ni kubadilisha Tu hizi Tabia ambazo hazina maanaKabisa nikitu kizur sema watu wanaona aibu.
Mie nijue bei Kwanza,habari za kujutia siwezi,We uko kama Mimi Tu,unajua wakati mwingine ili kuondoa aibu ndogo ndogo ni Bora ujue bei mapema kuliko kuja kutukanwa baadae,kuna sehemu soda 1,000 kwengine 6,000 na 8,000 haya ndo umejichanganya kwenye buku 8 hlf huna hiyo hela si aibu hiyo?
Na hii nilijifunza hata Kwa wazungu huwa wanauliza bei Sana,siku moja tulitoka nao out Yani wanauliza bei fresh Tu, kwahiyo ndio nikazidi kupata hamasa ya kuuliza kabla ya huduma
Jamaa yangu anabishania vitu vya kijinga. Topic ni kujimwambafai yeye anakomaa na nauli ya boda 🤣🤣🤣🤣Kwa msiopajua makutano hii ni umbali wa Mwanza mjini mpaka Geita ndio Mkuu wetu OKW BOBAN SUNZU ame mind mpaka anadai kupqnda boda distance hiyo😂,nimecheka
[emoji1787] [emoji1787]Mimi ndo nipo nasumbua ndugu hapa wanikopeshe walau alfu kumi.
Hii ni baada ya kulipia bili za watu wote niliowakuta mgahawani jana
Kwa tsh 86500.
Ni stori ndefu kidogo lakini tu kiufupi dharau zinaumiza sana.
Unaambiwa msosi buku 10, unaamua kuondoka. Fikiria watu wanakuchora umeondoka kwa sababu umeshindwa gharama. Daaah noma 🤣🤣🤣Mie nijue bei Kwanza,habari za kujutia siwezi,
Et ki Bob Marley😅😅😅Mimi miaka kama 10 iliyopita nilitumwa dawa za 250,000/= za famasi, duka wamefunga nikawaambia home dawa hadi kesho wakasema hela nikae nayo hadi kesho, jioni saa moja nimeenda Bar ya kibosi kuangalia mpira Wa arsenal,Ghafla nakuta warembo wawili wabishi watoto wa mjini na jezi zao za the Gunners,tunafahamiana nikasema usinitanie,zikaanza gambe pombe na Ng'ombe,kabla dakika 90 hela imeisha..hah hata hela ya bodaboda sina,,nikatembea ki Bob marley..nikazima simu siku mbili ili home wasinisumbue...tangu hapo sijwahi kutumwa dawa...