Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
🤣🤣🤣🤣🤣Mimi na mshikaji wangu tulikuwa na tabia ya kuopoa totoz za chuo kila weekend tunaenda kula bata.
Siku moja tupo kiwanja, wakajipendekeza marafiki wa mademu zetu na wao walikuwa kiwanja hicho, na walikuwa pisi kali kwelikweli, tukaona ngoja tuweke heshima ili na wao tuwaburuze kimasihara...
Tulitumia sana.. tukachukua usafiri kuwarudisha, muda wa kulipa nauli ndio mshikaji wangu alipoharibu hali ya hewa..
Alijisachi akapata mshituko akasema kwa nguvu MUNGU wangu nimekula hela ya kodi sijui nitamueleza nini yule mzee, wale mademu wakabaki wanashangaa.
Heshima ikawa fedheha
ChaiNilifika kwenye bar mojaa kijiweni 2022 mwanzoni
Kufika kutoa salamu kwa jirani zangu hawakuniitikia salamu kutokana na kuonekana mlugaluga tu
Sasa nilienda na bodaboda sikuhiyo
Nikala msosi wa 4,000 kwa kutoa 2000 mfuko wa nyuma na iliobaki mfuko wa mbele
Wadau na warembo wananiangalia marakwa mara nikitabasamu wananicheka kuona sio level zao
Kilichofuata
Kesho yake jumapili nikawakuta wanakunywa kijiwe kile kile
Kwanza kutokana na gari kuwa gerage, fundi alinipa gari nyingine nitumie kama siku tatu,
Kufika bar kwanza kuanzia mbali wanaangalia nani atakaeshuka
Nikashuka kilugaluga kama kawaida
Nikakaa karibu yao ,
NILIPEWA SALAMU NA WAO , wahudumu wakawa wanapishana kwangu ,
ILI KULINDA HESHIMA NISIONEKANE NABAHATISHA NIKATOA OFA KWA WAHUDUMU WANNE BIA 20 , kitimoto kilo 3
na wadau wangu walipokuja nikanunua hia meza za jirani walioonesha dharau
Nilichafua meza zote za karibu pale
Nilinunua bia zaidi ya 70
Nilispend karibu 360,000 wakati ni hela ya fundi na nilikuw na matatizo ya cash wiki hio,nikajitoa ufahamu tu
Baada ya hapo boss wangu akaja nae kuunga mkono juhudi
Bos wangu alimwaga bia na rafiki zake. Bill ikafika 680,000 zaidi
Jumla ya bill tulilipa mil 1.3 plus hadi kunakucha
Baada ya hapo NASHANGAA BAADHI YA WAHUDUMU NA KUNDI LA WANYWAJI WALIOKUW WANADHARAU VIJANA NIKIKUTANA NAO WANANIAMKIA
MTU MNARINGANA UMRI ANAKUAMKIA SERIOUS????????
Dharau ni mbaya sana, zitakuaibisha siku moja, nimekutana na mikasa kedekede na uzuri mimi ni raia wa wakawaida kwahiyo sioni taabu kuchukuliwa poa
ChaiMimi ilikuwa sio kuleta heshima ila ilikuwa sifa.iko hivi nilienda dodoma kwenye harusi ya sista nilikaa meza moja na pisi kali 2 ukafika muda wa kuchangia bibi harusi kulikuwa na phase mbili,phase ya kwanza ilikuwa kikapu kinapita kwenye kila meza yoyote anaweka alichonacho'muda ule nilikuwa nipo tungi balaa kutaka kuonyesha sifa mfukoni nilikuwa na laki 8 nikawa naweka narusha rusha elfu 10 kwenye kapu mpaka laki 8 yote ikaisha.
Baadae wale wadada wakaniambia weee kaka pesa zote umetoa wapi mbona umechangia hela nyingi hivyo!! Nikawaambia kawaida kisha nikawapotezea.
Ikaja phase 2 kwenda kumtunza bibi harusi pale mbele ili kuonesha sifa nikaenda ATM nikatoa mil 1.5 pisi kali moja ikanishauri sana nisiende kuchangia tena pesa nilizotoa awali zinatosha.
Baada ya harusi kuisha asubuhi nikajikuta nipo room yenye muonekano kama hostel kumbe yule sista nilivyozima alinikokota mpaka chuoni kwao alikuwa ni mwanafunzi wa udaktari md5 akanikabidhi pesa yangu 1.5mil alizitunza coz nilikuwa tungi sana..kifupi huyo dada ndio mke wangu hivi sasa..sifa zilinisaidia kupata mke bora aliyekuwa yupo sealed
Mbaya sana. Wife wangu kipindi cha uchumba siku ya kwanza nilishindwa kusimamisha kabisa. Nilijua nini kilisababishatako tatu mbona safi tu mkuu, kuna siku libolo haliamki kabisa yaani shika huku shika pale wapi, limetulia tuliii, hahahaha haya mambo ukipania sana unaharibu
Mbaya sana. Wife wangu kipindi cha uchumba siku ya kwanza nilishindwa kusimamisha kabisa. Nilijua nini kilisababisha
Baada ya kulia lia naona mods wamebadilisha jina today manara kwenda mara 😃Mark!.....I'll be back
Mkuu shusha nondo, hizi stories napenda sanaNilifika kwenye bar mojaa kijiweni 2022 mwanzoni
Kufika kutoa salamu kwa jirani zangu hawakuniitikia salamu kutokana na kuonekana mlugaluga tu
Sasa nilienda na bodaboda sikuhiyo
Nikala msosi wa 4,000 kwa kutoa 2000 mfuko wa nyuma na iliobaki mfuko wa mbele
Wadau na warembo wananiangalia marakwa mara nikitabasamu wananicheka kuona sio level zao
Kilichofuata
Kesho yake jumapili nikawakuta wanakunywa kijiwe kile kile
Kwanza kutokana na gari kuwa gerage, fundi alinipa gari nyingine nitumie kama siku tatu,
Kufika bar kwanza kuanzia mbali wanaangalia nani atakaeshuka
Nikashuka kilugaluga kama kawaida
Nikakaa karibu yao ,
NILIPEWA SALAMU NA WAO , wahudumu wakawa wanapishana kwangu ,
ILI KULINDA HESHIMA NISIONEKANE NABAHATISHA NIKATOA OFA KWA WAHUDUMU WANNE BIA 20 , kitimoto kilo 3
na wadau wangu walipokuja nikanunua hia meza za jirani walioonesha dharau
Nilichafua meza zote za karibu pale
Nilinunua bia zaidi ya 70
Nilispend karibu 360,000 wakati ni hela ya fundi na nilikuw na matatizo ya cash wiki hio,nikajitoa ufahamu tu
Baada ya hapo boss wangu akaja nae kuunga mkono juhudi
Bos wangu alimwaga bia na rafiki zake. Bill ikafika 680,000 zaidi
Jumla ya bill tulilipa mil 1.3 plus hadi kunakucha
Baada ya hapo NASHANGAA BAADHI YA WAHUDUMU NA KUNDI LA WANYWAJI WALIOKUW WANADHARAU VIJANA NIKIKUTANA NAO WANANIAMKIA
MTU MNARINGANA UMRI ANAKUAMKIA SERIOUS????????
Dharau ni mbaya sana, zitakuaibisha siku moja, nimekutana na mikasa kedekede na uzuri mimi ni raia wa wakawaida kwahiyo sioni taabu kuchukuliwa poa
Umenikumbusha ule uzi wa sexual fantasy 🤣, mnitag basi huo uzi nichukue notice1.3m looh hapo nanunua malaya 13 wa 100,000 each
Yule demu aliponipa mzigo tako tatu wadhungu hao. Nikasingizia sijala ngoja nile nimpe show za WWE John cena you can't see mee. Nikala chips ndizi mishikaki. Nikampq romance kupima oil naona huyu kashaiva nikachomeka kupiga take tatu wajapan hao. Nikaona sasa hapa mbona kazi sana. Nikaona ngoja nizuge zuge kuangalia vipindi vya wanyama kwenye TV. .
Alipoamka nikaona nitumie nafasi hii kumuonyesha show ya kibabe. Kupiga tako nyingine tani aisee wazee hawajakosea siku ya kufa nyani kweli miti yote huteleza. Kupiga tako nikajikaza yani kufika tako ya tano tu tena nimejikaza nikawa na uma na meno wahindi haoo. Aisee what an embarrassing day.
Kurudi kwenye mada, ili kurudisha heshima nikamuliza demu hivi unaishi wapi? Akajibu magomeni nimepanga chumba elfu 70. Nikaanza kujiongelesha hapa inabidi upange sinza chumba laki na hamsini. Nataka nikukipie kodi ya miezi kumi. Kwanza kabla sijasahau shika hii laki. Ukifika nyumbani nakutumia hela nyingine ununue vitu vya nyumbani hiyo laki ni nauli tu. Hata samsung unayotumia sio simu ya maana nakununulia iphone.
Alipoondoka na laki yangu nikatupa line nikasajili line nyingine kwa mpita njia. Huyu dada tulikutana kwenye mwendokasi. Hata mwendokasi sipandi tena nawasiwasi naweza kukutana nae huko [emoji51][emoji51][emoji51]
Duh shem alisemaje?Mbaya sana. Wife wangu kipindi cha uchumba siku ya kwanza nilishindwa kusimamisha kabisa. Nilijua nini kilisababisha
2016 nikiwa mtumishi wa taasisi fulani hivi,ilitokea tu nikawa sina smartphone,sasa kijiweni ninaposhinda nikawa nagongea simu,kuingia jf,twitter insta nk,mpaka kubeti.
Siku moja nadhani mwenye simu alifikwa hapa(waswahili wanasema)akaropoka[emoji28][emoji28].
Aisee wewe ni mtumishi smart imekushindaje bana??daily unagongea simu yangu inachemka[emoji28],aisee wengine njia ya kupokea taarifa mbaya za ghafla huwa tuna tabasamu.
Kinyoonge asishtuke kama nimekwazika,nikamwambia tulia namalizia ishu moja,nakupa.
Kesho yake ilibidi nivunje kibubu kwa hasira kwa mara ya kwanza nikaenda kujitwisha iphone ya kwanza kutoka shop(iphone 6plus) ikiwa bado inafuka moshi kipindi hicho 1.6mln.asubuhi nafika pale anashangaa nina simu yenye bei mara 5 ya kwake,akatoa macho tu na kuanza kujaribisha camera.
Binaadam wanatia hasira lakini tunawashukuru maana wamefanya wakati mwingine kwa kauli zao,tuondoke kwenye comfort zone zinazotulemaza.
Thread inaseme jeuri ya pesa hata kama huna. Hadithia yako. Sio unaleta kingeleza hapa, hajasema mjilete ambao hamuwezi.I have made a covenant with myself, never to spend money on impulse, just to prove a point to any human being. It's just absurd, crude, diabolical and bad economics....
What's there to prove, wakati najua mfuko u hali gani!!! Binafsi nafahamu even if you have all the money in the world, there will be some fools lurking somewhere ready to smack faeces on your good image.
Heri unione bahili, mchoyo au sina pesa, lakini binafsi nafurahia maisha yangu kinoma. Kuna umri ukifika baadhi ya mambo hayakuumizi sana kichwa....
Haaaaahaa hongera sana, hiyo ni kawaida kwa wanaume. Big up sana, ulilinda heshimaWakati fulani mwaka juzi nikawa na safari ya kikazi Musoma. Sikuwahi kufika Musoma kabla kwa hiyo sikuwa mwenyeji wa maeneo nilitegemea boda.
Nikashuka stend nikamwambia boda nipeleke lodge nzuri nzuri. Baadae nikaona nisichemke ngoja nimshirikishe mwenyeji wangu. Mwenyeji wangu sikuwa nafahamiana naye wala kuonana. Kwa vile alijua ile kazi ni ya kibosi sana akaamini natakiwa kulala hotel yenye hadhi. Akamwelekeza boda pa kunipeleka.
Kufika daaah, nakuta hotel kali ghorofq kadhaa nje napokelewa na mabendera ya nchi mbalimbali.
Nikamwambia bodaboda mmenileta cha kike. Muhudumu mrembo kabisa akaja kunipokea nikiwa mchavu vumbi na kabegi mgongoni kama nimetoka kuchimba mitaro.
Nikamwambia boda usiondoke lolote linaweza kutokea. Tayari muhudumu akawa amenihukumu kwamba sina uwezo wa kulala pale. Akaniambia lakini kaka hata chumba ni kuanzia elfu 50!
Nikamwambia mimi sijauliza bei nimeuliza chumba. Kufika reception kila mtu anaonyesha wasiwasi huyu mteja kapotea. Basi nikamwambia nataka chumba cha juu.
Akanijibu tuangalie tu vya chini kule juu ni kuanzia elfu 70. Nikaona aaaahhhh japo nilitaka chumba cha 20 ila hapa inabidi niweke heshima tu bila kujali chochote.
Nikachukue chumba cha 70. Nikarudi mapokezi kwenye watu wengi walionitilia mashaka. Nikaanza kulipa bills kwa sauti.
Nikawaambia sikilizeni, ninakaa siku 2 nitalipa 140,000 yote, halafu dada chukua buku 10, mlipe boda buku ya nauli na buku 4 ya kunisubiri. Halafu elfu 5 baki nayo umenipokea vizuri, lakini mwambie boda naomba namba yake.
Ndugu msomaji yote hayo niliyafanya kulinda heshima dhidi ya wajinga wachache ambao walinihukumu kwa mwonekano.
Lakini pia kujitabiria mambo makubwa mbeleni kwamba ipo siku nitakaa meza moja na wakuu, nitakula na wakuu na nitalala lodge moja na wakuu.
Je, ulishawahi kufanya jeuri ya pesa hata kama huna kingi, ili kulinda heshima yako au kujitabiria ukuu?!!
Pole sanaMimi ndo nipo nasumbua ndugu hapa wanikopeshe walau alfu kumi.
Hii ni baada ya kulipia bili za watu wote niliowakuta mgahawani jana
Kwa tsh 86500.
Ni stori ndefu kidogo lakini tu kiufupi dharau zinaumiza sana.