Uliwahi kupata mikasa gani kwa kuishi kwa ndugu?

Uliwahi kupata mikasa gani kwa kuishi kwa ndugu?

Hahahah hii ndio sababu kuishi kwa mtu ni taabu. Sasa hapo kuna ubaya gani? Mfanyakazi si yupo we unataka mie kijana wa makamo nikija kwako nianze kuosha na vyombo🤣?

Staki kabisa habari za kukaa kwa mtu hata nikitembelea ndugu ni aheri kulala gesti tu. Unasalimia na kuondoka.
Kwa hiyo unataka ukienda kwa watu au hata ukiwa kwenu uamue saa 4. Unywe chai then uingie ndani kuchat, saa 7 uletewe chakula na house girl then uendelee kuchat saa 9 uende angalia marudio ya tamthilia hadi saa 2 upo kwenye TV then ule cha usiku uingie chumbani kuchati hadi saa 6 usiku.

Hivi nyie vijana mnajitambua? Kuna binti mmoja mtoto wa dada yangu ndio yupo kama wewe. Yeye ni kuinua miguu juu ya sofa kuchat tu. Hajui hata kufua chupi zake, eti ndio maisha yenu na hata wewe kama ni ME au KE ila tabia zenu ni zile zile.

Kizazi kibaya na cha hovyo hiki cha 1990's to 2000's. Hakuna kijuacho wala kiwazacho humu duniani zaidi ya ngono na betting. Pumbavuu
 
Kwa hiyo unataka ukienda kwa watu au hata ukiwa kwenu uamue saa 4. Unywe chai then uingie ndani kuchat, saa 7 uletewe chakula na house girl then uendelee kuchat saa 9 uende angalia marudio ya tamthilia hadi saa 2 upo kwenye TV then ule cha usiku uingie chumbani kuchati hadi saa 6 usiku.

Hivi nyie vijana mnajitambua? Kuna binti mmoja mtoto wa dada yangu ndio yupo kama wewe. Yeye ni kuinua miguu juu ya sofa kuchat tu. Hajui hata kufua chupi zake, eti ndio maisha yenu na hata wewe kama ni ME au KE ila tabia zenu ni zile zile.

Kizazi kibaya na cha hovyo hiki cha 1990's to 2000's. Hakuna kijuacho wala kiwazacho humu duniani zaidi ya ngono na betting. Pumbavuu
Hahahah pole mwaya.
 
Ila wasisemwe wenye mji tu, vipi wageni wenyewe wanao kuja hapo? Unamhudumia mtoto wa mtu siku akitoka hapo utasemwa mpaka unajiuliza hivi yale niliokuwa nafanya kumbe yote mabaya,

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Ila kuna wageni wengine vichomi eti. Uwiiii.

Yaani hata ujitahidi vipi lazima tu wakifika wanakoenda hawakosi la kusema.
 
Mimi nilikuwa nakaa kwa shemeji yan mke alie muoa kaka yangu tulikuwa marafiki sana mpaka matatizo yake na kaka ananiambia sasa siku nilitakiwa kwenda kukaa uko kwa ajili ya field sasa sehemu napajua ila landmark ilinitoka nikawa nampigia simu hapokei piga simu hapokei af hapo yeye alikuwa amesafiri nikampigiq mama nikamwambia yeye akampiga kaka maana mimi nahasira nishaaza kutoa maneno ya hasira

Bro akanipigia umefika wapi nikamjibu kituoni hapa haya ulizia sehemu fulani nikafika nikaingia an begi langu tukawq tunakaa mimi na kaka kesho yake nikiwa field nikampigia tena simu shemeji piga simu kapokea anaongea kama ataki nikajiongeza hapa sitakiw

Sasa sikuio mimi sina hili wala lile niko home nimekaa kaka kachelewa kurudi siku iyo nashanga mlango unafunguliwa kumbe shemeji nikampokea pale na bashasha na nilivyo mcheshi kijana wa watu za kwenu ulikotoka mambo mengi mtu ananijibu shot mh nikauchuna

Tumekaa gala nashangaa mtu kachukua ngazi anasafisha feni na ni mjamzito ikabidi nimwambie shuka nipande nikasafisha usiku ule ule kaka alipo rudi katukuta tunasafisha ndani akauchuna tu basi wakati tunakula sisi tunakula ugali na dagaa yeye kumbe katoka kwao na kuku anakula peke yake kaka akakamuomba akamkatalia dah nikasema hapa cha kike

Basi siku iyo ikapita sasa nikiwa field nasema niwahi kurudi nikapige story na shemeji yangu ee nikifika ananikataa kabisa analala nikasema huyu anijui nikawa nabaki field mpaka saa mbili akawa anafoka siku nayo ondoka siku waambia nilikuja kuwaambia asubuhi maana niliona bro naye anamuonga mkon mkewe morning anaoga na mimi naoga najiandaa akaniuliza unaenda wapi nikamjibu naondoka leo narudi home mbona ujasema mapema huyo. Shemeji nikamuuliza ulikuwa unataka ufanyeje? Akaa kimya

Na alikuwa na tabia anaingia chumban atakama umelala anaingia tu bila hodi nilipotoka hapo sikumpigia simu kuwa nimefika wala nini alipiga simu mama kuwapa taarifa kak akapiga simu mbona ujasema kama umefika mimi majibu yangu short kwani ukupewa taarifa na mama? Mzozo ulikuwa mkubwa nikakata simu sikuja kuongea nao mpaka mkewe alipojifungua nikampa hongera ikapita hiyo
Huo mpangilio mkuu mmh
 
Hahahah hii ndio sababu kuishi kwa mtu ni taabu. Sasa hapo kuna ubaya gani? Mfanyakazi si yupo we unataka mie kijana wa makamo nikija kwako nianze kuosha na vyombo[emoji1787]?

Staki kabisa habari za kukaa kwa mtu hata nikitembelea ndugu ni aheri kulala gesti tu. Unasalimia na kuondoka.
Sasa kama umeenda kuishi kwa ndugu na haijulikani utaondoka lini au ni unaishi miaka 2, kwaiyo miaka yote hiyo uwe unalelewa kama mlemavu?

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Nipe taco uone show. 🤣 Mi nikiwa upinde jua dunia itakuwa ingine labdq
Ndio mnavyotambaga hivi mbele za watu kumbe una shanga kiunoni na mwanaume mwenzio anazichezea huku anakusanya binya makalio. Jitahidi uwe unaandika huku unakaza mwandiko na kuwa kama mwanaume iliandikwa kiwaki dogo.
 
Kaka hilo nilifikiria pia lakini kuna siku niliaibika, wakt naenda kumwaga chooni nakutana na dem wa bro karibia na toilet, japo nilikuwa nimezungushia karatasi vizuri lakini alielewa. Ni msichana rika langu tu, ile pisi iliniona hovyo kweli. Tangu siku hiyo nikawa naibia sana kutoka na kopo sometimes naacha kabisa!
Kwaiyo Demu ambae ni shemeji yako na Mbwa uliona bora umuogope shem ili upambane na mbwa, kumbe uliyataka mwenyewe

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kukaa na ndugu sitaki kabisa wala kukusikia tumekaa na ndugu toka tunazaliwa ila sahizi tunalipwa mabaya ila ndugu upande wa baba [emoji23][emoji23][emoji23] ni hatari kabisa tuombee maisha tusiwe mafiwi ,shangazi, mama wakubwa na wadogo wabaya kwa vizazi vyetu
Ndugu upande wa baba [emoji2090][emoji2090][emoji2090][emoji2090][emoji23][emoji23] kwangu msije kabisa
 
Back
Top Bottom