Karibu sana mkuu ๐naham
alikuwa sahihi mwalimu wanguKweli au si kweli?
Sasa nitapataje ZERO wakati sikusoma kabisa?Ulipata ZERO la saba?
Kabisa kipenziLecture fulaniโฆ, wa chuo fulani kunisimamisha mbele ya darasa na kuanza kunichambaโ eti naringa najifanya mzuriโฆ, sijui mara unalingia tako litakupeleka wapiiโฆ, mara mtu mwenyewe mbaya humfikii mke wangu hata theluthi!!! โ
Watu wote darasani walibaki wanashangaa kulikoni, ila sikumchukia bali nilimuombea rehema na toba kwa Mungu. Sababu sikuwahi kumkosea wala kufail somo lake. Tujifunze kusamehe na kujisamehe wenyewe pia.
Umeupata Uwaziri tayari au ndio Waziri wa Raha kama Skudu Makudubela?Mimi sio kitu kibaya...
Enzi niko darasa la 7, mwalimu mkuu alikua anapenda sana kunitabiria nitakua waziri.
Kila akiingia class bila kumwaga sifa kwa Vishu Mtata alikua haoni kama kaingia class.
๐ ๐ ๐Mwalimu wa history form 4 na discpline master alinitamkia "wewe kamwe hauwezi kufauru" mbele ya wanafunzi wenzangu...alikuwa hajui vzr matumizi ya L na R..lkn baadae alinikuta chuo alipokuja kujiendeleza nikawa namsaidia kufanya assignments (nilikuwa miongoni mwa vijana watukutu mara nyingi alinifuma mtaani nimetoroka shule)
Siku ARV zikianza kudunda ndio neno la mwalimu wako litatimia rasmi. Sasa endelea kuishi kwa matumaini tu mkuu.Niliambiwa nisipo angalia nitakufa na ukimwi๐
Hahahaha nipo salama tu mkuu ,situmii hiyo kitu na wala sikuwahi kuwa mhuni,sema walimu waliona kama ni mhuni kwa mtazamo wa nnje tu๐๐๐Siku ARV zikianza kudunda ndio neno la mwalimu wako litatimia rasmi. Sasa endelea kuishi kwa matumaini tu mkuu.
Hiki ndo kiingereza cha feza?I was there FEZA schools
So I never face any shit from my teachers
ZERO YA KIMKAKATI hata kama hukwenda shule unatandikwa ZERO ili kuweka rekodi sawa.Sasa nitapataje ZERO wakati sikusoma kabisa?
Mashavu kama baloonBaadhi ya walimu kuanzia Shule ya Awali na Msingi,Sekondari na hadi Chuo wamekuwa na tabia ya kutamkia watoto maneno makali na yenye kukatisha tamaa.
Mojawapo ya Maneno hayo ni kama โHutaweza kufanikiwa hata siku mojaโ.
Wakati mwingine maneno hayo huwafanya wanafunzi kujiona wanyonge na kukata tamaa katika masomo yao na kusababisha baadhi yao kushindwa kutimiza ndoto zao.
Lakini katika hali isiyokuwa ya kawaida wanafunzi wengi wakimaliza masomo baadhi yao hufanikiwa na kuajiriwa katika Taasisi, idara, Mashirika na sehemu nyingine kama hizo.
Walimu hufika kuhitaji msaada na kuwakuta wanafunzi wao waliowatamkia maneno makali wakitoa huduma katika sehemu hizo.
Wakati mwingine husaidiwa lakini pia wakati mwingine hukutana na Vikwazo kutokana na yale waliyoyatenda nyuma.
Walimu tujifunze tuache kuwa wakatili na kutoa kauli kali kwa Mtoto ili kesho yenu iwe Bora zaidi.