Uliwahi kuwaza kuua mtu? Hii ndiyo mara yangu ya kwanza kupata wazo la kuua mtu

Huyo mzee ungemuacha akichane cheti kisha mziki wake unampeleka mbele ya sheria ndo atajua nini maana ya kusotea cheti🤣
Mbele ya Sheria ipi bila Hela mkuu? Mkono mtupu haulambwi. Kuna kisa kinginge nitakileta nilimuweka mtu ndani baada ya masaa nikakutana naye anadunda mbele yangu kwa dharau nikadhani alitolewa kwa dhamana laki hamna.
 
Moja ya vitu naogopa na sipendi mtu anizoee ni cheti Cha form four yaani cheti Cha form four nakihusudu Sana Bora mtu achane Cha ubatizo naweza msamehe lakini sio form four maana nimesoma shule za gharama Sana Hadi form four.
 
Moja ya vitu naogopa na sipendi mtu anizoee ni cheti Cha form four yaani cheti Cha form four nakihusudu Sana Bora mtu achane Cha ubatizo naweza msamehe lakini sio form four maana nimesoma shule za gharama Sana Hadi form four ,
Halafu kirahisi tu, mtu anakuja kusema Nye Nye Nye
 
Du lkn ulimchana..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…