Uliwahi kuwaza kuua mtu? Hii ndiyo mara yangu ya kwanza kupata wazo la kuua mtu

Mimi nimesoma Kemibos Bukoba ada mwaka 2011-2014 ilikuwa kwa mwaka Mil3. Sasa wewe unafikiri mchezo Mkuu???

Na one ya digits
Na ukaamua kuwa Mwalimu?

Hizo hela si bora ungeendelea kununua migomba
 
Nilipanga kumgonga na gari mtesi wangu, yaani nilikua namvizia njia ya mtaa kabisaa huku nimekunja ndita, ila Mungu si athumani kila nilivyokua nafanya hivyo kile kiumbe kilikua hakikatishi njia ile.
😅😅😅🧢
 
Duuh wewe una hasira sana
 
Sio tu kuwahi kuwaza,nipo ndani ya hilo wazo kutaka kulifanya tena kwa ustadi.

(1) ni mkate viganja viwili vya mikono na kumkata vidole vya miguu hasa mguu moja tu wa kulia. Kimy kimy

(2) nimteke na kumuweka katk roba nimni’ginize nikimfanyia mazoez (punch bag) mpaka kifo.
Nachuku petroleum nachoma mwil porin.

Rest In Peace

17/3/2023 inaniuma sana simalizi wik nalia[emoji24]
 
Nadhiri gani [emoji28][emoji28][emoji28]
Ndugu yangu ni mwaka wa tatu sasa toka fundi huyo akimbie na 4.5m ambazo nilizilipa kwa maumivu ya riba,nilipata kibarua sehemu ndo kilichoniokoa kumaliza deni na kubahatika kuweka madirisha mengine ila likizo yangu nilienda dodoma nilikaa wiki tatu namsaka mdogomdogo,nilimkosa ila naona roho inaniambia ipo siku nitamwona,aisee nitamtafuna,maumivu yangu hayajawahi kuisha

Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
 
Mimi nimesoma Kemibos Bukoba ada mwaka 2011-2014 ilikuwa kwa mwaka Mil3. Sasa wewe unafikiri mchezo Mkuu???

Na one ya digits
Kumbe umemaliza form four 2014, ukikua utaacha kufikiria mambo ya hicho cheti
 
Kuua ni kiwango cha juu cha ushirika wako na shetani, na ukiona Hali ya kuua inakujia kimbia kaini aliambiwa dhambi inakuotea na unatakiwa kuishinda
 
Kuna jamaa aliniuzia bidhaa iliyo chini ya kiwango nikaenda nayo mpaka nyumbani bila kujua nilipofika nyumbani nakuta mambo tofauti nikarudisha mzigo dukani akaukataa yaani aliniudhi nafikiria nikamchomee TRA lakini sina ninaemjua TRA ndo ikawa pona yake
 
Aisee pole Sana mkuu
 
Bila ya shaka huyo mzee hakuwa miongoni wa wenye busara
 
Mkuu Njoo Dm tujadili jambo la muhimu [emoji120]
 
Nikikumbuka Jinsi Walimu wa O-level walivyokuwa wakali, na nilivyohimili adhabu mbalimbali, kuacha usingizi na kutembea kwenye baridi kwa miaka mingi alafu mtu aje achane cheti changu kirahisi. Aisee [emoji34]
Huyo ungepiga kisu tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…