Hapo kwenye makaburi umegusa penyewe,Kila nikihudhuria msiba huwa naangalia vile vibao vya makaburi halafu nalinganisha na umri wangu maana kuna wengi tu walifariki wakiwa chini ya miaka 18.. Swali kubwa huwa najiuliza je, mfano nikifariki kesho nitakuwa najutia nini zaidi ??..
Je, nimezitumia kwa kiwango gani potential na experience zote Mungu alizonipa ?..
Hapa lazma kichwa kiwake moto
Inatisha na hasa usome kibao cha mtu mliyezaliwa mwaka mmoja halafu kafariki kama wiki au siku chache kabla. Life hili aseeeHapo kwenye makaburi umegusa penyewe,
Muhuni tu hyoHongera mkuu, 21 ulikua unafanya biashara au Wewe ni msanii
Yaani, imagine kifusi kimemfunika, na hatambui lolote, maisha haya ukiwaza sana unaweza kufuru kwanini upo hadi leo unashuhudia haya mambo.Inatisha na hasa usome kibao cha mtu mliyezaliwa mwaka mmoja halafu kafariki kama wiki au siku chache kabla. Life hili aseee
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] balaaaImeisha hiyo[emoji23][emoji23][emoji23]
Kabisa na kuacha kupiga nyetohUkubwa majukumu. Kuzeeka lazina, kuchakaa uamuzi
Ronaldo ni mdogo kwa Rooney
Masudi kipanya ana miaka 52, Dully sykes 42, Kikwete 73, mzee. Ruksa 98, Magufuli alikufa na 62, Skudu ana 30, Onyango 25. Umri ni namba tu usiogope
Nawaenjoy tu.unakuta unakuta na kundi la wanafunzi kibao wanaenda shule au wanarudi shule.unajikuta unakula shikamoo za kutosha.sasa badala ya kuchukia uwa naaamua kuwaletea utani.😂😂😂
We jinga kweli.
Hiyo ndio tabia yangu.
Hapa najiuliza kwa nini nafanya hivyo wakati madogo wanaonyesha adabu ya kweli kabisa alafu nawaletea utani
31 wakati wnzio Wana zaifi ya 40Nikifika 31 sijajenga sina gari najiua
Kwani nini unasubiri ajira badala ya kutafuta.Nikifikiria na hii 28 yangu afu bado nasubiri ajira,yaani kwakweli huwa nachanganyikiwa nikikumbuka age yangu
Ushajua utanunua ndio maana unasema hivo.Nikifika 31 sijajenga sina gari najiua
Na utafika hata kodi hunaNikifika 31 sijajenga sina gari najiua
Kabisa na watu wakishafunika udongo hawana habari tena na wewe. Haya maisha ni kheri utafute furaha yako ilipo maana hata preshar za umri husababishwa na kuangalia wengine wanatuchukuliajeYaani, imagine kifusi kimemfunika, na hatambui lolote, maisha haya ukiwaza sana unaweza kufuru kwanini upo hadi leo unashuhudia haya mambo.
Yaani kwamba kwasababu huna gari na nyumba ujiue? Naguess utakuwa bado uko chuo eeeh??Nikifika 31 sijajenga sina gari najiua
You guessed wrong.Yaani kwamba kwasababu huna gari na nyumba ujiue? Naguess utakuwa bado uko chuo eeeh??
Huyu ni utoto ndio unasumbuaMdomo unaumba mkuu hii ni dunia.
Daaaah hyo miaka nimepita kitambo sana hata sikumbuki...Mimi nina 19 ila najichukulia kama mtu mzima japo nakula ugali wa shikamoo
usijidekeze