ndagu si zipo kwanini usitoe ndugu zako ukatajilika? huu pendi utajili? taja mtu freemason alie wahi kutoa kafara kama sio ndagu za kipumbavu? si nimetoa web yao? shida nini ,au upo kwenye mtandao wakutaka muwa shawishi watu muwatapeli? ingia kwenye web yao uta subcribe ,ili upate masomo yao baadae ndo utaamua ujiunge nao kwa kujaza form unapewa namba za simu za secretaly wa freemason hall uliyo kalibu nayo wajue unasifa za kuwa member?.shafanya research za hawa jamaa,kuondoa utata wanawake nao wanaluhusiwa, mda wote wako free kwa watu kuwa tembelea kulingana na ratiba zao za kazi...shida si kafara kajiunge sasa?,kule wanajiunga elite wanaojielewa sio kama mandagu yetu tuna maliza ndugu zetu ambao wange tu saidia