Je kuna uwezekano wa kumtambua mwanachama wa freemason kwa kumuangalia tu, kama ni ndio je ni sifa zipi zinazomtambulisha kuwa huyu ni mmoja ya wanachama.Nguvu za maajabu, utajiri, kukubalika na jamii, ulinzi, kuepusha magonjwa na ajali.
Ngoja nikwambie ukweli.Je hata mtu baki masikini asie na kitu anaweza kujiunga?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ninaweza kumtoa kafara member wa jf ananisumbua sana
Nipe majina nizi downloadkwa documentaries nilizo ziona kuhusu hao jamaa inatosha.., sina swali
Kwahiyo Utopolo ni firimasoniNgoja nikwambie ukweli.
Sio kila mtu anatakiwa kwenye chama, kwa sababu masharti yake ni magumu Sana.
Kabla hujatawazwa kuwa mwanachama wao, Kuna kipengele cha Sheria zao zipo 5.
Halafu kuna kiapo Mara 3 kwamba MBELE DAIMA, NYUMA MWIKO.
unacho takiwa kufanya ni kutekeleza kila mpango wanaokupa au jukumu kwa lugha nyepesi, hakuna kubadili mawazo hakuna kurudi nyuma vinginevyo utauawa na hautoboi.
siku ukiujua ukweli utajidharauKwa uandishi huu huna ujualo kuhusu Mosons
Huyo jamaa ni noma sana na mama yake mzazi... musician??
Umenena mkuu.siku ukiujua ukweli utajidharau
Tunamjua uyo star.
humu hatujuani, tunaona mwanga lakini hatujuwi nani kashika tochi!Umenena mkuu.
Sijui alitaka viingereza.
Ni wapi nimeandika kuwa naunganisha watu humo, hapa tunajadiliana kwa mawazo kuhusu FREEMASONRY.we ni freemason au cowan? wa kwenye mjengo huu wanakufahamu? dgleastafrica.com.tutajuaje kama we sio tapeli?
Ndugu yangu, Mimi sikuja humu kwa lengo la kutapeli.Huu ukumbi Niko nao Sana jirani Moshi..wee siyo mdogo wake na Bernad unataka kutapeli watu huku..
Katisha,mpaka katisha tenadah mtoa mada katishaaa.