Searching for the truth
JF-Expert Member
- Mar 22, 2022
- 903
- 1,851
Ok sawa.Mkuu wa Giza ni Lucifer.
Kutoa mwanga maana yake kuwasaidia viumbe wake shida zao, kuwapa nguvu, Mali, uwezo, na kile wanacho taka kwa makubaliano ya kuuziana utu na nafsi.
Ondoa mashaka mkuu, ule Uzi utaendelea wiki ijayo.Umetelekeza uzi uliouanzisha umekuja kufungua uzi mwingine ili iweje?
Sasa nani kakuruhusu kutoa sirindio maana ikaitwa a secret society. Kuna mengine ni fumbo kwenu ni ngumu kuelewa.
Kwanza kabla hatujafika mbali alitakiwa atuambie kuwa yeye ni member wa freemason au na yeye ameitafti tu kama sisiKaka Soma hivyo hivyo tunakamata mtu sasa hivi
Ok sawa.
Huwa naskia wacha Mungu wa upande wa Wakristo wanasema kwenye biblia mlitabiriwa kuwa mtaitawala dunia kwa muda wa miaka elfu moja pekee.
Swali langu kwako, Je utawala wenu umebaki miaka mingapi hasa ufike mwisho wenu ? Au ni mwaka gani mlianza kuitawala dunia ?
Hakuna Siri niliyo toa hapo hii iko wazi, kila pande za dunia miaka kwa miaka. Hebu tengeneza mazingira ya kusoma vitabu kuhusu FREEMASONRY utapata mwanga zaidi.Sasa nani kakuruhusu kutoa siri
😊😊 Umeuliza swali zuri Sana, lakini inabidi uwe na subira kupata majibu yake.Kwanza kabla hatujafika mbali alitakiwa atuambie kuwa yeye ni member wa freemason au na yeye ameitafti tu kama sisi
Ok sawa, ndo maana huwa naskia, so sina andiko ila naskia wakristo wakosema hivo.Hili si kweli, hebu leta orodha ya neno ama andiko.
Lengo la mkuu wa Giza ni kuondoka na wafuasi wake katika jehanam, hivyo Mungu ndio ataamua lini iwe mwisho. Hizo tetesi zingine ni stori za uongo.
Hili si kweli, hebu leta orodha ya neno ama andiko.
Lengo la mkuu wa Giza ni kuondoka na wafuasi wake katika jehanam, hivyo Mungu ndio ataamua lini iwe mwisho. Hizo tetesi zingine ni stori za uongo.
Changamoto zako kwangu ni mdogo tu lakini Kuna changamoto kubwa kuliko hili.NilikuwA kukichalenji Bandugu.
Endelea nao janja
DP World wamepewa mkataba wa miaka mingapi?Watanzania wengi wamekuwa wakipata taabu kuifahamu FREEMASONRY Sasa utaenda kuifahamu kwa undani ikiwa utaleta maswali yenye tija, msingi, uhalisia hivyo utapata majibu kwa usahihi kabisa.
View attachment 2652303
Huu ni ukumbi wa FREEMASONRY, unapatikana jijini moshi, Kilimanjaro. Jengo hili lilizinduliwa mnamo 2005, Machi 26. Na kupewa namba 9794. Sir jayantilal keshavij chande ndiye mzinduzi na mwenyekiti wa jumuiya ya FREEMASONRY afrika ya mashariki.
Karibuni kwa maswali, hoja na mjadala ndugu watanzania.
Kuna utafauti wa binadamu na hao wanachama??Hakuna Siri kwa binadamu wa kawaida, ila kwa mwanachama Kuna Siri, Basi hawezi kueleza maana aliapa.
Ndugu yangu usipoteze muda wako kwa gharama nyingi kumsikiliza huyu Pasco.Ok sawa, ndo maana huwa naskia, so sina andiko ila naskia wakristo wakosema hivo.
Mmojawapo ni PASCHAL CASSIAN, mshindi wa bongo star search mwaka 2009.
Alikuwa freemason kwa sasa ameokoka na anamwabudu Mungu wa kweli.
Umenena vyema kuwa "mkuu wa giza ni lucifer"Mkuu wa Giza ni Lucifer.
Kutoa mwanga maana yake kuwasaidia viumbe wake shida zao, kuwapa nguvu, Mali, uwezo, na kile wanacho taka kwa makubaliano ya kuuziana utu na nafsi.
Sawa mkuuKwangu usitegemee lolote, fanya kwa jitihada zako. Kila la kheri mkuu.
Sikiliza mkuu, ni Bora uishi miaka 100 gerezani kuliko FREEMASONRY.Mbona USA na uingereza Freemason ukiingia unakuta hamna mtu kabisa mpaka ubahatishe awepo ndio akuunge na watu wengi hawataki kabisa ila afrika sababu ya umaskini na kutokuwa na elimu wanaona dili
Jibu unalo mwenyewe.Umenena vyema kuwa "mkuu wa giza ni lucifer"
Na kusema kuwa "mwanga ni lucifer kuwasaidia viumbe wake shida zao kwa makubaliano ya kuuziana nafsi na utu".
Swali langu kwako : Kama lucifer hawa ni viumbe wake, kwanini asiwasaidie bure mpaka wauziane nafsi na utu ?
Maana kiumbe kama ni wako mimi nafikiri unampa kila kitu free
HAKUNA MASWALI KILA KITU KINAFAHAMIKA KIPO KWENYE VITABU, VIDEOS NA AUDIO. HAKUNA SIRI. KUNA KIPINDI NLIWAHI WAPIGA SANA WATU PESA. NAMI NILIJIDAI NI FREEMASON NIKAWAAMBIA NIWAPE ELIMU WALETE NA MASWALI. NLIWALA SANA.Watanzania wengi wamekuwa wakipata taabu kuifahamu FREEMASONRY Sasa utaenda kuifahamu kwa undani ikiwa utaleta maswali yenye tija, msingi, uhalisia hivyo utapata majibu kwa usahihi kabisa.
View attachment 2652303
Huu ni ukumbi wa FREEMASONRY, unapatikana jijini moshi, Kilimanjaro. Jengo hili lilizinduliwa mnamo 2005, Machi 26. Na kupewa namba 9794. Sir jayantilal keshavij chande ndiye mzinduzi na mwenyekiti wa jumuiya ya FREEMASONRY afrika ya mashariki.
Karibuni kwa maswali, hoja na mjadala ndugu watanzania.
Huyu jamaa tapeli alianzia uzi flani tukamkamata naona amekimbilia huku. Bwege sana huyu.Uyo mwenyekiti uliyemtaja wa east africa alishakufa....,,,,,,sema wa sasa ...ukitaja wa sasa Moderator mnipige ban