bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
- Thread starter
- #121
Ishu ni sera mbadala ipo teleSi rahisi, ni sawa na umeme tumekosa mbadala wa moja kwa moja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ishu ni sera mbadala ipo teleSi rahisi, ni sawa na umeme tumekosa mbadala wa moja kwa moja
Sasa Nina swali hapo: Naona watu wengi wanafanikiwa Kwa Shetani na majini , je mtu akimtumainia Mwenyezi Mungu tu bila kushirikisha chochote anaweza toboa?Bila nyota au kibali utoboi,utajiri uanzia rohoni.
pesa ni roho ndio maana Ina nguvu ya kufanya jambo.
Ukiitwa tu Dili la Hela lazima furaha yako iongzeke
Wewe ni economist?Na bila maskini , tajiri hawezi kuwepo, they are dependent to each other.
Watu wote wakiwa matajiri hakutakuwa na balance, hapo patatokea vita.
Saudi Arabia bei za jet fuel ni rahisi kuliko maji ya kunywa.Nchi gani hiyo, sijaifatilia?
Nakumbuka Kuna nchi Asia kule kitunguu maji kimoja ilikuwa inauzwa tukifanya exchange rates ilikuwa kama 11,000 TZS hivi.
Sasa wewe mfano kuna 90% ya supply alafu 10% ya demand , nini kitatokea?Wewe ni economist?
Hii nadharia umeitoa wapi?
Ushahidi unao?
Kumbe ngoja nianze kufuatilia. Nilikuwa sifahamu.Saudi Arabia bei za jet fuel ni rahisi kuliko maji ya kunywa.
Ethics , ethics , ethics.Nyota ya utajiri ndo nini?
Siamini kuhusu nyota mkuu, ni mambo ambayo hayapo. Ni knowledge, juhudi na nidhamu.
Mimi ni Muislam, Uislam ndiyo mfumo wa maisha.Tafsiri ya kidini hii
Kabisa kwann asitoboe mfano hao wazungu Wana majini gani hali tunaona wanafanya kazi kwa juhudi na maarifa.Sasa Nina swali hapo: Naona watu wengi wanafanikiwa Kwa Shetani na majini , je mtu akimtumainia Mwenyezi Mungu tu bila kushirikisha chochote anaweza toboa?
Sasa wewe.. mfano ..Sasa wewe mfano kuna 90% ya supply alafu 10% ya demand , nini kitatokea?
Although haipo practical in a real world.
Ok kwa wale 20 kama Wachina, wao wanatumia kanuni gani ya kiroho kama hawapo kokote?Kabisa kwann asitoboe mfano hao wazungu Wana majini gani hali tunaona wanafanya kazi kwa juhudi na maarifa.
Ipo hivi 40 kwa 40 kwa 20 maana yake.
Wapo waliopata utajiri kwa shetani na kwa Mungu na hao 20 hawapo kwa Mungu wala shetani Wala hawaamini hivi mfano wachina,warusi,nk.
Kweli kabsa hasa bahati na mazingira.On point, wengi wanasahau kuna kitu kinaitwa bahati.
Mazingira mabovu ya masoko ya kilimo dalali ndoanakula kuliko mkulima.Unatumia milioni moja kulima shamba la matikitiki karibia heka 5 halafu unauza laki mbili- soko hamna, hapa tunasema shida ni nini?
Mtoa mada anasema mazingira si kikwazoMazingira mabovu ya masoko ya kilimo dalali ndoanakula kuliko mkulima.
Kama ipi?Ishu ni sera mbadala ipo tele
Uongozi wa jamiiforums ukiongozwa na Maxence Melo naomba umshurutishe huyu bwana afungue uzi ukielezea kwa kina huu mtaji wa 4HMtaji ni 4H
1.Head
2.Health
3.Hand
4.Heart
Asa inabidi tukutane kunabaadhi ya mambo tuyafanyie kazi. Au vipi Leejay49Upo kama mimi mkuu...., wengi wanafundisha vitu ambavyo wenyewe wameshindwa kuvifanyia kazi😃😃