Umaskini ni laana; nimeamini pia maskini ana roho mbaya sana

Mimi huwa nasema mtu akitaka sehemu ya mwili wangu mfano nywele au kucha aje Mimi nitaenda nae Saluni nitanyoa nywele namkabidhi akafanye anachotaka au kama ni boxer basi aje nimpe dazani. Tusitishiane na upuuzi ebo! Ila jamaa una hela duuuuh huko itakuwa Airport au Bandarini.
 
Hii nakubaliana na wewe mkuu
 
Ukiwa kapuku peke yako usidhani wote wachovu kama wewe.
Mjomba hakuna tajiri anajigamba mtandaoni Mo, Bakhresa, Bill Gates, Jeff Besoz na wengine ushawahi kuwasikia wakijitamba mtandaoni kua wana Pesa n bla bla bla sijui ndugu kufanya nini tena Bakhresa ndio huna details zake kabisa zaidi ya kujua asset zake tu, na ikakupwoteka kalipambilile maana yake ikikuuma nenda kajinyonge
 
huko itakuwa Airport au Bandarini.
Huko hakuna 3M per day Mkuu usijidanganye km akisema yupo huko aseme kabisa kua yeye ni Jambazi
baada ya mda kutokana na Tabia yangu ya ukimya na usiri mkuu wangu wa kazi akanihamishia idara ambayo baadae nilikuja kujua ni sehemu yenye michongo=wizi=ujambazi mwingi wa pesa.
Alipoingia Sehemu yenye Wizi mwingi wa Pesa, na yeye akaanza kuiba ila kwa usiri na ukimya
 
We mtoto Mashallah.... U hali gani bibie?
 
Nimesha kutumia namba yangu PM mkuu, maana wewe ni chief, mkurugenzi usie na maneno mengi, huna baya zaidi ya kusingiziwa boss....[emoji4]
Ebu fanya neno moja tu PM itawaka kama dhahabu...[emoji91]
Akituma hata 10k nafuta ID yanguu[emoji1787][emoji1787]
 
Hongo na rushwa huwa hazipiti kwenye book of accounts
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…