Fernando Wolle
JF-Expert Member
- Aug 19, 2022
- 387
- 770
[emoji1787][emoji1787][emoji38]Ukiamka kutoka usingizini ndio utajua hujui
Hii nakubaliana na wewe mkuuHaujapata mifereji ya pesa Kaka. Hata mimi zamani nilikuwa naamini kama wewe, ila siku ukipata kukaa kwenye njia ya pesa haya maneno yako utayafuta
Sikatai kama hamna hayo mazingaombwe lakini ukipata nafasi ya kukaa kwenye mkondo wa pesa utaelewa nini naongea
Mjomba hakuna tajiri anajigamba mtandaoni Mo, Bakhresa, Bill Gates, Jeff Besoz na wengine ushawahi kuwasikia wakijitamba mtandaoni kua wana Pesa n bla bla bla sijui ndugu kufanya nini tena Bakhresa ndio huna details zake kabisa zaidi ya kujua asset zake tu, na ikakupwoteka kalipambilile maana yake ikikuuma nenda kajinyongeUkiwa kapuku peke yako usidhani wote wachovu kama wewe.
Ndoto mbaya sana hizi, hivi Ali Nacha alikua anaishi mtaa upi pale k/Koo gerezani ?Ukiamka kutoka usingizini ndio utajua hujui
Huko hakuna 3M per day Mkuu usijidanganye km akisema yupo huko aseme kabisa kua yeye ni Jambazihuko itakuwa Airport au Bandarini.
Alipoingia Sehemu yenye Wizi mwingi wa Pesa, na yeye akaanza kuiba ila kwa usiri na ukimyabaada ya mda kutokana na Tabia yangu ya ukimya na usiri mkuu wangu wa kazi akanihamishia idara ambayo baadae nilikuja kujua ni sehemu yenye michongo=wizi=ujambazi mwingi wa pesa.
😂😂😂😂 Mbona makasiriko mkuu, ni wivu au ni nn 😅Mwongo, na wewe ni mtu wa hovyo
Wizi Mtupu😂😂😂😂 Mbona makasiriko mkuu, ni wivu au ni nn 😅
Ni muongo tapeli mbunifuau ni muongo.
Tena sio ile Congo DR ya Tshekedi au Brazaville itakua Congo yake ya huko usingizini,hiyo serikali unayoiba hivyo labda ya Congo,
Hao ni wazee wa mastory wa Jf akijisikia anatunga tu story ili apate kuchat huyu simtofautishi na Chizi Maarifa au Bei Elekezi utofauti wao huyu anajifanya kuuvaa uhusika moja kwa moja kumbe anasahau Jengo aliloingia kurekodi clip sio la kwake maana yake akimaliza kuigiza lazima arudi kwakeMwongo, na wewe ni mtu wa hovyo
👍👍Mzee una wivu mno... unaonekana ni mlalahoi mzee.!
We mtoto Mashallah.... U hali gani bibie?Hao ni wazee wa mastory wa Jf akijisikia anatunga tu story ili apate kuchat huyu simtofautishi na Chizi Maarifa au Bei Elekezi utofauti wao huyu anajifanya kuuvaa uhusika moja kwa moja kumbe anasahau Jengo aliloingia kurekodi clip sio la kwake maana yake akimaliza kuigiza lazima arudi kwake
Imeingia Cha kikeWe mtoto Mashallah.... U hali gani bibie?
Akituma hata 10k nafuta ID yanguu[emoji1787][emoji1787]Nimesha kutumia namba yangu PM mkuu, maana wewe ni chief, mkurugenzi usie na maneno mengi, huna baya zaidi ya kusingiziwa boss....[emoji4]
Ebu fanya neno moja tu PM itawaka kama dhahabu...[emoji91]
Hongo na rushwa huwa hazipiti kwenye book of accounts"Ndani ya miezi 3 nikiwa pale nikawa niko vizuri nikanunua uwanja sehemu yenye hadhi kidogo heka 3 nikaweka mansion yangu ikiwa na uwanja wa basebal na netbal ikiwemo sehemu za kucheza watoto na mabwawa ya kuogelea"
Hakuna office yenye books of account na excel uondoke na 3m cash kila siku kirahisi, labda kama wana bustani ya kulima noti na hiyo bustani wewe ndo unapalilia noti zikizingirwa na magugu