Ukienda huko kale waafrica ndo tulitisha sana tuliwatoa tongo tongo wazunguChina ni magiant kwa umri wake hata wazungu hawafikii, amefanya mambo makubwa huko kale,
Usimshambulie,we umeifanyia nini nchi.Hata hivyo wenye nyadhifa hawajaifanyia kitu aje kuwa yeye mwanaJEIEFU!Hadi unaandika uzi huu, umeifanyia nini nchi yako?
Wadau nawasalimu Kwa jina la jamhuri ya muungano wa tanzania. Kazi inaendelea.
Kichwa cha habari chausika. Naenda moja Kwa moja kwenye mada.
Nawaza Sana hivi ni kwanini tangu tumepata Uhuru 1961 mpaka leo neno umaskini ndo kibwagizo chetu?
Na mpaka leo tunaongea Maji Safi kijijini, shule havina vyoo, Uhuru tuliopata umetusaidia Nini Kama nchi? Mbona mimi sielewi tuliopata Uhuru wa kifanya Nini.
Lakini tuache hayo tangu tupate Uhuru tumeweza Nini Cha kuigwa duniani kutoka kwetu tanzania.
Tuna nini la kujivunia tuliyoweza Kila kitu hatuwezi yaani Kwa kweli nashindwa miaka yote hayo hatuna tulichoweza Cha kujivunia
Umaskini huu nani alaumiwe watanzania ni wavivu au nini kimetupata watanzania?
Tusaidiane shida iko wap karibun
Mkuu mtoa mada kaongelea umasikini at National level,wewe unatoa mawazo yako at family level-na hayo mawazo yako nayo sio sahihi China policy wa kuzaa watoto 2 ni kutokana na Idadi kubwa ya watu.Wa kulaumiwa ni sisi wenyewe.
Unapozaa watoto watatu au wa nne, kama gharama za kulea mtoto mmoja ni wastani wa Tsh mil 2 kwa mwaka; kwa miaka 30 huyo mtoto atakugharimu milioni 60.
Mchina mwenye mtoto mmoja atagharimika milioni 60, kulea.
Mzungu mwenye watoto wawili atagharimika mil 120 kulea.
Mbongo mwenye watoto watatu atagarimika mil 180 kulea
Na Mtz mwenye watoto wanne atagharimika mil 240 kulea.
Kwa hiyo, sio kwamba wachina na wazungu wametuzidi utajiri, No! Wanapata unafuu wa maisha hivyo kuokoa pesa nyingi kwa kujenga familia ndogo ndio maana wanaweza kununua magari mazuri na hata kufanya utalii.
Afrika itaweza kuondokana na umaskini endapo tu, familia zitajikita kwenye kuzaa mtoto mmoja hadi wawili.
Tofauti na hapo, wazazi wengi wenye watoto wengi watakufa masikini kwa kuwa fedha zao nyingi zimeenda kwenye kulea familia.
Kwa sababu western wameandika hivyo basi nawe unaona ni kweli.western walipoanzisha mfumo wa kibepari ilikuwa ni lazima wauponde mfumo wa ujamaa ili kuhakikisha mfumo huo unasambaa duniani,lakini sio kweli kwamba ndio chanzo cha umaskini.Tatizo ni mfumo mbovu wa Ujamaa. Ujamaa ndiyo uliharibu viwanda, uliharibu biashara za watu, uliharibu kilimo na ndiyo chanzo kikubwa cha ufisadi.
Sio kweliNl Nchi ni tajiri-utajiri wa Nchi ni resources ilizonazo.Wananchi ndio masikini.Nchi masikini, wananchi masikini. Viongozi matajiri...
Toka mwinyi hadi Leo ni miaka mingapi?Ubepari. Mfumo uliopunguza umaskini wa China, India, Korea na nchi nyingine nyingi.
Umaskini wa nchi = umaskini wa wananchi.Mkuu mtoa mada kaongelea umasikini at National level,wewe unatoa mawazo yako at family level-na hayo mawazo yako nayo sio sahihi China policy wa kuzaa watoto 2 ni kutokana na Idadi kubwa ya watu.
Western countries wanazaa watoto wachache kutokana na rasilimali chache walizonazo tofauti na sisi.
Changia kutokana na hoja iliyotolewa sio unatengeneza hoja yako kisha inaichangia.
Ioo pyramid mbona washajimilikisha, sisi wametuachia ngome ya washona na ya ghana kule.Ukienda huko kale waafrica ndo tulitisha sana tuliwatoa tongo tongo wazungu
Soma ancient egpyt utajua mwafrica alichofanya tena leo moja ya kazi zetu inaittwa maajabu ya dunian.
Piramidi ya misri inayoitwa Giza piramidi. Sisi siyo watu wadogo huko nyuma.
Ushahidi mwingine Soma biblia isaya 18. Utaona sifa ya mwafrica biblia inasema taifa wakagao watu tangu mwanzo wao
Sisi wenyewe wananchi wa nchi hii 🤔Wadau nawasalimu Kwa jina la jamhuri ya muungano wa tanzania. Kazi inaendelea.
Kichwa cha habari chausika. Naenda moja Kwa moja kwenye mada.
Nawaza Sana hivi ni kwanini tangu tumepata Uhuru 1961 mpaka leo neno umaskini ndo kibwagizo chetu?
Na mpaka leo tunaongea Maji Safi kijijini, shule havina vyoo, Uhuru tuliopata umetusaidia Nini Kama nchi? Mbona mimi sielewi tuliopata Uhuru wa kifanya Nini.
Lakini tuache hayo tangu tupate Uhuru tumeweza Nini Cha kuigwa duniani kutoka kwetu tanzania.
Tuna nini la kujivunia tuliyoweza Kila kitu hatuwezi yaani Kwa kweli nashindwa miaka yote hayo hatuna tulichoweza Cha kujivunia
Umaskini huu nani alaumiwe watanzania ni wavivu au nini kimetupata watanzania?
Tusaidiane shida iko wap karibun
Toka mwinyi hadi Leo ni miaka mingapi?
ILANI YA CHAMA CHA MAPINDUZI KWA AJILI YA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2020
SURA YA KWANZA
UTANGULIZI
1. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, chini ya uongozi wa vyama vya TANU
na ASP na baadae CCM, imejengwa katika misingi ya ujamaa na kujitegemea
inayozingatia utu, usawa na haki. Misingi hii imeimarishwa na siasa safi na
uongozi bora wa CCM na imekuwa ndio nguzo ya kudumisha amani, umoja
na mshikamano wa kitaifa. CCM itaendelea kuzisimamia Serikali zake
kuhakikisha kuwa zinazingatia, kulinda na kudumisha misingi hii adhimu.
Kwa sababu western wameandika hivyo basi nawe unaona ni kweli.western walipoanzisha mfumo wa kibepari ilikuwa ni lazima wauponde mfumo wa ujamaa ili kuhakikisha mfumo huo unasambaa duniani,lakini sio kweli kwamba ndio chanzo cha umaskini.
Haya viwanda vyote tulivyokuwa navyo wakati wa ujamaa-vimepelekwa wapi ulipoanza ubepari??
Lakini Rais Samia amekuja kuleta mapinduzi ya maendeleo mpaka vijijini miundombinu imeboleshwa maji mpaka vijijini umeme unapatikana mpaka vijijini kwaiyo tutegee makubwa zaidiWadau nawasalimu Kwa jina la jamhuri ya muungano wa tanzania. Kazi inaendelea.
Kichwa cha habari chausika. Naenda moja Kwa moja kwenye mada.
Nawaza Sana hivi ni kwanini tangu tumepata Uhuru 1961 mpaka leo neno umaskini ndo kibwagizo chetu?
Na mpaka leo tunaongea Maji Safi kijijini, shule havina vyoo, Uhuru tuliopata umetusaidia Nini Kama nchi? Mbona mimi sielewi tuliopata Uhuru wa kifanya Nini.
Lakini tuache hayo tangu tupate Uhuru tumeweza Nini Cha kuigwa duniani kutoka kwetu tanzania.
Tuna nini la kujivunia tuliyoweza Kila kitu hatuwezi yaani Kwa kweli nashindwa miaka yote hayo hatuna tulichoweza Cha kujivunia
Umaskini huu nani alaumiwe watanzania ni wavivu au nini kimetupata watanzania?
Tusaidiane shida iko wap karibun