Umaskini wa nchi yetu nani alaumiwe?

Umaskini wa nchi yetu nani alaumiwe?

Wa kulaumiwa ni sisi wenyewe.

Unapozaa watoto watatu au wa nne, kama gharama za kulea mtoto mmoja ni wastani wa Tsh mil 2 kwa mwaka; kwa miaka 30 huyo mtoto atakugharimu milioni 60.

Mchina mwenye mtoto mmoja atagharimika milioni 60, kulea.
Mzungu mwenye watoto wawili atagharimika mil 120 kulea.
Mbongo mwenye watoto watatu atagarimika mil 180 kulea
Na Mtz mwenye watoto wanne atagharimika mil 240 kulea.

Kwa hiyo, sio kwamba wachina na wazungu wametuzidi utajiri, No! Wanapata unafuu wa maisha hivyo kuokoa pesa nyingi kwa kujenga familia ndogo ndio maana wanaweza kununua magari mazuri na hata kufanya utalii.

Afrika itaweza kuondokana na umaskini endapo tu, familia zitajikita kwenye kuzaa mtoto mmoja hadi wawili.
Tofauti na hapo, wazazi wengi wenye watoto wengi watakufa masikini kwa kuwa fedha zao nyingi zimeenda kwenye kulea familia.
Unastahili kupata like yangu

Kuzaa hovyo bila uzazi wa mpango, ushirikina, uchawi na ujinga ni moja na sababu kuu za umaskini Tanzania
 
Wa kulaumiwa ni sisi wenyewe.

Unapozaa watoto watatu au wa nne, kama gharama za kulea mtoto mmoja ni wastani wa Tsh mil 2 kwa mwaka; kwa miaka 30 huyo mtoto atakugharimu milioni 60.

Mchina mwenye mtoto mmoja atagharimika milioni 60, kulea.
Mzungu mwenye watoto wawili atagharimika mil 120 kulea.
Mbongo mwenye watoto watatu atagarimika mil 180 kulea
Na Mtz mwenye watoto wanne atagharimika mil 240 kulea.

Kwa hiyo, sio kwamba wachina na wazungu wametuzidi utajiri, No! Wanapata unafuu wa maisha hivyo kuokoa pesa nyingi kwa kujenga familia ndogo ndio maana wanaweza kununua magari mazuri na hata kufanya utalii.

Afrika itaweza kuondokana na umaskini endapo tu, familia zitajikita kwenye kuzaa mtoto mmoja hadi wawili.
Tofauti na hapo, wazazi wengi wenye watoto wengi watakufa masikini kwa kuwa fedha zao nyingi zimeenda kwenye kulea familia.
Ujinga ....vipi na ambao hawana watoto na vita bado vikali
 
Wa kulaumiwa ni sisi wenyewe.

Unapozaa watoto watatu au wa nne, kama gharama za kulea mtoto mmoja ni wastani wa Tsh mil 2 kwa mwaka; kwa miaka 30 huyo mtoto atakugharimu milioni 60.

Mchina mwenye mtoto mmoja atagharimika milioni 60, kulea.
Mzungu mwenye watoto wawili atagharimika mil 120 kulea.
Mbongo mwenye watoto watatu atagarimika mil 180 kulea
Na Mtz mwenye watoto wanne atagharimika mil 240 kulea.

Kwa hiyo, sio kwamba wachina na wazungu wametuzidi utajiri, No! Wanapata unafuu wa maisha hivyo kuokoa pesa nyingi kwa kujenga familia ndogo ndio maana wanaweza kununua magari mazuri na hata kufanya utalii.

Afrika itaweza kuondokana na umaskini endapo tu, familia zitajikita kwenye kuzaa mtoto mmoja hadi wawili.
Tofauti na hapo, wazazi wengi wenye watoto wengi watakufa masikini kwa kuwa fedha zao nyingi zimeenda kwenye kulea familia.
Je population ya nchi hizo Kwa square kilometer ni watu wangap. Acha kutudanganya hakuna kitu Kama hicho Africa siyo populated Kama Europe na Asia na marekani
 
Viongozi ndio watu wa kwanza kabisa kulaumiwa katika hili, Kila kitu wanacho mikononi mwao lakini daima wamechagua kujinufaisha wao kuliko nchi
ndio maana unashangaa pamoja na madini yote tuliyonayo na rasilimali zingine zote tulizo nazo kabla hata uhuru zimeshindwa kutu nufaisha kwa usahihi,
eti hadi Leo bado kuna mahali hapa nchini kuna ndugu zetu bado wanatumia maji ya vidimbwi ambayo yalipaswa kutumiwa na wanyama
Bado kuna maeneo wanatembea kilomita za kutosha kwenda shule na zahanati
Nakubali kwamba serikali imejitahidi kufanya mambo mengi mazuri lakini walipaswa kufanya zaidi kutokana na utitiri wa rasimali tulizo nazo
Pamoja na serikali but hayo uliyoyataja Jamii husika inaweza ikayatatua.
 
Siyo kweli walifanya ya wakati wao Sasa mbona wameshaondoka kea Nini hatuendelei? Huoni Kama Kuna shida?
Wapigania UHURU afrika walipigania maslai yao binafsi na sio maslai ya waafrika wote.Bora ya wakoloni
 
Ukweli ni kwamba sisi ni maskini kwa sababu taifa letu bado ni changa sana! Na ndio ukweli halisi huo miaka sitini ni michache sana kulinganisha na mataifa makubwa ya Ulaya na Asia.

Yaani hata bado hatujabalehe ( vita vya wenyewe kwa wenyewe) ndio maana wazazi wetu wazungu bado wanatulea.
 
Ukweli ni kwamba sisi ni maskini kwa sababu taifa letu bado ni changa sana! Na ndio ukweli halisi huo miaka sitini ni michache sana kulinganisha na mataifa makubwa ya Ulaya na Asia.

Yaani hata bado hatujabalehe ( vita vya wenyewe kwa wenyewe) ndio maana wazazi wetu wazungu bado wanatulea.
Hapana nchi za Asia tuna umri saw na sisi na walikuwa utumwani sawa na sisi lakini Leo wako mbali mfano Malaysia na Singapore na China yenyewe hatujafanya kitu kuchukia umaskini
 
Matajiri watachukua Kila kitu na kuwafanya watu maskini kukosa hata sehemu ya kuweka kichwa chake. Very bad
Sasa hivi wanapofukuzwa kama kule Bulyankulu na kuzikwa ndio sawa?

Ni bora kama kuuza wauze wenyewe ardhi yao kuliko kumpangia mtu maisha yake.
 
Umaskini upi na mabilioni yanaibiwa kila kona na wajinga wachache ambao tumeaminishwa ni mawaziri [emoji23][emoji23][emoji23]!

Siku ambayo tutahakikisha V8 haziendesheki na nyumbani kwa hao madhalimu hakukaliki ndo siku ambayo tutaheshimiana vizuri.
[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom