Umefika Muda Serikali itutumie vijana kutoka Tarime ili kukomesha Masuala ya Uhalifu kwenye baadhi ya Mikoa



Mkuu ninachokisema nakimaanisha!
 
Duh! Mara hii hii ninayoisikia kila leo kwa matukio?
 
Umesahau kuna mtu alitikisa tarime akijiita keno nke
mimi ni mtarime pia lakini penye ukweli tuseme
Keno Nke Pia namkumbuka miaka hiyo 2014's iv kama skosei...alikuwa ana mguu wa KUKU, anakuuliza swali ukijichanganya kujib hutaskia Paaa!
 
Keno Nke Pia namkumbuka miaka hiyo 2014's iv kama skosei...alikuwa ana mguu wa KUKU, anakuuliza swali ukijichanganya kujib hutaskia Paaa!
ndo huyo mkuu. haya mambo hayana ushujaa, mi mwenyewe wa tarime lakini jamaa alitikisa. huyu umughaka alikuwa wapi kama mwanaume kweli
 
Uliza ueleweke mkuu!
Nataka nitumie mabibo jeshini kama case study! Pale pana wakurya wengi na matukio haya yanatokea, kwanini tuamini kwamba wakiletwa wengine wanaweza kudhibiti na wakati hawa waliopo wameshindwa kudhibiti katika maeneo yao wanayoishi
 
Nataka nitumie mabibo jeshini kama case study! Pale pana wakurya wengi na matukio haya yanatokea, kwanini tuamini kwamba wakiletwa wengine wanaweza kudhibiti na wakati hawa waliopo wameshindwa kudhibiti katika maeneo yao wanayoishi

Kwani kazi yao hao walioko hapo mabibo ni kuzuia uahlifu?,Hayo mamlaka ya kuzuia uhalifu wamepewa na nani?

Dhumuni la kuandika uzi huu ni kutaka serikali itupe mamlaka na kuturuhusu kuzui uhalifu mikoa tajwa hapo juu,sijui kama umeelewa nilichoa andika!
 
Afu kamtu kembamba lakini kaliwafanya wana tarime kulala saa kumi na mbili jioni

Acha kuleta stori za Abunuwasi wewe!

Hizo stori za vijiweni huko nendeni mkawasimulie wanawake wenzenu ambao hawaelewi chochote!
 
Kwenye huu ulimwengu wa utandawazi , tabia ya mtu haitokani na kabila bali ni mtu mwenyewe anavyojihandle.

Kwa mfano mimi kabila ni X na tangu zamani nasikia kabila langu ni waoga na wepesi wa hasira kiasi cha kuchukua baadhi ya maamuzi yasiyofaa.

Lakini nyumbani kwangu vibaka hawapiti na wananijua vyema tu, Mimi Sina msamaha na yeyote aliye tayari kutoa uhai wangu.
Unanunua manati halafu unafungia kabatini? halafu?

Nini maana ya self defense?

Halafu kwenye mkoba upo na chaja pamoja na Bluetooth airphones , upo serious kweli, mwanaume!!

Muonekano pia unawaponza, nguo za kubana, vijiraba, au visendo vya kupuuzi na mitindo ya ajabu ya nywele, kwanini usikabwe!
 
Asilimia karbia 70 ya maaskari na wanajeshi ni wakuryaa wa kutoka huko tarime unakosema....haoa hao wenye silaha na mamlaka ndo wanaoufyata....we ambae hata kisu hujui kushika ndo tukupeleke kwa Wana apoloo...si watakupakata kabisa ?
 
Yaani wahalifu wakadhibiti uhalifu?

Ndo nasikia kwako leo
 
Yaani wahalifu wakadhibiti uhalifu?

Ndo nasikia kwako leo

Wahalifu wako Magerezani na vituo vya polisi mkuu,sijui wahalifu wapi unaowazungumzia wewe!
 
Wahalifu wako Magerezani na vituo vya polisi mkuu,sijui wahalifu wapi unaowazungumzia wewe!
Kwani wale waliotajwa na CAG kutenda uhalifu dhidi ya mali za umma miaka na miaka wapo magereza gani?

Hao watakatifu wako wanaochinjana kila kukicha ndo wadhibiti uhalifu?

Think again
 
Mkuu kuuza mayai kuna uhusiano na gani na ujasiri?

Kwahiyo ulitaka wasiuze Mayai waje wale kwenu?
Point yangu ni kwamba chukueni hao wauza mayai wapambane na majambazi badala ya kuingia gharama kuleta wauza mayai wengine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…