Umefika Muda Serikali itutumie vijana kutoka Tarime ili kukomesha Masuala ya Uhalifu kwenye baadhi ya Mikoa

Umefika Muda Serikali itutumie vijana kutoka Tarime ili kukomesha Masuala ya Uhalifu kwenye baadhi ya Mikoa

Labda muajiriwe polisi bila kujali elimu zenu na umri wenu, ila lazima mkapate mafunzo ya upolisi mjue kukabiliana na wahalifu zaidi
 
Kwani wale waliotajwa na CAG kutenda uhalifu dhidi ya mali za umma miaka na miaka wapo magereza gani?

Hao watakatifu wako wanaochinjana kila kukicha ndo wadhibiti uhalifu?

Think again


Naona hata ulichoandika hukijui!

Rudia kuandika tena!
 
Labda muajiriwe polisi bila kujali elimu zenu na umri wenu, ila lazima mkapate mafunzo ya upolisi mjue kukabiliana na wahalifu zaidi


Hakuna cha kuajiliwa hapo,wao watupe tu Go Ahead halafu waone!
 
Point yangu ni kwamba chukueni hao wauza mayai wapambane na majambazi badala ya kuingia gharama kuleta wauza mayai wengine.

Inaonekana unapenda sana mayai!,Angalia utapasuliwa yai huko Bwakenye!,Shauri yako!
 
Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!

Hivi sasa kumekuwa na wimbi kubwa mno la uhalifu unaofanywa na Vijana wadogo waziwazi!.

Kibaya zaidi uhalifu huo unafanyika mchana kweupe mbele ya wanaume legelege na wanawake wapaka wanja bila kuchukuliwa hatua zozote!.

Askari ambao tulitegemea walisaidie taifa kutoka na Moto wa Jeshi la Polisi (Usalama wa Raia na mali zake) nao wamekuwa waoga waoga hadi kupelekea uhalifu huo kushamiri!

Kwakuwa Vijana wengi kutoka Tarime tuna hali na muamko mkubwa wa kupambana na uhalifu,naiomba serikali itupe kibali maalumu na yatolewe magari yakawachukue vijana kule kwetu ili kupelekwa mikoa husika yenye usumbufu kutoka kwa WEZI,VIBAKA na MAJAMBAZI SUGU ili tukawaonyeshe namna ambavyo mtu anakula kipigo hadi anabaki kucheka badala ya kulia!.

Kuna mikoa nchi hii ni kama inataka kushindikana kwa uhalifu na Jeshi la Polisi ni kama limeishindwa!.

1. Arusha
2. Dar es salaam
3. Njombe

Naiomba serikali mlipokee ombi langu ili mlifanyie kazi kwasababu Vijana wa Tarime wapo tayari kupelekwa mikoa hiyo na kuisaidia kwasababu wakazi wa mikoa hiyo wanapata taabu sana kutoka na tu-toto tudogo ambato hata havijatahiriwa na kisu kuendelea kuwasumbua wanaume legelege wa mikoa hiyo!.

Hatuhitaji silaha ya aina yeyote kutoka serikalini, sisi tutakwenda na mapanga yetu tu amani itarejea kama kawaida.

Mkuu Maxence Melo tafadhali nifikishie hili ombi kwa waziri wa mambo ya ndani!
Muanze na wanaokula kodi za wananchi na kulindana
 
Nyie mnapigana wanawake zenu mnajisifu ,mnapigana na washamba wenzenu tena ugomvi wa silaha.

Tungeona mkiwa wengi kweny mchezo wa ngumi na kuwa washindi.

Nyie mna roho mbaya sio wapambanaji .
 
Zamani Majesh tuliwategemea Sana watu wa tarime, tatizo siku hizi wanachukua kila sehemu mpaka midebwedo ndomana hakuna ufanisi ni uogauoga tu, watoto wadogo wanachezea mitaa.
 
Kwenye huu ulimwengu wa utandawazi , tabia ya mtu haitokani na kabila bali ni mtu mwenyewe anavyojihandle.

Kwa mfano mimi kabila ni X na tangu zamani nasikia kabila langu ni waoga na wepesi wa hasira kiasi cha kuchukua baadhi ya maamuzi yasiyofaa.

Lakini nyumbani kwangu vibaka hawapiti na wananijua vyema tu, Mimi Sina msamaha na yeyote aliye tayari kutoa uhai wangu.
Unanunua manati halafu unafungia kabatini? halafu?

Nini maana ya self defense?

Halafu kwenye mkoba upo na chaja pamoja na Bluetooth airphones , upo serious kweli, mwanaume!!

Muonekano pia unawaponza, nguo za kubana, vijiraba, au visendo vya kupuuzi na mitindo ya ajabu ya nywele, kwanini usikabwe!
Toa location engineer nije tuisukume jioni tulivu muda wa kazi umeshaisha
 
Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!

Hivi sasa kumekuwa na wimbi kubwa mno la uhalifu unaofanywa na Vijana wadogo waziwazi!.

Kibaya zaidi uhalifu huo unafanyika mchana kweupe mbele ya wanaume legelege na wanawake wapaka wanja bila kuchukuliwa hatua zozote!.

Askari ambao tulitegemea walisaidie taifa kutoka na Moto wa Jeshi la Polisi (Usalama wa Raia na mali zake) nao wamekuwa waoga waoga hadi kupelekea uhalifu huo kushamiri!

Kwakuwa Vijana wengi kutoka Tarime tuna hali na muamko mkubwa wa kupambana na uhalifu,naiomba serikali itupe kibali maalumu na yatolewe magari yakawachukue vijana kule kwetu ili kupelekwa mikoa husika yenye usumbufu kutoka kwa WEZI,VIBAKA na MAJAMBAZI SUGU ili tukawaonyeshe namna ambavyo mtu anakula kipigo hadi anabaki kucheka badala ya kulia!.

Kuna mikoa nchi hii ni kama inataka kushindikana kwa uhalifu na Jeshi la Polisi ni kama limeishindwa!.

1. Arusha
2. Dar es salaam
3. Njombe

Naiomba serikali mlipokee ombi langu ili mlifanyie kazi kwasababu Vijana wa Tarime wapo tayari kupelekwa mikoa hiyo na kuisaidia kwasababu wakazi wa mikoa hiyo wanapata taabu sana kutoka na tu-toto tudogo ambato hata havijatahiriwa na kisu kuendelea kuwasumbua wanaume legelege wa mikoa hiyo!.

Hatuhitaji silaha ya aina yeyote kutoka serikalini, sisi tutakwenda na mapanga yetu tu amani itarejea kama kawaida.

Mkuu Maxence Melo tafadhali nifikishie hili ombi kwa waziri wa mambo ya ndani!
Wakurya ni wakali wakiwa tarime. Wakija Dar ni waoga wanauza mayai.
 
Hakuna cha kuajiliwa hapo,wao watupe tu Go Ahead halafu waone!
mkiachiwa kiholela mtakiuka haki za binadamu. Kama vipi anzisheni kikundi chenu cha kupambambana na uhalifu nchini kama sheria itaruhusu muingie kazini
 
1. Mkoloni aliajiri askari kutoka Musoma

2. Nyerere aliajiri askari kutoka Musoma

3. CHADEMA waliajiri walinzi kutoka Musoma.

4. Bongo movie(kipengele cha askari) kuna mtu wa Musoma.

Maana yake ni kwamba watu wa Musoma ni weledi katika ulinzi.

Sasa siku hizi askari wanatoka division 4, na shida zinaanzia hapa.
 
Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!

Hivi sasa kumekuwa na wimbi kubwa mno la uhalifu unaofanywa na Vijana wadogo waziwazi!.

Kibaya zaidi uhalifu huo unafanyika mchana kweupe mbele ya wanaume legelege na wanawake wapaka wanja bila kuchukuliwa hatua zozote!.

Askari ambao tulitegemea walisaidie taifa kutoka na Moto wa Jeshi la Polisi (Usalama wa Raia na mali zake) nao wamekuwa waoga waoga hadi kupelekea uhalifu huo kushamiri!

Kwakuwa Vijana wengi kutoka Tarime tuna hali na muamko mkubwa wa kupambana na uhalifu,naiomba serikali itupe kibali maalumu na yatolewe magari yakawachukue vijana kule kwetu ili kupelekwa mikoa husika yenye usumbufu kutoka kwa WEZI,VIBAKA na MAJAMBAZI SUGU ili tukawaonyeshe namna ambavyo mtu anakula kipigo hadi anabaki kucheka badala ya kulia!.

Kuna mikoa nchi hii ni kama inataka kushindikana kwa uhalifu na Jeshi la Polisi ni kama limeishindwa!.

1. Arusha
2. Dar es salaam
3. Njombe

Naiomba serikali mlipokee ombi langu ili mlifanyie kazi kwasababu Vijana wa Tarime wapo tayari kupelekwa mikoa hiyo na kuisaidia kwasababu wakazi wa mikoa hiyo wanapata taabu sana kutoka na tu-toto tudogo ambato hata havijatahiriwa na kisu kuendelea kuwasumbua wanaume legelege wa mikoa hiyo!

Hatuhitaji silaha ya aina yeyote kutoka serikalini, sisi tutakwenda na mapanga yetu tu amani itarejea kama kawaida.

Mkuu Maxence Melo tafadhali nifikishie hili ombi kwa waziri wa mambo ya ndani!
Sasa unaingia Tarime "be strong"
 
Back
Top Bottom