GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Hata hivyo una vinasaba vyote vya UzambiaNimemwambia sitokei Tanzania natokea Zambia naelekea kwa wenye Akili Kubwa Kenya, Rwanda na Uganda.
Yaani nikubali Kudharaulika na Mzungu kwa Upumbavu wa Waswahili Wachache? Haiwezekani na GENTAMYCINE nimeukana Utanzania kwa muda na Kujita Mzambia ili mdharauliwe nyie na siyo Mimi.
Imeisha hiyo...!!
Huyu ni mzambia pureSisi tunajua Wewe kwenu ni tarime.
Nimemwambia sitokei Tanzania natokea Zambia naelekea kwa wenye Akili Kubwa Kenya, Rwanda na Uganda.
Yaani nikubali Kudharaulika na Mzungu kwa Upumbavu wa Waswahili Wachache? Haiwezekani na GENTAMYCINE nimeukana Utanzania kwa muda na Kujita Mzambia ili mdharauliwe nyie na siyo Mimi.
Imeisha hiyo...!!
Dawa pekee ni kubinafsisha report ni ujinga mtupu na watalindana .....ukiongea na wasimamizi utalia....pesa as matengenezo usafi ukarabati umeme hazitoki kabisa kutoka wizarani BMT etc ....wanaonewa wasimamizi dawa kuuubwa uwe kampuni binafsi periodILA WIZARA IMEAGIZA UCHUNGUZI LKN
TUSUBIRI RIPOTI YA TUME HIYO YA UCHUNGUZI
rejea magazeti ya leo
Kwa hiyo Tanzania ndio imefauluHata hivyo una vinasaba vyote vya Uzambia
Nchi ambayo uchumi wake umeferi,Serikali imeferi mpaka inasaidiwa na China kuendesha jeshi lake la Polisi
Nchi kubwaaa isiyojielewa
Tanzania imeingiaje hapaKwa hiyo Tanzania ndio imefaulu
Na zambia imeingiaje hapo kichwa chako kina Ma+viTanzania imeingiaje hapa