Umeme umekatika Uwanja wa Benjamin Mkapa wakati Mechi ya Yanga na Rivers ikiendelea
Tukipata ban ya miaka 10 nitafurahi sana, hii serikali inachokijua ni kupiga dili tuu ila kuboresha miundombinu hawajui.
 
Uwanja wa Taifa giza Tena,Mwigulu ansema tupo salama

Jamani ,tuwe serious hii Ni mara ya pili.
CAF fungieni uu uwanja tafadhali

===========

Mchezo wa mkondo wa pili wa robo fainali ya kombe la Shirikisho Afrika kati ya wenyeji Young Africans SC dhidi ya Rivers United ya Nigeria imesimama kwa muda baada ya taa za uwanja wa Benjamin Mkapa kuzima ghafla.

Taa zimezima mchezo ukiwa 0-0 mnamo dakika ya 28.
AIBU saana
 
Diesel Generator 2 za KVA150 x 02 zinatosha kabisa kuwa standby hapo PUMBAVU KABISA.

huwa tunatabia yakuwategemea walewale waliotengeneza tatizo kuwa sehemu ya utatuzi wa Tatizo.... ndio maana kila siku tunategemea CCM iliyoleta matatizo itatue matatizo.
 
Yaani, TANESCO Dar wanatakiwa kufukuzwa kazi haraka sana, hii aibu, lakinin iweje uwanja wa Taifa hauna hata Standby generator kweli? [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Umeme haujkatika , ni mataa yamezima uongozi wa uwanja ndio tatizo

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Ingekuwa ni uwezo wangu, waziri wa michezo na Meneja wa Uwanja muda huu huu wangerudi makwao na daladala.
 
Halafu JPM walikuwa wanamuita dikteta, pumbavu zenu wote.
Watu wa hii nchi bila kupelekwa na kipigo hawaelewi.
 
Mwendazake angekaa kwenye Circuit Breaker isi trip?
Hivi shida ya ku-trip kwa circuit breaker husababishwa na nini? Naulizia kwenye nyumba ndogo za vyumba vichache ukiachana na viwanja vikubwa
 
hahahaha, shida kweli kweli.

kwanini game haikuanza saa kumi kamili au tisa kabisa, tunaleta mbwembwe ilihali miundo mbinu yetu mibovu.

Kesho Mama ulipaswa kutumbua Waziri wa michezo, Naibu, katibu mkuu nk na hao viongozi wa uwanja ungewaacha.
 
Unaweza kuta KOLO moja limefanya ujinga huo …… Alisisika mlevi mmoja akiropoka mitaa ya keko magurumbasi
Hii ni issue sensitive ila nadhani haichukuliwi katika uzito wowote, kama kumbukumbu zangu ziko vizuri hii si mara ya kwanza.
 
hahahaha, shida kweli kweli.

kwanini game haikuanza saa kumi kamili au tisa kabisa, tunaleta mbwembwe ilihali miundo mbinu yetu mibovu.

Kesho Mama ulipaswa kutumbua Waziri wa michezo, Naibu, katibu mkuu nk na hao viongozi wa uwanja ungewaacha.
Kuwatoa kwenye vyeo haisaidii wawe wana-confiscate hata mali zao
 
Back
Top Bottom