Umeme umekatika Uwanja wa Benjamin Mkapa wakati Mechi ya Yanga na Rivers ikiendelea
Hizo milion 10 zinazotolewa, zilitakiwa zipelekwe kwenye maintenance kama hizi , ona sasa aibu tunavotia, watu wemgi wanafatilia hii michuano Africa.

Tunaonekana hatupo seriously kabis Tanzania kichwa cha mwend.........
Bajeti ya umeme ipo kwahiyo kuhusu hiyo 10M wala haitakiwi kuwa na mjadala!
 
Sio budget hiyo ni emergency waweke ona tunavoaibika
 
Uwanja wa Taifa giza Tena,Mwigulu ansema tupo salama

Jamani ,tuwe serious hii Ni mara ya pili.
CAF fungieni uu uwanja tafadhali

===========

Mchezo wa mkondo wa pili wa robo fainali ya kombe la Shirikisho Afrika kati ya wenyeji Young Africans SC dhidi ya Rivers United ya Nigeria imesimama kwa muda baada ya taa za uwanja wa Benjamin Mkapa kuzima ghafla.

Taa zimezima mchezo ukiwa 0-0 mnamo dakika ya 28.
Ningekuwa na uwezo, ma-rope na Mkurugenzi wa uwanja wa Taifa ningewafuta kazi
 
Hakuna jambo tunaweza kufanya Kwa 100%?
Kwa Tanzania hii na mtu mweusi kwa kiasi kikubwa hakuna!

Jana nilikuwa napanda mwendokasi. Kulikuwa na msongamano hatari wa abiria lakini nilihesabu mabasi 14 yote yakiuunguruma na madereva wapo kwenye vikundi wakipiga stori.

Mbali na kuiba, wivu, uvivu, kutojali, ujuaji wa kijinga na ushirikina hakuna tunachokiweza! 🚮🚮🚮
 
Ndio maana wakati mwengine Hayati JPM alikuwa mkali kama pilipili kwa sababu kuna watu wa ovyo sana. Bila mjeledi kuna watu wanaweza kunyea kichwani.

Nawaomba viongozi wangu kamwe tusiwachekee wazembe
 
Hizo milion 10 zinazotolewa, zilitakiwa zipelekwe kwenye maintenance kama hizi , ona sasa aibu tunavotia, watu wemgi wanafatilia hii michuano Africa.

Tunaonekana hatupo seriously kabis Tanzania kichwa cha mwend.........
Juzi kwenye game ya Simba hawa wahuni TFF na wenzake wamevuta 200mil+, kazi kulipana tu miposho hakuna maintenance yoyote ya Uwanja inayofanyika.
 
Itakuwa figisu zao watu waendelee kuingia kwa wingi wapate mtonyo wa kutosha.
 
Hii nchi ya hovyo kweli. Mkiambiwa muwaachie na wengine waajiriwe kwenye hizo sekta ambazo zimewashinda mmekazana "vijana mjiajiri" sasa nyie mlioAjiriwa mnafanya nini?? Hovyo!!
Hamuoni kama mnaiaibisha Taifa..
 
Back
Top Bottom