Umewahi kuachana na mtu kisa kazidisha mapenzi?


[emoji16][emoji16] umeyatimba
 

Chaiiiiiiiii
 
2011 aisee nlikua chuo nikawabored sana sikuwa na girfriend, nikaja kumpata dada mmoja mpare wa moshi mrembo tu amaembia bizuri tu, mimi nlikua nasoma morogoro. Alikuwa secretari wa mahskama
Basi baada ya urafiki tulijikuta wapenzi.
Nikaomba aje morogoro akakubali ijumaa aje tukae whole weekend na j2 angarudi.
Sikuamini nlichokutana nacho. Ana kitundu kidogo mpaka sio poa yaan unalazimisha kupita hata km ameloa. Nlikula ile kitu mpaka miguu ikaishiwa nguvu.
J2 ilivofika nashangaa mtu ile asubuhi analia balaa kumuuliza aje akasrma mm siondoki, akaomba ruhusa job wakamruhusu tukakaa tena aliondoka j5. Tulikua gest.
Sasa simu ndo ikawa frequent hadi upo chooni anapiga, usipopokea ni kilio km kafiwa, usipompigia akikupigia analia, akafosi kila weekend awe anakuja sasa gharama zikanishinda ikabidi tu nijikatae kimtindo.
Nlimuumiza sana yule dada huwa nikikumbuka hadi leo huwa napata taabu sana, nishapoteza mawadiliano naye jina pia nishamsahau ila sura namkumbuka
 
Pole mkuu huenda yupo humu JF kwa sasa ukute labda ndio anajiita To yeye ๐Ÿ˜„
 
Nataman hadi kuroga ili nami nionje japo tone la huo upendo nyie mnaukimbia. Kweli tumetofautiana
Ukiona kitu watu wengi wanakikimbia ujue hata wewe kuna uwezekano mkubwa utakimbia pia.. Mwanzoni utafurahia ila baada ya mda utaona kero na kutoka nduki kali
 
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐ŸคฃAnaweza hata akakuta hizo meseji msamaha akaomba yeye!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ