Umewahi kuchekeshwa na MC Pilipili?

Umewahi kuchekeshwa na MC Pilipili?

Huyo jamaa anaitwa MC Mandevu,kwa stand up comedy anajitahidi,kuna moja alinichekesha "mimi ni mwalimu,sioni tabu kusahihisha madaftrari 1000 au 500,mi kufundisha siyo ishu,noma ni pale mtoto wa watu avute bangi zake aniletee,ajaribu kunipiga,nitamtandika,nitampiga vichwa ,nitamtoa meno,najua uongozi wa shule utanirishisha kwa kumfukuza shule,nitamfuata kwao na masela zangu,tutampiga baba yake,nitampiga na mama yake,tutapiga na paka wao,hata kama kuna baiskeli imeegeshwa hapo nje kwao nitapiga,anipige kwa mshahara upi?""

Jamaa yupo vizuri

Sent using Jamii Forums mobile app[/QUO




una viashiria vya kuwa ww ndie MC Mandevu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna kitu anafanya pale, naona anajikakamua tuu comedy ni talanta sio kila mtu anayo, kwaupande wa standup comedy wakenya wapo mbali sana sana tuu, sio kwamba napinga vitu vya kwetu lakini ukweli sijaona mtanzania mchekeshaji sio JOTI, MPOKI, MC PILIPILI, wote hakuna kitu
Naunga mkono hoja kwa uchungu mkubwa
 
Mimi sijawahi kuchekeshwa nae sio huyo 2 na wengine wote... Watu wanao chekesha ni wale wanao chekesha kw vitendo kama mr.BEAN na "charlie chaplin" lakin hawa wa maneno mengi ni porojo 2 bora Tom na jerry ntacheka hao wana vipaji vya kuongea wala sio wachekeshaji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
!
!
Ila Pamoja Na Hayo... Katika Zama Hizi Za, Selikali Ya Awamu Ya Tano Mtanzania/Mtanganyika Mpaka Acheke Inabidi Itumike Sana.

Nguvu Ya Kumfanya Mtanganyika Mmoja Atabasamu Inatosha Kuwafanya Wamerkani 1000Plus Hadi Wakapaliwa Na, Kuvunjika Mbavu
 
Huyo jamaa anaitwa MC Mandevu,kwa stand up comedy anajitahidi,kuna moja alinichekesha "mimi ni mwalimu,sioni tabu kusahihisha madaftrari 1000 au 500,mi kufundisha siyo ishu,noma ni pale mtoto wa watu avute bangi zake aniletee,ajaribu kunipiga,nitamtandika,nitampiga vichwa ,nitamtoa meno,najua uongozi wa shule utanirishisha kwa kumfukuza shule,nitamfuata kwao na masela zangu,tutampiga baba yake,nitampiga na mama yake,tutapiga na paka wao,hata kama kuna baiskeli imeegeshwa hapo nje kwao nitapiga,anipige kwa mshahara upi?""

Jamaa yupo vizuri

Sent using Jamii Forums mobile app

Hahaaaaaa Jamaa hatari
 
Habari zenu, kwanza nianze kumpongeza MC Pilipili kwa kupambana, kwa ujumla ni MC mzuri sana tu, turudi kwenye mada.

Mimi ni mdau mkubwa wa vichekesho vya ndani na nje ya nchi yetu. Kimsingi sikumbuki kama kuna siku nimewahi kuchekeshwa na MC Pilipili.

Huwa naangalia vipindi vyake vinavyoitwa vya ucheshi lakini hajawahi kunichekesha hata siku 1, huwezi mfananisha na mtu kama Joti
Wabongooo salute!

Nishawahi kuchekeshwa nae mara moja, kuna clip alikuwa anaongelea tabia za skuli enzi hizo. Ilikuwa nzuri

Ila Kwa Bongo kuna CHEKA TU inaoneshwa EATV, kuna jamaa ana madevu. He is talented sana

Sent using Jamii Forums mobile app
au ile timu ya Mizengwe nk.

Kwa maoni yangu nadhani huyu bwana ni MC na si mchekeshaji au kuna wanao chekeshwa na MC Pilipili?
Hajui kabisa kuchekesha
 
Siku aliyonichekesha ni ile aliyokuwa kwenye interview na mkewe halafu alivyohojiwa na zamarad akaanza kulia
 
Back
Top Bottom