Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si Wasafwa haoTukuyu uko
Sasa unabishana na wenyewe waliojitambulishaSi Wasafwa hao
Majani ya maharage yaliyo kaushwaa au mabichii??Majani ya maharage iringa huko, nilishangaa ila nilivyo onja nikaona mbona fresh tu. Kwetu singida majani ya maharage hayaliwi.
Kwetu songea tunaita "mangatungu" ni upupu ule.Zambia wanakula yale mawashawasha yenye manyoya yanayowasha Yana rangi rangi halafu yanatisha na tukuyu wanakula panya buku.
Mawungu hayaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ngoja niishie hapo bro. Kuna kitu nilitaka kuandika.Sasa unabishana na wenyewe waliojitambulisha
Majani ya maharage iringa huko, nilishangaa ila nilivyo onja nikaona mbona fresh tu. Kwetu singida majani ya maharage hayaliwi.
Mabichi eti, Kama tunavyokula majani ya kunde.Majani ya maharage yaliyo kaushwaa au mabichii??
Yah yah umenikumbusha wanavyoiita, sikuamini kuwa ni matamu vile kule kwetu yanakaukiana tu.Mbeya inaotwa nguniyani (ngunyani), unapata imepikwa na karanga za kusaga...hatariiii
Kwwnu mnakula mlenda wa kusaga sio?Majani ya maharage iringa huko, nilishangaa ila nilivyo onja nikaona mbona fresh tu. Kwetu singida majani ya maharage hayaliwi.
Yah ni mbaya mi binafsi hapanaa!Kwwnu mnakula mlenda wa kusaga sio?
Ndo maana yakee, mbna tunakula sanaa.Mabichi eti, Kama tunavyokula majani ya kunde.