Umewahi kukutana ana kwa ana na mnyama gani mkali?

Sitasahau tulilala na nyoka aina ya Cobra ukubwa mita 1.5 za mraba kwakua alishiba panya yule nyoka alishindwa kutembea hivyo alipita upande tulioelekeza vichwa vyetu wakati tumelala kwenye majamvi, kwa wale tuliokulia vjijini tunaelewa haya maisha ya kulala chini

Basi kwakua yule nyoka alishiba panya hivyo aliishia kukaa kwenye kona karibia na mlango ambapo kulikuwa na pipa la kupikia pombe ya mahindi

Majira ya Hasubuhi alikuja mke wa Baba mdogo ambae tulikua tunakaa jirani yaani nyumba ya Bibi na yao zilikua zinatizamana alikuja kuomba chanuo ili awahi Hospitari kumpeleka mtoto alikua anaumwa

Alipokuja alianza kumuamsha Sister ili ampe hilo chanuo, sister alipoamka akaanza kulitafuta cha kushangaza wakati anatafuta lile Chanuo ghafla alisikia sauti kama Bata kwenye kona akaanza kujiuliza ikiwa sisi hatufugi mabata hili bata linalopiga kelele la nani akawa anazidi kusogelea ule upande kwakua kulikua na kigiza Basi yule nyoka alimtemea mate hali iliyopelekea aangue kilio kama mtoto mdogo...

Basi tukaamshwa ili tutoke nje ile tunatoka nnje me braza na aliyekuja kutuamsha ni sister mwingine" amkeni kuna kuna nyoka mkubwa yupo hapo kwenye kona ya mlango na mpite haraka"

Ile tunatoka nje tulikuta nyomi la watu na hiyo yote ilisababishwa na sister aliyetemewa mate kulia kwa maumivu ya kutemewa mate na yule nyoka.

Itaendelea.....
 
Mi kila siku simba na fisi nawakimbizaga na mwiko ule wa kusongea ugali...
Wanakujaga kumendea mbuzi wangu
 
My fellow human being . Thanks God lile panga halikunipata kichwani japo lilinijeruhi mkono. Wakabeba simu yangu na vichenji vyangu mfukoni. Hili tukio sitakaa nisahau.
 
Vifutu hao. Wapo sana Iringa na alininusuru nikiwa mdogo huko Moro. Nilimkanyaga ni Mungu tu aliniepusha kwani yule kifutu(Viper) ndio nyoka mwenye sumu zaidi duniani.
 
Pole😆
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…