Umoja Party: Najitolea kujenga Ofisi

Wewe siyo mpinzani ni mccm namba moja. Unataka kutumia mbinu za wakati wa ukoloni za devide and rule. Kwa mawazo yako hutaki kuona upinzani ukiungana ili uwe na nguvu za kuitoa CCM madarakani.
 
Mimi naipenda Chadema ila kwa leo tuu nasema CCM mbele kwa mbele ...mimi siwezi kuunga Waasi the SukumaGang.
 
Usafiri najitolea na ikiwezekana nitakuwa dereva pia
 
Vyama vishatosha, msituchoshe.
Vyama gani vinatosha? Vyama hivi vya walamba Asali kina Mbowe, Zito, Lipumba (vu), Dovutwa, Cheyo na takatakata nyingine?

Tunahitaji chama kipya cha kizalendo kisicho na mafungamano na CCM na serikali yake na chenye maono na sera za kufanya Tanzania kuwa taifa la uchumi mkubwa . MIMI NITAKUWA MMOJAWAPO WA WANACHAMA WA MWANZO KABISA WA CHAMA KAMA HICHO
 
CCM nacho ni chama cha siasa ama kundi la magaidi ndugu.
Kwanza tuambieni wapi Ben saa8 na Azory
 
Kwani sasa hivi CDM haina ushirikiano na CCM?? Kweli aliyewaita nyumbu alifanya research ya kutosha sana!!
 
Pole! Sisi wenzio tunaendelea kula kama kawa!!

Mkuu mimi niko na njaa ya hatari, huenda nikafa wiki hii hii, utakuja kwenye mazishi yangu nikutumie location inbox?
 
Mkuu mimi niko na njaa ya hatari, huenda nikafa wiki hii hii, utakuja kwenye mazishi yangu nikutumie location inbox?
Nitatuma rambirambi mimi niko huku Urusi na Wagner tunapambana kuhakikisha mashoga hayatawali dunia hii.
 
Una mawazo ya kidikteta kama Jiwe. Watu kama wewe mmezaliwa bahati mbaya Tanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…