Bwana mdogo eliakeem utazeeka haraka kama kila kitu unakichunguza hiki uongo hiki kweli. Utakufa upesi kama kila kitu unakichukulia serious. Hii topic mbovu tu hii,unakomaa nayo
Lakini mkuu huyo lisu kweli amerukwa na akili i see!Wewe baba yako angekuwa na akili angekubali kulea mtoto kama wewe uliyepatikana kwenye mikesha ya mwenge? Wewe huna hoja unayochangia umejipa kazi ya kuwatukana viongozi wa Chadema na hata kwa mada ambazo haziwahusu na mods wanakuchekea tu. Shida ndiyo hiyo kwa humjui baba yako halisi ndiyo maana huna adabu kwa watu unatukana ovyo
Lissu mnamsema vibaya sababu za siasa zenu lakini Lissu binafsi nimemwona yupo vizuri sana kwenye hoja zake(sijaguarantee uwezo wake wa kuongoza nchi)Lakini mkuu huyo lisu kweli amerukwa na akili i see!
Mfuate aliko tujue kweli unamkubali.
Alafu kuna wajinga watatu Assad. Lema na Lisu wanatokwa povu kutuaminisha kwamba Magufuli alikuwa zero tu.
Haya sasa hata mabeberu yanayowalea Ulaya yamewakana sasa, yamesema rais Magufuli alikuwa kiongozi mwenye maono na mwenye mapenzi ya kweli na nchi yake.
JPM alikuwa chuma kweli kweli
Alafu kuna wajinga watatu Assad. Lema na Lisu wanatokwa povu kutuaminisha kwamba Magufuli alikuwa zero tu.
Haya sasa hata mabeberu yanayowalea Ulaya yamewakana sasa, yamesema rais Magufuli alikuwa kiongozi mwenye maono na mwenye mapenzi ya kweli na nchi yake.
Kwani huku JF hakuna hao watu wa kawaida? Ninachojua mimi, hakuna mtu anayeweza kupendwa na watu wote au kuchukiwa na watu wote.Nilicho amini MAGUFULI ALIKUWA HAPENDWI JF TU ....BUT SIO KWA WATU WAKAWAIDA. RIP COMREDI
Na wewe una wazimuLakini mkuu huyo lisu kweli amerukwa na akili i see!
Kinuju akili zako za duara . Kazi inaendeleaNi lini walimwomboleza Saddam Hussein?
Hivi nikisema dish limeyumba nitakuwa nimekosea wajameni?Lissu wazungu walishamtia najisi siwezi kumuamini tena. Tayari Lissu yuko compromised.
Hivi Lissu akishinda Urais si wabeligiji watajitwalia ziwa Nyanza liwe lao?
Huku kutafuta sifa kila mahali wala hakupendezi...kila raisi anayefariki huombolezwa na umoja wa mataifa / un.
..na hotuba nzuri-nzuri hutolewa ktk kumuomboleza.
..miaka yote alipokuwa raisi magufuli hakuwahi kuhudhuria vikao vya UN.
Mnahangaika sana na marehemu wenu as if 2025 atagombea tena. Legacy yake kwishney as if hakuwepo vile, afu ni mwezi m1 tu
Alafu kuna wajinga watatu Assad. Lema na Lisu wanatokwa povu kutuaminisha kwamba Magufuli alikuwa zero tu.
Haya sasa hata mabeberu yanayowalea Ulaya yamewakana sasa, yamesema rais Magufuli alikuwa kiongozi mwenye maono na mwenye mapenzi ya kweli na nchi yake.
Kwani alifariki akiwa madarakani? Ni kwa sababu hiyo hiyo Nyerere, Mkapa, George H Bush n.k hawakuombolezwa. Wanaombolezwa wachache sana kama Mandela ambao mchango wao kwa dunia unaonekana kuwa zaidi ya urais wao.Ni lini walimwomboleza Saddam Hussein?
Wacha MATAGA waendelee kunyegeka tu..kila raisi anayefariki huombolezwa na umoja wa mataifa / un.
..na hotuba nzuri-nzuri hutolewa ktk kumuomboleza.
..miaka yote alipokuwa raisi magufuli hakuwahi kuhudhuria vikao vya UN.
Wanawashwa kama sigara kali..hapana.
..Tanzania ni kubwa kuliko Magufuli. Tanzania ndio imemtangaza Magufuli.
..hao mabalozi wanaoomboleza wanafanya hivyo kwasababu wanaiheshimu Tanzania, na wanapenda kuwa na mahusiano nayo mazuri.
..vijana mnatakiwa mfunguliwe darasa la diplomasia na mahusiano ya kimataifa.
cc MALCOM LUMUMBA
Saddam alifia madarakani au aliuawa na hayo mabeberu ili kujinufaisha na rasilimali za mafuta. Sasa watamuomboleza vipi wakati waliiaminisha dunia kwamba wanawapa hifadhi magaidi kama al qaeeda na IS.Ni lini walimwomboleza Saddam Hussein?