Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Makonda yupo na ataendelea kuwepo labda mama aondoke.Kwa uzoefu wa CCM hasa hii ya sasa tayari Makonda kayakanyaga. Wakuu wa CCM wakishavalia njuga suala ni lazima uvune ulichopanda. Hata angekuwa mwenyekiti wa UVCCM ndo katoa kauli ya kuchukizwa na hicho kitendo lazima Konda Boy yangemkuta tu. Tusubiri tuone.
Mgaufuli aliwahi kuondoka?Makonda yupo na ataendelea kuwepo labda mama aondoke.
Yuko hai baada ya kufanyiwa upasuaji wa kichwa kuondoa damu kwenye ubongo, Wahusika akiwemo Chatanda watakamatwa baada ya ccm kung'olewa madarakani 2025Nje ya mada, nini ilikuwa hatima ya huyu bwana kushambuliwa hivi? Natamani sana kujua
ziko picha 3 za tukio hili, hii ni moja na kuna mbili sijawekaKwenye picha simuoni
Madai yako yanafutwaziko picha 3 za tukio hili, hii ni moja na kuna mbili sijaweka
😄😄Wanawake dawa Yao ni ngosha😄
SawaHiyo Clip mbona sijaona udhalilishaji wowote
Makonda ni huyuhuyu aliyesema Magufuli mungu wa Tanzania na Makonda mungu wa Dar es Sslaam! Watu wote tuliufyata mkia wakiwemo wateule wa Mungu maaskofu.Mgaufuli aliwahi kuondoka?
Aisee…anajinadiMakonda ni huyuhuyu aliyesema Magufuli mungu wa Tanzania na Makonda mungu wa Dar es Sslaam! Watu wote tuliufyata mkia wakiwemo wateule wa Mungu maaskofu.
Umetishaaa 😁
Mnakua na vipindi vya mood...Umetishaaa 😁
Hatari nanusuuuu lo. Mambo yetu tuachie wenyewe 🤭
Hatelezi ulimi bali anatatizo la ulevi wa madaraka na analo toka muda sana nashangaa wateuaji sijui huwa wanatumia tumbo kufanya vetting mbona hatukuwahi kuwa na takataka za aina hii kwenye uongozi wa miaka ya nyumaMwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake (UWT) Marry Chatanda ameeleza kusikitishwa na kitendo cha Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda alichokiita unyanyasaji na udhalilishaji wa watendaji wanawake kwenye maeneo yao ya kazi.
Chatanda ameyasema hayo leo Jumamosi, Mei 25, 2024 jijini Dodoma wakati wa semina ya wabunge wa viti maalumu, manaibu waziri, mawaziri, makatibu wa jumuiya ya wazazi ngazi ya mkoa na wilaya ambapo mgeni rasmi alikuwa Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Tanzania bara, Abdurahman Kinana
"Kuna 'clip' imezunguka kule Arusha, Longido haikuwa jambo jema wala sio zuri hata kidogo, kama wewe ni kiongozi mkuu wa Serikali na umemuona mtendaji wako amekosea ni vizuri ukakaa na kuzungumza nao, kwa suala la udhalilishaji wa wanawake siwezi kukubaliana nalo, tunaomba tuheshimiwe wanawake, tena sisi wanawake ni watendaji wazuri kuliko wanaume.
Chatanda amesema kuwa clip hiyo tayari ameshamtumia Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara Abdulrahmani Kinana.
Hatua hii ya UWT inafuatia matamshi ya Makonda katika kipande kifupi cha video kinachosambaa katika mitandao ya kijamii ambapo anasikika akisema, ...usiongee na mimi hivyo nina mke mzuri huongei na mchumba wako hapa...
Mnao shabikia mfumo wa makonda huwa nawaona hamnazo kabisaMakomda baba lao huyu yuko sana hadi 2030.Nasemaje makonda chapa kazi
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Ndoivo lo mtuzoee hivohivo tu!Mnakua na vipindi vya mood...
Kipindi cha period, kipindi cha hamu, kipindi cha pregnancy nk nk...
Ngoja tuone sweetheart...Ndoivo lo mtuzoee hivohivo tu!
Mitano tena
Hiki ni kikao cha kimetengenezwa,ili kimjengea makonda ajali ya kisiasa.Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake (UWT) Marry Chatanda ameeleza kusikitishwa na kitendo cha Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda alichokiita unyanyasaji na udhalilishaji wa watendaji wanawake kwenye maeneo yao ya kazi.
Chatanda ameyasema hayo leo Jumamosi, Mei 25, 2024 jijini Dodoma wakati wa semina ya wabunge wa viti maalumu, manaibu waziri, mawaziri, makatibu wa jumuiya ya wazazi ngazi ya mkoa na wilaya ambapo mgeni rasmi alikuwa Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Tanzania bara, Abdurahman Kinana
"Kuna 'clip' imezunguka kule Arusha, Longido haikuwa jambo jema wala sio zuri hata kidogo, kama wewe ni kiongozi mkuu wa Serikali na umemuona mtendaji wako amekosea ni vizuri ukakaa na kuzungumza nao, kwa suala la udhalilishaji wa wanawake siwezi kukubaliana nalo, tunaomba tuheshimiwe wanawake, tena sisi wanawake ni watendaji wazuri kuliko wanaume.
Chatanda amesema kuwa clip hiyo tayari ameshamtumia Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara Abdulrahmani Kinana.
Hatua hii ya UWT inafuatia matamshi ya Makonda katika kipande kifupi cha video kinachosambaa katika mitandao ya kijamii ambapo anasikika akisema, ...usiongee na mimi hivyo nina mke mzuri huongei na mchumba wako hapa...