Umoja wa wanawake CCM wasikitishwa na udhalilishaji wa Makonda, watoa tamko

Makonda yupo na ataendelea kuwepo labda mama aondoke.
 
Hatelezi ulimi bali anatatizo la ulevi wa madaraka na analo toka muda sana nashangaa wateuaji sijui huwa wanatumia tumbo kufanya vetting mbona hatukuwahi kuwa na takataka za aina hii kwenye uongozi wa miaka ya nyuma
 
Hiki ni kikao cha kimetengenezwa,ili kimjengea makonda ajali ya kisiasa.

Kinana hamtaki makonda, na ccm ni ya wote.

Mkimgusa makonda sasa mtajua CCM Ina watu wachache.

Watu wanateseka na kero za kimaisha mnasema UWT?

WANAWAKE WANAOTESEKA NA WENYE KERO NI WENGI KULIKO WANAWAKE WALIOKO UWT.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…