macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Ukiwa na upeo mdogo wa kuchambua mambo huwezi kuona!Mary Chatanda atakuwa ametumwa atoe tamko kama hilo π
Sisi tuliosomea Cuba na USSR tumeshafahamu whats cooking ππ
Individually Mary Chatanda asingekuwa na courage hiyo !
After all mtu kusema mimi nina mke tena mzuri sioni kama ni udhalilishaji πππ·
Makonda amekuwa ananyanyasa watu wengi tu na hajaanza leo. Ni tangu akiwa mkuu wa mkoa wa Dar. Huyu mama naye ni mnafiki tu kwa sababu hakukemea na amesubiri mwanamke anyanyaswe.Amakweli Dunia ina mambo, "KINYAGO" walicho kichonga wenyewe leo kinawatishaπ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Kabisa. Uwezo ni mdogo. Huwa anapitiliza sana.Makonda ni mwehu.
Kwenye hicho kikao, yeye kama kiongozi wa mkoa, habari ya mke wake kuwa mzuri au mbaya ilikuwa na ubusiano gani? Nadhani ana uwezo mdogo sana wa akili. Hajui aseme nini, wapi, wakati gani na kwa namna gani. Yeye muda wote ni uropokaji.
Nongwa...... ujue tatizo la makonda ni creative na genius.........hivi ndivyo vinavyomgharimu hata na yeye mwenyewe ......ona huyu popo ameanza kuhoji eti mafuta ya magari ya msafara anayatoa wapi kana kwamba yeye ni dada wa raisi .....so anahoji lwa mdogo wake........NONGWA.......tumuache brazamen makonda afanye kazi .......maana hata ile ofisi ya mkuu wa mkoa wa dar aliitendea haki mle ndani kama hotel ......huyu jamaa yuko vizuri.........CCM hailei ujinga. Kama CCM yote haimtaki, ni nani huyo anayembeba na kwa nini? Mtu anayetembea anatukana kila mtu, kila mahali.
Hatujaambiwa hayo magari nani anayajaza mafuta, na nani analipa posho ya safari.. Serikali ina utaratibu, kwa nini mtumishi wa umma anaenda nje ya utaratibu na serikali imekaa kama haioni? Haimuulizi
View attachment 2999265
Makonda sasa hivi atakuwa historia.Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake (UWT) Marry Chatanda ameeleza kusikitishwa na kitendo cha Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda alichokiita unyanyasaji na udhalilishaji wa watendaji wanawake kwenye maeneo yao ya kazi.
Chatanda ameyasema hayo leo Jumamosi, Mei 25, 2024 jijini Dodoma wakati wa semina ya wabunge wa viti maalumu, manaibu waziri, mawaziri, makatibu wa jumuiya ya wazazi ngazi ya mkoa na wilaya ambapo mgeni rasmi alikuwa Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Tanzania bara, Abdurahman Kinana
"Kuna 'clip' imezunguka kule Arusha, Longido haikuwa jambo jema wala sio zuri hata kidogo, kama wewe ni kiongozi mkuu wa Serikali na umemuona mtendaji wako amekosea ni vizuri ukakaa na kuzungumza nao, kwa suala la udhalilishaji wa wanawake siwezi kukubaliana nalo, tunaomba tuheshimiwe wanawake, tena sisi wanawake ni watendaji wazuri kuliko wanaume.
Chatanda amesema kuwa clip hiyo tayari ameshamtumia Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara Abdulrahmani Kinana.
Hatua hii ya UWT inafuatia matamshi ya Makonda katika kipande kifupi cha video kinachosambaa katika mitandao ya kijamii ambapo anasikika akisema, ...usiongee na mimi hivyo nina mke mzuri huongei na mchumba wako hapa...
Haha mpaka unamuombea maanake unakili kuwa mdomo wake si msafi na Biblia inasema kuwa kimtokacho mtu mdomoni ndicho kilicho moyoni mwake. Nilidhani unashauri atenguliwe kwa madhaifu yake maana nchi inahitaji viongozi walio very smart na tunaona hata dunia ya kwanza ikijulikana na jumuiya tu kiongozi alikosea sehemu lazima ajiudhulu kulinda heshima yake, this is quite different from ours.. Sasa wewe unamponya kwa Jina la Yesu ili aendelee mkuu na sio apishe walio smart?Merry chatanda amepiga kelele kumhusu makonda ,lakini pia chini chini mahali anakopita huyu kiongozi watu wanapiga kelele ambazo hazisikiki, sauti zinazomsifia ni zile ambazo zimejaa hofu. Kuogopwa! Labda anawaongoza watu kwa kuwatisha!
Moyoni hata waliomteua hawajui chakufanya! Anaweza akafanya vizuri mambo matano akaharibu mambo 20! Akipewa maiki kuhutubia watu wanashika roho mkononi kwa sababu anaweza kuongea lolote wakati wowote!
Huyu mtu ana ulemavu wa ulimi tusimhukumu ,tumuombee mungu amponye ,popote ulipo ndugu Paulo christian makonda pokea uponyaji wa ulimi katika jina la YESU kristo ,Amina
Kuna shida inaanza kumea kwa kasi ya ajabu nchi hii! Enyi kina mama zetu wachache mlio Kalia Viti hivyo, linapokuja suala la uwajibikaji na kuwajibishwaji kwa watumishi wa umma mpunguze mihemuko!Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake (UWT) Marry Chatanda ameeleza kusikitishwa na kitendo cha Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda alichokiita unyanyasaji na udhalilishaji wa watendaji wanawake kwenye maeneo yao ya kazi.
Chatanda ameyasema hayo leo Jumamosi, Mei 25, 2024 jijini Dodoma wakati wa semina ya wabunge wa viti maalumu, manaibu waziri, mawaziri, makatibu wa jumuiya ya wazazi ngazi ya mkoa na wilaya ambapo mgeni rasmi alikuwa Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Tanzania bara, Abdurahman Kinana
"Kuna 'clip' imezunguka kule Arusha, Longido haikuwa jambo jema wala sio zuri hata kidogo, kama wewe ni kiongozi mkuu wa Serikali na umemuona mtendaji wako amekosea ni vizuri ukakaa na kuzungumza nao, kwa suala la udhalilishaji wa wanawake siwezi kukubaliana nalo, tunaomba tuheshimiwe wanawake, tena sisi wanawake ni watendaji wazuri kuliko wanaume.
Chatanda amesema kuwa clip hiyo tayari ameshamtumia Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara Abdulrahmani Kinana.
Hatua hii ya UWT inafuatia matamshi ya Makonda katika kipande kifupi cha video kinachosambaa katika mitandao ya kijamii ambapo anasikika akisema, ...usiongee na mimi hivyo nina mke mzuri huongei na mchumba wako hapa...
Poleni!RC ni Bora ujiuzulu kuliko kufukuzwa.
Labda ana inferiority complex πKabisa. Uwezo ni mdogo. Huwa anapitiliza sana.
Na mpk leo Kasesela hajawahi kurejeshewa uteuzi.π
Ya Kasesela pale Mkwawa yalianzaga hivi hivi baadae tukasikia Utumbuzi πππ₯
Tuleteeni Iringa huyo tumfanye kama KreruuHuyu mtu nae kumtetea kila siku huwa inahitaji moyo. Anaharibugi sana sana.. kwa aliyoyafanya kwa yule mama na wengineo kwenye ziara zake hizo za kutatua kero kwa kweli hayakubaliki. Anaudhalilishaji sana kwa watumishi wa umma.
Siasa chafu za kitoto Kwa Nini asingemwbia Makonda mwenyewe direct au hata kumwandikia Kwa Nini amseme hadharani ?Mwenyekiti wa UWT Taifa mh Mary Chatanda amemwambia Makamu mwenyekiti wa CCM komredi Kinana kwamba Wanawake Wana uwezo mkubwa wa Kuongoza kuliko Wanaume hivyo wasidharauliwe Waheshimiwe
Chatanda amesema amemweleza Hata Waziri mkuu kwamba yeye binafsi hatapenda kuona Wanawake wanakosewa Heshima
Mlale Unono ππ
Kwako Lucas ukiwa Longidoπ
Safi sana UWT huyo mjivuni mwizi wa vyeti lazima ashughulikiweMwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake (UWT) Marry Chatanda ameeleza kusikitishwa na kitendo cha Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda alichokiita unyanyasaji na udhalilishaji wa watendaji wanawake kwenye maeneo yao ya kazi.
Chatanda ameyasema hayo leo Jumamosi, Mei 25, 2024 jijini Dodoma wakati wa semina ya wabunge wa viti maalumu, manaibu waziri, mawaziri, makatibu wa jumuiya ya wazazi ngazi ya mkoa na wilaya ambapo mgeni rasmi alikuwa Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Tanzania bara, Abdurahman Kinana
"Kuna 'clip' imezunguka kule Arusha, Longido haikuwa jambo jema wala sio zuri hata kidogo, kama wewe ni kiongozi mkuu wa Serikali na umemuona mtendaji wako amekosea ni vizuri ukakaa na kuzungumza nao, kwa suala la udhalilishaji wa wanawake siwezi kukubaliana nalo, tunaomba tuheshimiwe wanawake, tena sisi wanawake ni watendaji wazuri kuliko wanaume.
Chatanda amesema kuwa clip hiyo tayari ameshamtumia Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara Abdulrahmani Kinana.
Hatua hii ya UWT inafuatia matamshi ya Makonda katika kipande kifupi cha video kinachosambaa katika mitandao ya kijamii ambapo anasikika akisema, ...usiongee na mimi hivyo nina mke mzuri huongei na mchumba wako hapa...
Makonda hana adabuSiasa chafu za kitoto Kwa Nini asingemwbia Makonda mwenyewe direct au hata kumwandikia Kwa Nini amseme hadharani ?
CHAWA wanasema UWT inatumika , madui wa MAKONDA, sasa kwanini ana maadui na si watu wengine?Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake (UWT) Marry Chatanda ameeleza kusikitishwa na kitendo cha Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda alichokiita unyanyasaji na udhalilishaji wa watendaji wanawake kwenye maeneo yao ya kazi.
Chatanda ameyasema hayo leo Jumamosi, Mei 25, 2024 jijini Dodoma wakati wa semina ya wabunge wa viti maalumu, manaibu waziri, mawaziri, makatibu wa jumuiya ya wazazi ngazi ya mkoa na wilaya ambapo mgeni rasmi alikuwa Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Tanzania bara, Abdurahman Kinana
"Kuna 'clip' imezunguka kule Arusha, Longido haikuwa jambo jema wala sio zuri hata kidogo, kama wewe ni kiongozi mkuu wa Serikali na umemuona mtendaji wako amekosea ni vizuri ukakaa na kuzungumza nao, kwa suala la udhalilishaji wa wanawake siwezi kukubaliana nalo, tunaomba tuheshimiwe wanawake, tena sisi wanawake ni watendaji wazuri kuliko wanaume.
Chatanda amesema kuwa clip hiyo tayari ameshamtumia Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara Abdulrahmani Kinana.
Hatua hii ya UWT inafuatia matamshi ya Makonda katika kipande kifupi cha video kinachosambaa katika mitandao ya kijamii ambapo anasikika akisema, ...usiongee na mimi hivyo nina mke mzuri huongei na mchumba wako hapa...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mi sijaona kosa kusema hivyo.Angesema mimi na mke mzuri zaidi yako Sawa ila hapo sijaona kosa.