Umri gani ni sahihi kumtahiri mtoto wa kiume?

Sawasawa kabisa mkuu mi pia nimemuuliza swali hilo hilo alijipereka mwenyeww bila kuwataarifu wazazi au ndugu...
 
Kweli kabisa wataalam wa haya mambo watujuze
 
Unapaka na tumbaku mbichi kidonda kiwahi kupona. Hapo badala ya ganzi mbapelekwa mtoni mnaoga maji ya baridiiii, hiyo ndio ganzi inayofuatiwa na kisu kikali mno huku unatakiwa uonyeshe ukakamavu usilie.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Miaka 12 na sikupata maumivu yoyote zaidi ya nikiamka asubuhi kutokana na wanaume marijali lazima ukiamka asubuhi vyombo viende mnara ndo nilikuwa napata maumivu.

Mwanangu nimemtahiri akiwa na miezi Tisa.
Kwann yy umtahir akiwa na miez 6 tu wakat ww ilitahiti ukiwa na miaka 12??
 
Sa wa
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Vyakul gani hivo mkuu taja aisee kwa faida ya wengine
 
Hata kwetu kijjn tulikuwa tunawacheka tukiwa mtoni kuoga tunawaambia wakaogee chini na sio. Juu wasije kichafua maji basi hii ilikuwa inawafanha wengi wakatahiriwe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hata kwetu kijjn tulikuwa tunawacheka tukiwa mtoni kuoga tunawaambia wakaogee chini na sio. Juu wasije kichafua maji basi hii ilikuwa inawafanha wengi wakatahiriwe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Kisheria ni wiki,sasa kama una hofia size ya uume wake kuwa mdogo basi muache atajitahiri mwenyewe akikua
Kwanza hakuna evidence ya uume kuwa mdogo kwa kutahiriwa,mazoezi na Aina ya vyakula anavyokula
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…