Mimi siku hiyo hiyo nilipiga jeans,nikatembea mpaka home,na ikawa hivyoIna maana ulijipeleka mwenyewe kutahiriwa kwa siri...?
Endapo usingefanya hivyo, wazazi wasingekupeleka kutahiriwa?
Ulivaa nguo za aina gani baada ya kutahiriwa kiasi kwamba usijulikane mapema, sisi mtu ukishatahiriwa unabaki kuvaa nguo moja tu(shati au t-shirt) halafu unajifunga shuka rubega kama wamasai. Hii inasaidia usitoneshe kidonda na usisababishe joto ambalo ni hatari kwa kidonda.
Maumivu uliyasikiaje mkuu?Mimi siku hiyo hiyo nilipiga jeans,nikatembea mpaka home,na ikawa hivyo
Daah! Tunakula nyama kumbe ng'ombe wenyewe wanapigwa magoli na binadamKuna jamaa mmoja alikuwa mkubwa kipindi hicho mimi nilikuwa na miaka 9, alipopona kidonda baada ya kutahiriwa akaenda kutest kwenye papuchi ya ng'ombe kama mkuyenge umeimarika kwa kazi[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
HahahahahahaDaah! Tunakula nyama kumbe ng'ombe wenyewe wanapigwa magoli na binadam
Sawa mkuu nakuelewa sana[emoji23][emoji23][emoji23]kuna comments za ajabu humu mpaka zinakufanya uwe stressfree,ila kuwahi au kuchelewa ni maneno tu ya kijiweni kuna wengine tumetahiriwa hatujitambui but mashaAllah mashine c za kitoto zinapoinuka pengine na afya ya mtoto toka anakua na mapitio yake kiujumla yanaweza kuchangia ukuaji wa viungo vyake.
Anatudanganya huyo jamaa aiseeMaumivu uliyasikiaje mkuu?
Hospital mkuuunataka kumtahiri jandoni (kimila), au hospitali?
sawa, naona jamaa uccarclinic amekujibu ipasavyoHospital mkuu
hahahaha! acha imani potofu mkuu MbekengaWakurya na Wamasai wanatahiri kijana anayejitambua kuelekea au wakati wa kubarehe. Mtahiri akibarehe la sivyo kwa umri wa miezi sita unatujazia vibamia mjini.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Well saidWakurya na Wamasai wanatahiri kijana anayejitambua kuelekea au wakati wa kubarehe. Mtahiri akibarehe la sivyo kwa umri wa miezi sita unatujazia vibamia mjini.
Mbona naona kama mdogo sana?Wiki tatu