UN: Israel inataka watu Milioni 1.1 waondoke Gaza ndani ya Saa 24

Waambie tuu kwamba dealth or our land full stop
 
"The only way out of the vicious circle of the Palestinian-Israeli conflict is the creation of an independent Palestinian state.”

Anasema raisi Xi.

Sent from my Redmi 8A using JamiiForums mobile app
kipind wana ardhi yao kwanb hawakufanya ivyo , walijishindwa jitawala wakatamani na waisrael pia wawe kama wao , sasa waisrael wakaona kuwapokonya hiyo ardhi yao maana ilikuwa inawapa kiburi
 
Inasikitisha sana...
hakuna cha kusikitisha hapo , walipewa uhuru wa kuwa na serikali yao na wangetulia bas leo wangekuwa wanaelekea kutambulika kimataifa ila ujinga wao wa kuongozwa na wajinga ndo umewafikisha hapa , ujinga huu huu kama waafrika kusini wangekuwa nao ule mwaka 1994 basi yangewakuta kana haya , huez tumia nguvu kwenye kila kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…