UN: Israel inataka watu Milioni 1.1 waondoke Gaza ndani ya Saa 24

UN: Israel inataka watu Milioni 1.1 waondoke Gaza ndani ya Saa 24

Kutokea Gaza kasikazini kwenda kusini sio mbali kihivyo.Wagaza wanaweza kwenda Hata kwa miguu,ni kama umbali wa kutoka Kariakoo kuelekea kimara ,Mbezi au kibaha Fulani hivi.Wangeanza mdogomdogo kuondoka [emoji848]
Wajanja washawahi foleni kuelekea Misri
 
Umoja wa Mataifa (UN) umedai kuwa umejulishwa na Jeshi la Israel kuwa Wakazi wa Gaza Kaskazini wanatakiwa kuwa wameondoka eneo hilo ndani ya Saa 24.

UN imesema jambo hilo ni gumu kutekelezeka kwa kuwa idadi hiyo ni nusu ya watu wote waliopo Gaza.

Israel imekuwa ikijiandaa kwa mashambulizi ya ardhini, kukusanya Wanajeshi, mizinga na vifaru kwenye mpaka wa Gaza na kujibu mashambulizi ya anga kuelekea Gaza kwa siku kadhaa zilizopita wakijibu kile kilichofanywa na Wanamgambo wa Hamas kwa kufanya mashambulizi ya kushtukiza.


######
Israel wants 1.1 million people in north Gaza to leave in next 24 hours - UN

The Israeli military has told the UN that everyone living north of Wadi Gaza should relocate to southern Gaza in the next 24 hours, says a UN spokesperson.
The UN says this amounts to approximately 1.1 million people - about half the population of the entire Gaza Strip.

The affected area includes densely populated Gaza City.
The alert was given just before midnight, Gaza and Jerusalem time (23:00 GMT).

"The United Nations considers it impossible for such a movement to take place without devastating humanitarian consequences," the UN said in a statement.

Israel has been preparing for a ground offensive, gathering soldiers, heavy artillery and tanks on the border of Gaza. It has been launching airstrikes on Gaza since Saturday after Hamas militants' surprise attack on Israel.

Source BBC
🔥🔥🔥🔥
 
Umoja wa Mataifa (UN) umedai kuwa umejulishwa na Jeshi la Israel kuwa Wakazi wa Gaza Kaskazini wanatakiwa kuwa wameondoka eneo hilo ndani ya Saa 24.

UN imesema jambo hilo ni gumu kutekelezeka kwa kuwa idadi hiyo ni nusu ya watu wote waliopo Gaza.

Israel imekuwa ikijiandaa kwa mashambulizi ya ardhini, kukusanya Wanajeshi, mizinga na vifaru kwenye mpaka wa Gaza na kujibu mashambulizi ya anga kuelekea Gaza kwa siku kadhaa zilizopita wakijibu kile kilichofanywa na Wanamgambo wa Hamas kwa kufanya mashambulizi ya kushtukiza.


######
Israel wants 1.1 million people in north Gaza to leave in next 24 hours - UN

The Israeli military has told the UN that everyone living north of Wadi Gaza should relocate to southern Gaza in the next 24 hours, says a UN spokesperson.
The UN says this amounts to approximately 1.1 million people - about half the population of the entire Gaza Strip.

The affected area includes densely populated Gaza City.
The alert was given just before midnight, Gaza and Jerusalem time (23:00 GMT).

"The United Nations considers it impossible for such a movement to take place without devastating humanitarian consequences," the UN said in a statement.

Israel has been preparing for a ground offensive, gathering soldiers, heavy artillery and tanks on the border of Gaza. It has been launching airstrikes on Gaza since Saturday after Hamas militants' surprise attack on Israel.

Source BBC
wametoa onyo, anayetaka aondoke, asiyetaka abaki na asimlaumu mtu. tena hamas mafirauni kwelikweli manake nasikia GAZA tu kwa leo, ina wajawazito 60,000 kazi ni kuwafanya wale wanawake mashine za kufyatulia watoto ili waizidi israel idadi. kwa sasa, israel wanachosema wanapanga ni kuwafukuzia kwenye ardhi ya Misri, na misri amejua hilo anazuia wahamiaji wa gaza wasije misri, anasema wabaki hapohapo gaza. mpango wa pili utakuwa kuannex westbank yote ili ardhi yote ile ikaliwe na wayahudi. wakimaliza hapo wataanza na Lebanon na Jordan ambazo zote ni ardhi za wayahudi. there is no going back.
 
Walikosea wenyewe kuruhusu Hamas wawaingilie.
Na ndo maana nasema Israel alijua mipango ya Hamas akaamua aiache kama ilivyo
Yaani Israel aruhusu raia wake watekwe na kuchinjwa ili iweje yaani?

Hakuna kitu kama hicho ni nadharia ya hovyo tu unajitungia.
 
Back
Top Bottom