Bukyanagandi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 11,061
- 16,753
Ukiweka maanani kwamba the brains behind this brilliant operation ni dogo mmoja kasomea masuala ya Physics, Chemistry na Biolojia Chuo Kikuu, umri wake huazidi miaka 35 lakini ana akili balaaa,kilicho mkasilisha zaidi ni pale wanajeshi/askali wa Israel walipo vamia/ingia msikiti wakawapia waumini risasi watoto wadogoMkuu hata Israel yenyewe ina jua ugumu wa hii vita hasa ground bettle na ndio maana hii ni siku ya sita haijaingia gaza bado inajipanga vizuri ndo aingie ili asije kutana na maafa, lakini hilo halita saidia sana kwasababu hawajui pia Hamas wamejipangaje na watatumia mbinu gani kukabiliana nao.
Tatizo lipo kwa hawa jf walio jaa mihemko wanao dhani vita ni sawa na kucheza ngoma.