UN: Israel inataka watu Milioni 1.1 waondoke Gaza ndani ya Saa 24

UN: Israel inataka watu Milioni 1.1 waondoke Gaza ndani ya Saa 24

halafu ukiangalia media zote, unasikia "palestinian children and women", ila wanasahau kuwa hata israel kuna children and women ambao wameuawa na hamas mbele ya camera. hamas walifanya ile demonstration kwa video ili dunia nzima ione namna wanavyoua na kutena raia wasio wanajeshi. uzuri israel hawasikilizi, anafanya kile kitakachowasaidia wayahudi, basi.
 
Kwamba Israel alijua wananchi wake wata uwawa ila akaamua wakae kimya?
Hii assumption sio kabisa, unajua Hamas wakichukua mateka huwa inaleta tabu ya kubadilishana wafungwa na kulazimisha majadiliano amabayo wayahudi huwa yanawakwaza.

Prime target ya Hamas ilikuwa ni kuchukua mateka wa kutosha,kisha waibane Israel kwenda ktk meza ya maongezi.

Issue hapo Israel wakiwa katika msimu wa ibada zao, kuna mtu aliwauza katika masuala ya ki intelligencia.

Hamas hii ni plan sio ya kushtukiza, walikuwa wanavizia hiyo siku, na wadau wao wakawasaidia namna flani
 
Jiulize tu Israel angetumia mbinu gani kuwaondoa kama sio kuruhusu aumie kwanza?

Hapo wamepata sababu na inaungwa mkono na dunia nzima.

Hapo watawafagia wote hadi waelekee Misri
Nyinyi mbona hamkuwafagia waganda kuwapeleka Sudan?
 
Israel waifute gaza waichukue pamoja na sehem zilizobaki za wapalestina hakuna kuonesha huruma hizi stori ziishe dunia ijifunze ili ushinde inatakiwa uwe mbabe mwenye uwezo wa kila kitu
Acha ufala basi hata ww hapo ni mkimbizi mtalajiwa maana siasa huwa hazieleweki ipo siku isiyo na jina na ww unaweza jikuta uko katikati ya vita na usijue cha kufanya.
 
Pengine Misri,Jordan au Lebanon wakakae huko kwa muda kupisha hii vita
Jambo hilo llikitokea itakuwa hatari sana kwa Israel kwani huko wataend kufanya harakati za kuja kukomboa nchi yao na Israel hatawwza kuwa monitor kama anavyofanya Gaza.

Naludia tena, anachofanya Israel ni kuwachelewesha wapalestina kupata haki yao lakini hataweza kuzuia haki yao wasipate historia ipo wazi na haiwezi kudanganya
 
Unadhani njia ipi ingetumika kuimaliza Gaza kama sio kuruhusu uumizwe?
Mkuu kwanza usiwacheke sana wapalestina kwa sababu hata ww unaweza jikuta siku moja ni mkimbizi kama wao maana siasa hazijawahi kutabilika.
Kingine vita sio kitu rahisi kama mnavyo fikiri ili ulijue hili we subiri majeshi ya Israel yangie ground ndani ya Gaza ndo utanielewa.
Huo urahisi alio nao angani kwenye kushambulia majengo usidhani atakuwa akiwa ground.
Kwa hiyo usidhani ni rahisi kwa Israel kuangamiza hamas.

Kumbuka Marekani kapigana na Talban miaka zaidi ya 20 lakini leo hii ndo watawala nchini Afghanistan.
 
SWALI SIMPLE: WAONDOKE WAENDE WAPI?
Wakati mwingine unaweza kufikili akili za katibu mkuu wa UN na wasaidizi wake akili zao fyatu kabisa - wakisha ongwa na USA kuipendelea katika suala hili huwambii kitu utasikia kwamba Israel hiko justied - kuna member fulani ilisema mpango mzima unaweza kuwa wa Israel (MOSSAD) kubuni mbinu za aidha kuwauua Wapalestina kwa wingi kwa kisingizio kwamba Israel imevamiwa ghafla hivyo na wao ni lazima wajibu mapigo au walazimishe UN kutafuta sehemu ya kuwahamishia Wapalestina - ya miaka 1940s yanajirudia tena.

Binafsi nina maoni tofauti: kama kweli mpango nzima ulisukwa na Wapalestina wenyewe nanajua vizuri Waisrael watakavyo react kwakitumia air force na ground troops na vifaru, tuliona yaliyo tokea wakati Israel ilipojitia kuivamia Lebanon wakajikuta wanadundwa vibaya sana na wanamgambo wa Hazebbola, vifaru vikateketezwa na Kornet na fighyer planes na SAM za kubeba begani - hata hawa HAMAS watakuwa walijitayarisha kwa muda mrefu jinsi ya ku deal na tishio la Israel la kulipiza kisasi - HAMAS watawashangaza wengi nawambeni, nakubali ni Wapalestina wengi wanaweza kupoteza maisha kwa wingi lakini hata Israel yenyewe hisijiamini sana kwa kidhani HAMAS si lolote si chochote, therefore wanaweza waka hamishwa tu kama kondoo na kupelekwa anywhere - binafsi I don't think so.
 
Hivi vita inaongelewa kishabiki utasema ni vita ya siafu na sisimizi,binadamu sisi!!
 
Wakati mwingine unaweza kufikili akili za katibu mkuu wa UN na wasaidizi wake akili zao fyatu - wakisha kuwa ongwa na USA kuipendelea katika suala hili huwambii kitu utasikia kwamba Israel hiko justied - kuna member fulani ilisema mpango mzima unaweza kuwa wa Israel (MOSSAD) kubuni mbinu za aidha kuwauua Wapalestina wengi au kutafuta kisingizio cha kuwahamishia nchi nyingine.

Binafsi nina maoni tofauti: kama kweli mpango nzima ulisukwa na Wapalestina wenyewe nanajua vizuri Waosrael watakavyo react kwakitumia air force na ground troops na vifaru, tuliona yaliyo tokea wakati Israel ilipojitia kuivamia Lebanon wakajikuta wanadundwa vibaya sana na wanamgambo wa Hazebbola, vifaru vikateketezwa na Kornet na fighyer planes na SAM za kubeba begani - hata hawa HAMAS watakuwa walijitayarisha kwa muda mrefu jinsi ya ku deal na tishio la Israel la kulipiza kisasi - HAMAS watawashangaza wengi nawambeni, nakubalini Wapalestina wengi wanaweza kupoteza maisha kwa wingi lakini hata Israel yenyewe hisijiamini sana kwa kidhani HAMAS si lolote si chochote, wata hamishwa tu kama kondoo.
Mkuu hata Israel yenyewe ina jua ugumu wa hii vita hasa ground bettle na ndio maana hii ni siku ya sita haijaingia gaza bado inajipanga vizuri ndo aingie ili asije kutana na maafa, lakini hilo halita saidia sana kwasababu hawajui pia Hamas wamejipangaje na watatumia mbinu gani kukabiliana nao.
Tatizo lipo kwa hawa jf walio jaa mihemko wanao dhani vita ni sawa na kucheza ngoma.
 
Back
Top Bottom