Unabii baada ya kiongozi mmoja wa juu kubeza uwepo wa Mungu

Kumbe Mungu ana moyo asee
Kumbe kuna Mungu wa Tz.

nani kaona moyo wa Mungu wana Jf?

Acheni kupiga stori zenu huko kisha mkaleta hapa habari za Mungu.
 
Yeremia 48; 1-29.

Pembe ya Moabu imekatika na mkono wake Moabu umevunjika, Moabu atagalagala katika matapishi yake naye atadhihakiwa. Astahiliye kutamalaki ni Mungu tu pekee.

Taifa teule la bwana Mungu liweje lidhihakiwe naye Moabu? Moabu anajihisi ana nguvu nyingi kuweza kulishinda jiwe la pembeni.

Lyrics from SDA wimbo inaitwa Mbona tujigambe ( Moabu )
 
Brother km nakuona jinsi unavyopiga uruzi huku ukiwa unakunya na mashuzi ya Nyegere ila jua kwamba yule Mama haambiliki hata mfanye nini yaan km anapuliza itakua anaiagiza kutoka mbali sana

Sasa wewe cha kufanya hio 'Sauti ya Mungu' tia mfukoni angalia Mambo mengine, km vipi fanya km ukakojoe tulale

Usiku mwema everybody!
 
Wewe umesema kama mtamkuta Yeye amekujibu sio mpaka Unikute nipo Hapa akavuta kiti pasipo kujuwa Nini umekisema ulipokaa ukaanguka wanajimu walipo kuja wakasema tumkimbize baharini 🀣 wenye hekima tukasema hapana maneno yake. Basi ameamua mwenye kiti chake iwe darasa kwetu. 🌎😭
 
Asante sana kuileta hii, maana a emesoma hapa, ametubu na hakitatokea kitu chochote.
Mungu ibariki Tanzania
Amen
P
 
Asante sana kuileta hii, maana a emesoma hapa, ametubu na hakitatokea kitu chochote.
Mungu ibariki Tanzania
Amen
P
Tanzania itapata pigo. Hii nchi watu wanadhani ipoipo tu wanaweza kufanya watakavyo kisa wanamadaraka. Kwanini Mungu aliipatia Tanzania utajiri wa wanyama akaweka rundo Tanzania na si kwingine. Kwa nini nchi hii ina mito kibao, maziwa makuu na bahari wakati zingine hazina au zina kiduchu.
Kiongozi kuota mapembe na kudhani ukubwa ndo kila kitu.

Nini maana ya kuwa na Tanzania? Kuna kitu kinakuja. Hasira ya Mungu ikiwaka na uwa ni ghadhabu kubwa isiyo kifani. Kuna viongozi wanadhani wao ni wao. Ndipo Mungu ataisimamia Tanzania.
 
tumwombe Mungu afanye miujiza yake kuliokoa taifa la Tanganyika. tafadhali tuombe, tuombe tuombe. nimewaambia mara tatu. Mungu hujibu maombi.
 
huu muandiko wako wa mcharazo napata tabu sana kuelewa huu ujumbe wako mzito sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…