Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi karibuni yatamkuta yaliyomkuta TB Joshua....Lema sio wakuchezea
Bado utabiri wake mmoja, ambao unaelekea utatimia "very soon" ni wa kumuhusu yule spika wa mjengoni😀Mpaka sasa maono matatu yameshatimia. Jiwe, Sabaya, bashiru na Bunge
Lema sio wakuchezea
Yule mwakaniBado utabiri wake mmoja, ambao unaelekea utatimia "very soon" ni wa kumuhusu yule spika wa mjengoni😀
Mr Kipazasauti?Bado mpuuzi mmoja alie ndani ya jumba kubwa.
Watakuwa washenzi wameisha kwanza.Hivi karibuni yatamkuta yaliyomkuta TB Joshua.
Lema si ndo huyó anatumiaga username ya Ibanezafrika 😀Yeye mwenyewe Godbless anasemaje?
Pia Lema ni mwanahistoria mzuri wanajua yajayo kwa akuoitia yaliyopita.Bado utabiri kuhusu spika, ukiona mtu anatoa utabiri unatimia na anazidi kurudia na kuwaonya watu elewa anaona vitu mapema ktk ulimwengu wa roho ..hata kama utamdharau kwa sababu za kisiasa etc lakini elewa Mungu anaweza zungumza na mtu yeyote kwa njia nyingi...
Imekuchoma.Watakuwa washenzi wameisha kwanza.
Nitake radhi mkuu!Lema si ndo huyó anatumiaga username ya Ibanezafrika [emoji3]
Dikteta alikuwa hataki challenge sasaMbali na hoja zake nyingi nzito alizokua akizitoa bungeni na mara nyingi kupingwa utashangaa mengi aliyoyalalamikia na kuonya baadaye yamekuja kuonekana nini alimaanisha...
As long as Magufuli kafa, nini cha kunichoma?Imekuchoma.
Kama utakavyokufa weweAs long as Magufuli kafa, nini cha kunichoma?
sifi kilofa mieKama utakavyokufa wewe