Alexprosper
JF-Expert Member
- Jul 1, 2022
- 3,286
- 6,110
Yeah seriouslyIndeed.
Hapa TZ kuna njia rahisi amnazp mtu unaweza kupunguza expenditure zako kwa kias kikubwa na at the same time ukapata quality life.
Hili linawezekana tu pale ukiamua kutofata mkumbo.
Govt Bond hazina hasara?Billion moja na kuendelea
Mchanganuo
Gvt bond
Faida approximately 120m annually equivalent to 10M monthly
Hapa utakaa popote Tanzania na utakula milo yote muhimu na hela ya kusaidia shida za hapa na pale
Kazi kazi au sio mkuu [emoji23]Kwanni usifanye kazi wakati duniani tumekuja kupiga mzigo.
Hasara ni kushuka kwa hela thamaniGovt Bond hazina hasara?
SAHIHI ,,,,tena ukapata na mwenza wa maisha anaefata principles zako.Indeed.
Hapa TZ kuna njia rahisi amnazp mtu unaweza kupunguza expenditure zako kwa kias kikubwa na at the same time ukapata quality life.
Hili linawezekana tu pale ukiamua kutofata mkumbo.
Nimeipenda hiyoKuacha kufanya kazi is the beginning of your end. Uache kufanya kazi ili ufanye nini sasa? Ulale au upulizane au uangalie TV siku nzima? Huo ni uzwazwa. Sema ufanye kazi under no pressure. Ufanye mambo kwa ufanisi.
Hapa ili upate 120m gawio inamaana io billion yote imezama kwa Serikaliusisahau kuweka zaidi ya million 200 kwenye government bonds
Hapo kwenye mwenza sasa ndo kimbembe.SAHIHI ,,,,tena ukapata na mwenza wa maisha anaefata principles zako.
Sijawahi sikikia mtu amepata hasara and in case ikatokea hasara utarudi kutafuta ulipo ipata 1 billionGovt Bond hazina hasara?
kwani hela unapataje, si unafanya kazi au unakua na biashara?kazi ninayotaka kufanya ni furaha tosha,sasa ni ngumu kusema nahitaji kiasi fulani ili niache.
na je nani atakupa hicho kiasi cha fedha ili uache kazi?????
nimeipenda hii,Billion moja na kuendelea
Mchanganuo
Pesa yote nunua Gvt bond
Faida approximately 120m annually equivalent to 10M monthly
Hapa utakaa popote Tanzania na utakula milo yote muhimu na hela ya kusaidia shida za hapa na pale
endeleaTechnically i need a minimum of 5 million dollars.
Twende taratibu, hyo 5M nkiiweka fixed at a minimu of 5% return per annum nna uhakika wa kupata 41 Million tanzanian shillings per month.
Ukitoa max. Kodi ya 20% nabaki na 32.8M approximately 33M.
Therefore per day nna uhakika wa kuspend about 1M bila kuyumba.
Niendelee na uchambuzi au niishie hapa hapa??
Kwa pesa isiyokuwa ya kufuja wala kujinyima, kwa siku mtu unahitaji angalau 100,000/= hapo nyumba ya kuishi unayo tayariNimewaza jinsi watu tunavyotumia muda mwingi kwenye maisha yetu katika kutafuta hela. Iwe ni muajiriwa wa kawaida, au hata tajiri, wote wanahangaika na pirika za kiuchumi, na kwa ujumla lengo kuu ni kupata pesa zaidi.
Sasa nimejiuliza hivi haiwezekani kuwa na hela za kutosha kiasi kwamba hutohitaji kufanya kazi tena? Na kama inawezekana, ni kiasi gani cha fedha kinahitajika?
namaanisha unakuwa huwazi tena kuhusu hela, labda utakua na mishe ila hazihitaji nguvu kuendeshaKufanya kazi kunatufanya tujifunze vitu vingi sana,
Lkn hapo sijaelewa hoja yako, unamaanisha watu waache kuajiliwa au wasifanye kazi kabisaaa yaani awe ni mtu wa kutumia tu,
Ikiwa utakuwa mtu wa kutumia tu jua unapitia changamoto nyingi kama, minyama uzembe, maradhi ya moyo, nk
Kama ili mtu aache kuajiliwa hapa kila mtu ana kiwango chake kutokana na maisha halisi au malengo yake. Mfano mm nikipata milion 20 ninaacha hii kazi kuna bishara ninakwenda kufungua
kwahyo kama upo serikalini,serikali ndio wakupe hiyo hela?kwani hela unapataje, si unafanya kazi au unakua na biashara?
kwasababu napenda kua huruKwanni usifanye kazi wakati duniani tumekuja kupiga mzigo.