Unaichunguzaje Bandari nzima wakati CEO wake yupo kazini? Hii inakuwa ni zaidi ya siasa

Unaichunguzaje Bandari nzima wakati CEO wake yupo kazini? Hii inakuwa ni zaidi ya siasa

Nimemsikia Waziri Mkuu Mh Majaliwa akiwaagiza Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU na Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai kufanya uchunguzi kwenye bandari zote nchini.

Bandari hizo ni Mwanza, Kyela, Tanga, Mtwara na Dar es Salaam.

Agizo hili amelitoa kufuatia ripoti ya CAG kubaini ufisadi bandari ya Kigoma.

Ndio nauliza, uchunguzi huo unafanyikaje bila Mkurugenzi mkuu wa Bandari kuwekwa pembeni ili asiuingilie?

Kule Zanzibar Rais Mwinyi alishatoa angalizo penye uchunguzi wa kitaasisi Mkurugenzi Mkuu lazima akae pembeni kuachia mazingira huru ya kuchunguza, huku bara sijajua tunafeli wapi.

Maendeleo hayana vyama!
Ni kama mkurugenzi anaamini katika uwazi basi ajaze fomu ya likizo akapumzike wakati uchunguzi unaendelea
 
Ni kama mkurugenzi anaamini katika uwazi basi ajaze fomu ya likizo akapumzike wakati uchunguzi unaendelea
Wa kumwambia hivyo hayupo labda Magu/Kijazi maboss zake wa zamani kule Tanroads ndio wanaweza kumuamrisha afanye hivyo.
 
Nimemsikia Waziri Mkuu Mh Majaliwa akiwaagiza Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU na Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai kufanya uchunguzi kwenye bandari zote nchini.

Bandari hizo ni Mwanza, Kyela, Tanga, Mtwara na Dar es Salaam.

Agizo hili amelitoa kufuatia ripoti ya CAG kubaini ufisadi bandari ya Kigoma.

Ndio nauliza, uchunguzi huo unafanyikaje bila Mkurugenzi mkuu wa Bandari kuwekwa pembeni ili asiuingilie?

Kule Zanzibar Rais Mwinyi alishatoa angalizo penye uchunguzi wa kitaasisi Mkurugenzi Mkuu lazima akae pembeni kuachia mazingira huru ya kuchunguza, huku bara sijajua tunafeli wapi.

Maendeleo hayana vyama!
To be fair, Deus Kakoko alipaswa asimamishwe ili uchunguzi huru ufanyike. Sasa tunaziona DOUBLE STANDARDS za Magufuli kwa kuwa Kakoko anachunguzwa akiwa ofsini.

Huyu Kakoko amekuwa anawatishia Wafanyakazi wanaopinga vitendo vyake vya ufisadi kuwatoa TPA na anawaambia kuwa "nikikufukuza mimi hata uende ukakate rufaa kwa Magufuli hatakusikiliza"

Sasa tutapima nguvu za Majaliwa Kassim kama kweli yeye ni Waziri Mkuu au anavaa makoti ya Waziri Mkuu tu
 
Majaliwa hawezi kumfanya lolote Kakoko, Board yenyewe ya TPA kaiweka mfukoni, hakuna anayefanya fyoko. Kakoko anareport moja kwa moja Chato.

Kakoko ni Core Member wa TANROADS Syndicate iliyokusanya hela huku na kule kumwezesha Waziri wa Ujenzi wa wakati ule apate Urais, kwa hiyo Kakoko is Untouchable. Wengine ni Mfugale, na CAG Kichere, hao wana ubia wa moja moja na Urais wa Awamu hii, wanajua dili zote chafu zilizochezwa wakati ule.

If anything Majaliwa ndo anaweza kupoteza Uwaziri Mkuu wake maana yeye ni Outsider kwenye hilo kundi la TANROADS/Wizara ya Ujenzi ya wakati ule.

Tunza hii kama rejea baadaye
Lakini Kakoko anamchafua Rais kwa ufisadi wake. Nafuu yangekuwa kama Kicheere ambaye yeye ni kazi kazi tu.

Kakoko inaaminika kuwa wakati wa Makame Mbarawa akiwa Waziri, yeye alikuwa na nguvu kuliko Waziri na hatimaye aliweza kumtoa Wizara ile na kumpeleka Maji
 
To be fair, Deus Kakoko alipaswa asimamishwe ili uchunguzi huru ufanyike. Sasa tunaziona DOUBLE STANDARDS za Magufuli kwa kuwa Kakoko anachunguzwa akiwa ofsini.

Huyu Kakoko amekuwa anawatishia Wafanyakazi wanaopinga vitendo vyake vya ufisadi kuwatoa TPA na anawaambia kuwa "nikikufukuza mimi hata uende ukakate rufaa kwa Magufuli hatakusikiliza"

Sasa tutapima nguvu za Majaliwa Kassim kama kweli yeye ni Waziri Mkuu au anavaa makoti ya Waziri Mkuu tu

Huna kiongozi yoyote anaweza kuchukua hatua yoyote kwa mtu yoyote aliye karibu na rais aliye madarakani. Labda rais mwenyewe aamue kuchukua hatua na wala sio sheria. Huyo waziri Mkuu anafurahisha genge tu hapo alipo. Utawala wa sheria utachukua nafasi nchi hii iwapo tu kifungu cha rais aliye madarakani, au kutoka kutoshtakiwa kitaondolewa. Kinyume na hapo sheria za nchi zitaendelea kuwa na double standard, kutokana na kuwa mkosaji ana ukaribu gani na rais aliye madarakani.
 
To be fair, Deus Kakoko alipaswa asimamishwe ili uchunguzi huru ufanyike. Sasa tunaziona DOUBLE STANDARDS za Magufuli kwa kuwa Kakoko anachunguzwa akiwa ofsini.

Huyu Kakoko amekuwa anawatishia Wafanyakazi wanaopinga vitendo vyake vya ufisadi kuwatoa TPA na anawaambia kuwa "nikikufukuza mimi hata uende ukakate rufaa kwa Magufuli hatakusikiliza"

Sasa tutapima nguvu za Majaliwa Kassim kama kweli yeye ni Waziri Mkuu au anavaa makoti ya Waziri Mkuu tu
Pm hawezi kumfanya lolote
 
Pm hawezi kumfanya lolote
Ukiwa na aspirations za kuja kuwa KIONGOZI MKUBWA katika Taasisi hata Nchi lazima UJUE KUKANYAGA KWA STEP huku ukienda kwa HEKIMA na BUSARA kwa walio juu yako

Hii ni kanuni ya Management
 
Back
Top Bottom