Mackanackyyy
JF-Expert Member
- Mar 26, 2019
- 2,338
- 5,271
Daaah, Aisee ebu ona mambo haya ya hovyoWale ambao walistaafu na hawakupata uteuzi waliongezewa mda wa kushika u RM Hadi miaka 2
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daaah, Aisee ebu ona mambo haya ya hovyoWale ambao walistaafu na hawakupata uteuzi waliongezewa mda wa kushika u RM Hadi miaka 2
Ni kama mkurugenzi anaamini katika uwazi basi ajaze fomu ya likizo akapumzike wakati uchunguzi unaendeleaNimemsikia Waziri Mkuu Mh Majaliwa akiwaagiza Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU na Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai kufanya uchunguzi kwenye bandari zote nchini.
Bandari hizo ni Mwanza, Kyela, Tanga, Mtwara na Dar es Salaam.
Agizo hili amelitoa kufuatia ripoti ya CAG kubaini ufisadi bandari ya Kigoma.
Ndio nauliza, uchunguzi huo unafanyikaje bila Mkurugenzi mkuu wa Bandari kuwekwa pembeni ili asiuingilie?
Kule Zanzibar Rais Mwinyi alishatoa angalizo penye uchunguzi wa kitaasisi Mkurugenzi Mkuu lazima akae pembeni kuachia mazingira huru ya kuchunguza, huku bara sijajua tunafeli wapi.
Maendeleo hayana vyama!
Tanroads inaogopeka kishenzii, hakuna wa kuigusa.Unajifanya hujui au
Angalia historia ya kakoko mwanzo alikuwa wapi?
Mupe muruke baba aka dabo standard gage
Ova
Wa kumwambia hivyo hayupo labda Magu/Kijazi maboss zake wa zamani kule Tanroads ndio wanaweza kumuamrisha afanye hivyo.Ni kama mkurugenzi anaamini katika uwazi basi ajaze fomu ya likizo akapumzike wakati uchunguzi unaendelea
To be fair, Deus Kakoko alipaswa asimamishwe ili uchunguzi huru ufanyike. Sasa tunaziona DOUBLE STANDARDS za Magufuli kwa kuwa Kakoko anachunguzwa akiwa ofsini.Nimemsikia Waziri Mkuu Mh Majaliwa akiwaagiza Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU na Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai kufanya uchunguzi kwenye bandari zote nchini.
Bandari hizo ni Mwanza, Kyela, Tanga, Mtwara na Dar es Salaam.
Agizo hili amelitoa kufuatia ripoti ya CAG kubaini ufisadi bandari ya Kigoma.
Ndio nauliza, uchunguzi huo unafanyikaje bila Mkurugenzi mkuu wa Bandari kuwekwa pembeni ili asiuingilie?
Kule Zanzibar Rais Mwinyi alishatoa angalizo penye uchunguzi wa kitaasisi Mkurugenzi Mkuu lazima akae pembeni kuachia mazingira huru ya kuchunguza, huku bara sijajua tunafeli wapi.
Maendeleo hayana vyama!
Una ushahidi bwashee?!
Lakini Kakoko anamchafua Rais kwa ufisadi wake. Nafuu yangekuwa kama Kicheere ambaye yeye ni kazi kazi tu.Majaliwa hawezi kumfanya lolote Kakoko, Board yenyewe ya TPA kaiweka mfukoni, hakuna anayefanya fyoko. Kakoko anareport moja kwa moja Chato.
Kakoko ni Core Member wa TANROADS Syndicate iliyokusanya hela huku na kule kumwezesha Waziri wa Ujenzi wa wakati ule apate Urais, kwa hiyo Kakoko is Untouchable. Wengine ni Mfugale, na CAG Kichere, hao wana ubia wa moja moja na Urais wa Awamu hii, wanajua dili zote chafu zilizochezwa wakati ule.
If anything Majaliwa ndo anaweza kupoteza Uwaziri Mkuu wake maana yeye ni Outsider kwenye hilo kundi la TANROADS/Wizara ya Ujenzi ya wakati ule.
Tunza hii kama rejea baadaye
Hata Paul mlisemaga hivyo hivyo!Tanroads inaogopeka kishenziiiiiiiiiiiii,hakuna wa kuigusa.
To be fair, Deus Kakoko alipaswa asimamishwe ili uchunguzi huru ufanyike. Sasa tunaziona DOUBLE STANDARDS za Magufuli kwa kuwa Kakoko anachunguzwa akiwa ofsini.
Huyu Kakoko amekuwa anawatishia Wafanyakazi wanaopinga vitendo vyake vya ufisadi kuwatoa TPA na anawaambia kuwa "nikikufukuza mimi hata uende ukakate rufaa kwa Magufuli hatakusikiliza"
Sasa tutapima nguvu za Majaliwa Kassim kama kweli yeye ni Waziri Mkuu au anavaa makoti ya Waziri Mkuu tu
Mbuzi Wa Bwana HeriShamba la bwana Kheri, Nyumba ya Bwana Kheri, Msimamizi ni Bwana Kheri, yani yote Kheri
Pm hawezi kumfanya loloteTo be fair, Deus Kakoko alipaswa asimamishwe ili uchunguzi huru ufanyike. Sasa tunaziona DOUBLE STANDARDS za Magufuli kwa kuwa Kakoko anachunguzwa akiwa ofsini.
Huyu Kakoko amekuwa anawatishia Wafanyakazi wanaopinga vitendo vyake vya ufisadi kuwatoa TPA na anawaambia kuwa "nikikufukuza mimi hata uende ukakate rufaa kwa Magufuli hatakusikiliza"
Sasa tutapima nguvu za Majaliwa Kassim kama kweli yeye ni Waziri Mkuu au anavaa makoti ya Waziri Mkuu tu
Nuru Muhando unamjua vema? Huyo mama DFA aliyesimamishwa. Katika maeneo kuna usanii wa kimaamuzi ni Bandari. DG SWAHIBA DFA GF . UtajijuaNimekuelewa bwashee!
Round hii kuna mambo yanaenda sawa ila tatizo kubwa ni Double standard ndiyo imeshika hatamu!Hata Paul mlisemaga hivyo hivyo!
Ila bwashe kuna mmoja wa aliyesimamishwa kanyoa low cut nimetokea kumuelewa yuko natural sanaHata Paul mlisemaga hivyo hivyo!
Kwani Zanzibar hakuna CCM!Eti tunakwama wapi ? wakati unajua kabisa CCM ndiyo inatukwamisha.
Hahahaaaa...... Haya bhana!Ila bwasheh kna mmja wa aliyesimamishwa kanyoa low ct nmetokea kumuelewa yuko natural sana
Ova
Ukiwa na aspirations za kuja kuwa KIONGOZI MKUBWA katika Taasisi hata Nchi lazima UJUE KUKANYAGA KWA STEP huku ukienda kwa HEKIMA na BUSARA kwa walio juu yakoPm hawezi kumfanya lolote