Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kawaida mitazamo yangu kwa Joni thepaptist ni tofauti na fikra zake hilo nalisema wazi, ila mbona naona wakati mwingine kileNimemsikia Waziri Mkuu Mh Majaliwa akiwaagiza Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU na Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai kufanya uchunguzi kwenye bandari zote nchini.
Bandari hizo ni Mwanza, Kyela, Tanga, Mtwara na Dar es Salaam.
Agizo hili amelitoa kufuatia ripoti ya CAG kubaini ufisadi bandari ya Kigoma.
Ndio nauliza, uchunguzi huo unafanyikaje bila Mkurugenzi mkuu wa Bandari kuwekwa pembeni ili asiuingilie?
Kule Zanzibar Rais Mwinyi alishatoa angalizo penye uchunguzi wa kitaasisi Mkurugenzi Mkuu lazima akae pembeni kuachia mazingira huru ya kuchunguza, huku bara sijajua tunafeli wapi.
Maendeleo hayana vyama!
Bwashee kirahisi rahisi tu ajiweke pembeni? ingekuwa wewe ungejiweka pembeni? ukifikiria una ghorofa lako mbweni halijaisha, una familia inakutegemea, una wazazi wanakutegemea n.k kiafrika issue ya uwajibikaji bado sana na itasubiri miaka trilion zilionWakati mwingine siyo hadi utenguliwe bali wewe mwenyewe unajiweka pembeni kwa muda!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bwashee kirahisi rahisi tu ajiweke pembeni? ingekuwa wewe ungejiweka pembeni? ukifikiria una ghorofa lako mbweni halijaisha, una familia inakutegemea, una wazazi wanakutegemea n.k kiafrika issue ya uwajibikaji bado sana na itasubiri miaka trilion zilion
Connection basi mzee tafadhaliHahahaaaa...... Haya bhana!
Lazima wale watakuwa wamezungukwa tuHahahaaaa...... Haya bhana!
Iwe kisiasa au kikatiba for the time being, ukweli ndivyo ulivyo.Umeongea kisiasa zaidi siyo kikatiba!
Wewe unashauri nini ili kutupatia muono wako na tupate nafasi nzuri ya kuchangia.Nimemsikia Waziri Mkuu Mh Majaliwa akiwaagiza Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU na Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai kufanya uchunguzi kwenye bandari zote nchini.
Bandari hizo ni Mwanza, Kyela, Tanga, Mtwara na Dar es Salaam.
Agizo hili amelitoa kufuatia ripoti ya CAG kubaini ufisadi bandari ya Kigoma.
Ndio nauliza, uchunguzi huo unafanyikaje bila Mkurugenzi mkuu wa Bandari kuwekwa pembeni ili asiuingilie?
Kule Zanzibar Rais Mwinyi alishatoa angalizo penye uchunguzi wa kitaasisi Mkurugenzi Mkuu lazima akae pembeni kuachia mazingira huru ya kuchunguza, huku bara sijajua tunafeli wapi.
Maendeleo hayana vyama!
Exactly, yaani ukimsikiliza CEO unaona kabisa na yeye kuna kitu, hajiamini. Haingii akilini mkurugenzi wa fedha apishe uchunguzi then wewe CEO ubaki kwa uozo huo huo. Dkt Magufuli ana kazi, kwa hawa wateule wasiokuwa na uzalendo.Wakati mwingine siyo hadi utenguliwe bali wewe mwenyewe unajiweka pembeni kwa muda!
Anamanisha mkurugenzi TPA akae benchi nayeWewe unashauri nini ili kutupatia muono wako na tupate nafasi nzuri ya kuchangia.
Double standard tatizoExactly, yaani ukimsikiliza CEO unaona kabisa na yeye kuna kitu, hajiamini. Haingii akilini mkurugenzi wa fedha apishe uchunguzi then wewe CEO ubaki kwa uozo huo huo. Dkt Magufuli ana kazi, kwa hawa wateule wasiokuwa na uzalendo.
Bwashee unaijua njaa lakini au unaisikia?! Afrika Njaa bado ni janga kubwa! Ndiyo maana hilo ulilolisema ni moja kati ya milioni mia moja kutokea Afrika!Wakati mwingine siyo hadi utenguliwe bali wewe mwenyewe unajiweka pembeni kwa muda!
Within the next five years you will get confused beyond repair.....Ajiweke pembeni wakati anajua hao maboss wake wameingia madarakani kwa rushwa, wizi wa kura na umwagaji damu?
Within the next five years you will get confused beyond repair.....
Kama ni Mimi Mhaya Kakoko ningeomba likizo Bila malipo kupisha uchunguzi huru uendelee kwenye Taaisisi.
Majaliwa hawezi kumfanya lolote Kakoko, Board yenyewe ya TPA kaiweka mfukoni, hakuna anayefanya fyoko. Kakoko anareport moja kwa moja Chato.
Kakoko ni Core Member wa Syndicate ya TANROADS iliyokusanya hela kutoka miradi ya Ujenzi wa barabara kumwezesha Waziri wa Ujenzi wa wakati ule apate Urais, kwa hiyo Kakoko is Untouchable. Wengine ni Mfugale(DG Tanroads), John Kijazi (KMK) na CAG Kichere, hao wana ubia wa moja kwa moja na Urais wa Awamu hii, wanajua dili zote chafu zilizochezwa wakati ule.
If anything Majaliwa ndo anaweza kupoteza Uwaziri Mkuu wake maana yeye ni Outsider kwenye hilo kundi la TANROADS/Wizara ya Ujenzi ya wakati ule.
Tunza hii kama rejea baadaye
Fisadi kiwembe yuleUmeniohopesha sana.Kumbe hata mkulu ni fisadi!!!!????Looooooooo.