Hahahaha Ms Leejay49 sio mbaya wakati mwingine inakuwezesha kuchungulia hiyo ignored content. Alafu huyo unayemu ignore hawezi akawa mbaya kwako siku zote 🤣🤣🤣JamiiForums inabidi hiki kitu wakiondoe habari za kunipa option tena kwa watu nliowaignore sio poa wala nini
JamiiForums inabidi hiki kitu wakiondoe habari za kunipa option tena kwa watu nliowaignore sio poa wala nini
Unavuka tu ni kipimo cha uvumilivu.JamiiForums inabidi hiki kitu wakiondoe habari za kunipa option tena kwa watu nliowaignore sio poa wala nini
Wazitoe tu kwakweli,. Huwa nakereka unafungua uzi halafu unakutana nazo hizo kama tano hivi nachoamuaga kufanya na uzi wenyewe nautia kapuni😄Huyo uliyemuignore na wa chini yake wapo jela yangu. Hizo show ignored content nami natamani zitoke yaani wapotee kabisa😂😂😂
Inakera😑Unavuka tu ni kipimo cha uvumilivu.
Yule nae sijui mshangazi alivamia jukwaa akawa anafosi sana umaarufu ,muache hukohuko kapuniDah 😀😀😀
Hata sijui Dada sijui ilikuwaje nikawa ignore hao watu hao wawili . Lakini yule Mshangazi alinizushia jambo hapa nikaamua kumpiga tofali.
🤣🤣🤣🤣Kweli comments yako imenichekeshaSijamuignore mtu yeyote Ila nilikuwa napatwa na huzuni na msongo wa mawazo pale mtu akiweka kiishara Cha kucheka yaani 😂
Nilikuwa naumia Sana nikaanza kuanzisha nyuzi kulaani hiyo tabia kwenye komenti zangu na nyuzi zangu bado tabia haikukima bali ikashamiri .
Siku moderator akanifuata PM yangu na kudai kuwa shida ni kuwa naandika Mambo yakuchekesha ile kauli ya yule moderator iliniumiza moyo na kunikatakata utumbo wangu toka hapo naandika tu chochote kile roho yangu itanituma maana Kama viongozi wenye walishindwa kunitetea kwa manyanyaso ya kimtandao niliyokuwa nayapitia Sasa nifanyeje .
Rai yangu .
Ikiwa utaona komenti yangu yoyote na kucheka jua sikupendi nakuchukia Sana Ila ndiyo hivyo nimeumbiwa moyo wa kusamehe na kustahimili mapigo ya dunia
Nakutogilwe mu ng’holo Numbisa wane😁Safi na burudani kabisa ila wa dislike akiniwekea kuanzia tano namtupia ignore list nyambafu zake
Chuki ni sumu moyoni binti.Nitakufikia soon
Usijifanye unanijua sana.Chuki ni sumu moyoni binti.
Mbona umeniiga watu uliowaignore😒Huyo uliyemuignore na wa chini yake wapo jela yangu. Hizo show ignored content nami natamani zitoke yaani wapotee kabisa😂😂😂
Umebadilika sana binti.Usijifanye unanijua sana.
Kumbe umevuka mwaka na mambo ya mwaka jana!Umebadilika sana binti.
mbona ukiwa mpole unakuwa mzuri tu.Kumbe umevuka mwaka na mambo ya mwaka jana!
Mwaka mpya na mambo mapya
Usinipangiembona ukiwa mpole unakuwa mzuri tu.
Hapa mdogo wangu umepiga piga je?Nakutogilwe mu ng’holo Numbisa wane😁