makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Fid q, katika ngoma ya kadi ua na rose 🌹 kamtaja huyu mlimbwende.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha utani weweSylivia kawa teja, anaishi na mama ake kunduchi nyumba ya kanisa la mbezi chapel
[emoji23][emoji23][emoji23]Umeandika kama umepigwa roba ya mbao[emoji849]
Relax kwanza edit maneno yako kisha weka picha.
Ni kweli hata Jokate pia. Ila umaarufu wa mitandaon ndo ukawaharibu mweeeh.Zamani mamiss almost wote walitokea familia bora au zilizo na elimu plus exposure, hata wema na uwoya ni fame Tu imechukua nafasi yake lakini hata bila umiss bado wangeishi life zuri Tu sababu ya family background
Oooh kumbe kwa kimalkia yuko vizuri tangu mda sana, hongera kwake.Sylivia kilichompa ushindi ni Lugha alikua anatema yai na kujibu kwa kujiamini
2003 ulikuwa na miaka mingapi!?Oooh kumbe kwa kimalkia yuko vizuri tangu mda sana, hongera kwake.
Ile alipewa Zawadi ya kushinda miss TZ Ile mitaa ndio alikuwa anakaaKuna kipindi cha miaka ya 2008 nlikua namkuta mitaa ya shoperz anaendesha nissan hardbody
Nilikua chini ya miaka 5. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]2003 ulikuwa na miaka mingapi!?
Ulikuwa mwaka mbaya sana sababu ya ukame mvua ziligoma kunyesha kelele kila kona mgao wa umeme mkali .
MmhSylivia kawa teja, anaishi na mama ake kunduchi nyumba ya kanisa la mbezi chapel
Siku hizi yuko wapi mana hatumsikii,tunawasikia hawa wauza mbatu wema,jojo,uwoyaIle alipewa Zawadi ya kushinda miss TZ Ile mitaa ndio alikuwa anakaa
Hahaha, aise kweli sahvi kuna washamba wamevamia wanasumbua tuSiku hizi yuko wapi mana hatumsikii,tunawasikia hawa wauza mbatu wema,jojo,uwoya
Mmmmh wewe sio mkweli last week nilikuwa nae airport, mdada mzuri kabisa, classicSylivia kawa teja, anaishi na mama ake kunduchi nyumba ya kanisa la mbezi chapel
Aseee future husband hatoki kwenye familia Bora, labda Uwoya sawa..Zamani mamiss almost wote walitokea familia bora au zilizo na elimu plus exposure, hata wema na uwoya ni fame Tu imechukua nafasi yake lakini hata bila umiss bado wangeishi life zuri Tu sababu ya family background
Inaezekana asee maana live mfupi mno sema anapenda high heels kama luluSylivia kilichompa ushindi ni Lugha alikua anatema yai na kujibu kwa kujiamini
Huwa namuona kwenye vipindi vya traveling YouTube, na nilimuona Terminal 3 once,ila sikujua kama alishawahi kuwa miss tzHumjui ina maana
Ova
Mzee sepetu alikuwa na profile asingeweza kumuacha mwanae akae kijobless kama sisi watoto wa wakulima, hata kama mama yao hakuwa mke wa kwanza ila ni obvious fact mzee sepetu alikuwa anampenda sana wemaAseee future husband hatoki kwenye familia Bora, labda Uwoya sawa..
Hao wakina manunu wameishi na Maza yao hapo sinza Mori mda mrefu sana mshua alikuwa sijui zenji kwa my wife original
Ile alipewa Zawadi ya kushinda miss TZ Ile mitaa ndio alikuwa anakaa
Kumbe shosti we kizazi kipya eeeh?Ni nani huyu[emoji848]