Bondpost
JF-Expert Member
- Oct 16, 2011
- 7,019
- 10,455
Duh kumbe humu tunachart na watoto zetu sema haina mabega 😜😂Nilikua chini ya miaka 5. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh kumbe humu tunachart na watoto zetu sema haina mabega 😜😂Nilikua chini ya miaka 5. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hayo mengine ni sahihi Ila ya uteja na kukaa kwa mamake nadhani umetia chumvi na nyumba sio ya kanisaSylivia kawa teja, anaishi na mama ake kunduchi nyumba ya kanisa la mbezi chapel
Baba na mama Ake mtu tena 😂😂😂Kweli kabisa
Nimetoka kuona majibizano yamejaa matusi mazito ya nguoni na viungo vya binadamu.
Yaani baba na mama wa mtu wametukanwa kisawasawa.
Hii sio JF ile iliyojaa staha!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah wee lol.Duh kumbe humu tunachart na watoto zetu sema haina mabega [emoji12][emoji23]
Huyo uwoya nae kilaza tu hajui kuna sponsa kukata kambaHahaha, aise kweli sahvi kuna washamba wamevamia wanasumbua tu
Ila kuna wanawake walikuwa maarufu wanaishi
Low profile na wako vizuri tu
Siyo hawa wanaogawa na kurusha hela kama wendwzm
Ova
Yuko kwao, Ngulyati huko, kata ya GambosiUyo mtu mara ya mwisho alikuwa akifanya kazi NBC sijui sasa hivi yuko wapi
Khm hiyo kuna mtaa wa calfonia, actually ni barcalfonia ya marekani au calfonia ya shithole country?
Ng'ombe walikufa sana kwa kukosa chakula na walishuka bei hadi 50,000[emoji3][emoji3]2003 ulikuwa na miaka mingapi!?
Ulikuwa mwaka mbaya sana sababu ya ukame mvua ziligoma kunyesha kelele kila kona mgao wa umeme mkali .
Ha ha umenikumbusha mbali eti Now Open,wewe unamfahamu vizuri inawezekana hata sigara kubwa alikua anapiga ni moja ya ma Miss sikuelewa vigezo gani vilitumika alikua mfupi na chain smokerdah namkumbuka huyu miss tulikuwa tunacheza naye sana pooltable pale " now open" mabibo hostel , ila alikuwa ananiboaga na mifegi yake, alikuwa mpole sana wala hana makuu, sylivia na hisi atakuwa miss tanzania mfupi kulipo ma miss tz wote
Yule miss mwingine Angela Damasi sijui naye kapotelea wapi
Somo hapo juu linaeleweka.
Sylvia was my role model. Cha ajabu hata sijui yuwapi na unapompenda MTU kama role model wako walau uweze kumfuatilia. Na kama ameingia kwenye masuala binafsi na familia basi inakuwa kawaida kuweza hata kukutana naye kikawaida. Nampenda Sana Sylvia Bahame aliyewahi kuwa Miss Tanzania.
Huyu dada aliolewaSomo hapo juu linaeleweka.
Sylvia was my role model. Cha ajabu hata sijui yuwapi na unapompenda MTU kama role model wako walau uweze kumfuatilia. Na kama ameingia kwenye masuala binafsi na familia basi inakuwa kawaida kuweza hata kukutana naye kikawaida. Nampenda Sana Sylvia Bahame aliyewahi kuwa Miss Tanzania.
Ooomg Sylvia ni mfupi? No please...yaan kama unajua height yake tell me. Sijawahi kuona Miss mfupidah namkumbuka huyu miss tulikuwa tunacheza naye sana pooltable pale " now open" mabibo hostel , ila alikuwa ananiboaga na mifegi yake, alikuwa mpole sana wala hana makuu, sylivia na hisi atakuwa miss tanzania mfupi kulipo ma miss tz wote
Yule miss mwingine Angela Damasi sijui naye kapotelea wapi
nahisi hujaelewa statement yangu vizuri , for your information namfahamu huyo sylivia bahame , kwa mtazamo tu ukimlinganisha na ma miss wengine mf anjela damasi , jaqueline , yeye ni mfupiOoomg Sylvia ni mfupi? No please...yaan kama unajua height yake tell me. Sijawahi kuona Miss mfupi