Cornwallis
JF-Expert Member
- Oct 30, 2022
- 940
- 853
- Thread starter
-
- #61
Personal attackHuna lolote unalojua wewe pamoja na kufatilia hili jukwaa kwa miaka miwili bado hujapata kitu cha kutushawishi zaidi ya kutaka watu wakujazie comments Tu "NI KIJANA KIMWILI ILA KIFIKRA WE NI MZEE TENA KIKONGWE" Huna tofauti na mtoto aliyetoka kuachishwa kunyonya na mama yake
Huwezi kuelewa kwa sababu ndo akili yako ilipoishia kuelewaHakuna nguvu inayohusika kwenye usingizi.
Labda kama sijaelewa unavyosema nguvu unamaanisha nini.
Mimi kama sijui chanzo changu ni kipi kunafanya jibu liwe Mungu?Kujua kama kuna Mungu wala sio complex issue.
Ipo hivi.. Mungu=Muumba(aliyekuumba wewe, huyo ndiyo Mungu wako)
Labda kama useme wewe haujaumbwa umejileta mwenyewe hapa duniani na wazazi wako uliwaleta wewe hapa duniani, na wazazi wa wazazi wako uliwaleta wewe hapa duniani. Labda ikiwa hivyo unaweza ukasema hakuna Mungu. AHSANTE
Kama maswali unayoulizwa umeshindwa kuyatolea majibu na bado unahitaji hoja hujioni kama unahitaji kufunguliwa ufahamu wako huo uliofungwaPersonal attack
Huwezi kujadili hoja unamjadili mtu.
Kwanini kuhoji dhana yenye utata kuhusu mungu iwe ujinga,?Hii mijadala ya kumchokono chokonoa Mwenyezi Mungu iishe sasa. Dhana ya Uwepo wa Mungu ipo kiimani zaidi. Mambo ya kusema eti nani alimuumba Mungu ni ujinga na ukosefu wa kuelewa mambo mengine.
Yai na kuku kipi kilitangulia. Tuanzie hapo kwanza. Maana hii hapiop kiimani.
Nifungue ufahamu wangu.Kama maswali unayoulizwa umeshindwa kuyatolea majibu na bado unahitaji hoja hujioni kama unahitaji kufunguliwa ufahamu wako huo uliofungwa
Mungu tusiye muona ni sawa na kueleza kitu tusicho kiona. mada imeishia hapo
Ni vyema mkampa jamaa majibu yenye mantiki kuliko hivi vitisho.Mungu anakuzoom tu unavyojishongondoa humu ngoja zamu yake ifike utajamba upepo sio upepo hewa sio hewa
Unajikanyaga si umesema Mungu kaandika kitabu? Ebu rudia kusoma Uzi wako.Umeielewa hoja yangu mkuu?
Mimi sijaleta hoja yoyote mezani, wala sijasema Mungu hayupo....simply mimi nimesema tu hivyo vitu ulivyokuwa unasema kama jinsi jicho linaweza kuona rangi,sijui utumbo kula ugali, mechanisms zake zinajulikana na ni vitu biological kabisa.Kwasababu hojayako ilijielekeza kwa Mungu na mwanadamu so siwezi kuuliza kwa kutumia "nini" ila ukitaka naweza kukuuliza pia
Nini kilitengeneza au kiliweka hizo mechanisms?
Dogo usitafute sifa kupitia MUUMBA wako, kama nilivyokushauri hapo juu uvitazame na utafakari ni namna gani vingeweza kuwepo bila nguvu ya uumbaji na haujatilia maanani.Unadhani uwepo wa nyota utapingana vipi na madai yangu hapo juu?
Hakuna vitisho hapo mkuu...utatishika vipi na kitu cha kufikirika?Ni vyema mkampa jamaa majibu yenye mantiki kuliko hivi vitisho.
Kama sijui hizo nyota zilitokea vipi hakufanyi jibu liwe ni mungu...kitendo cha kukimbilia kusema ni mungu ni uvivu wa kufikiri hivyo unaamua kutafuta jibu jepesi " mungu kaumba"Dogo usitafute sifa kupitia MUUMBA wako, kama nilivyokushauri hapo juu uvitazame na utafakari ni namna gani vingeweza kuwepo bila nguvu ya uumbaji na haujatilia maanani.
Kama tu ambavyo huwezi kuyageuza macho yako na kukitazama kisogo chako tambua pia fikra na akili zako zina ukomo, hivyo utakuwa sahihi sana kuamini uwepo wa MUNGU.
Nimekuuliza swali hujajibu.Unajikanyaga si umesema Mungu kaandika kitabu? Ebu rudia kusoma Uzi wako.
Bora umwamini tu, hata kama kweli hayupo haudhuriki, kuliko kutomwamini na ukamkuta kwenye kiti cha hukumu!Mimi ni kijana ambaye Kwa muda wa miaka 2 nimekuwa nikifatilia mijadala mbalimbali hapa Jf katika jukwaa hili la intelligence. Moja ya mijadala ambayo imekuwa ikinivutia sana ni hii ya dhana ya uwepo wa Mungu.
Swali kubwa ambalo nimeku wa nikijiuliza ni " Mungu alitoka wapi"
Baada ya kuisoma sana biblia na Quran pamoja na kuwahoji viongozi mbalimbali wa dini, hatimaye nikapata jibu la swali lililonitatiza muda mrefu, Mungu alitoka wapi?
Nimegundua kuwa muumba wa Mungu ni mwanadamu. Yes mwanadamu kama Mimi na wewe ndiye aliyemuumba Mungu.
Kwanini nimefikia hitimisho hilo?
Vitabu tunavyoaminishwa kuwa ni vya Mungu mkuu asiyeshindwa na kitu ( biblia & Quran) ni vitabu vyenye makosa mengi sana ya kimantiki na habari nyingi zenye utata, jambo ambalo tusingetegemea liwepo katika kitabu kilichoandikwa kwa muongozo kutoka kwa Mungu mkuu mwenye uwezo asiyeshindwa na kitu.
Uwepo wa habari hizo zenye utata zinadhihirisha moja kati ya mambo yafuatayo.
1. Mungu hana ukuu tunaoambiwa ndio sababu ameshindwa kutoa mwongonzo mzuri katika kuandika kitabu kisicho na makosa ya kimatinki.
2. Habari hizi ni zao la fikra za mwanadamu aliyeishi katika zama za giza na ujinga. Mwanadamu ambae alitaka kutafuta majibu mepesi katika maswali magumu yaliyomzunguka ndio sababu zina utata.
Kama jibu ni 1 basi Mungu mkuu asiyeshindwa na kitu hayupo Bali aliyepo ni dhaifu na mbabaishaji aliyeshindwa kuandika vizuri kitabu kinachomuelezea yeye mwenyewe.
Kama jibu ni 2 ,basi Mungu mkuu asiyeshindwa na kitu hayupo ndiyo sababu akatokea mtu akatunga habari kutokana na fikra zake mwenyewe. Angekuepo asingeruhusu magepu katika fikra za mwanadamu ambayo yamepelekea mwanadamu huyo kujitungia majibu mepesi na habari zenye utata ili kuziba hayo magepu katika fikra zake.
Pointi zote mbili utaona zinaonyesha kuwa Mungu mkuu asiyeshindwa na kitu mjuzi wa yote hayupo Bali " ama aliyepo ni dhaifu,mbabaishaji na asiye na uelewa wowote kuhusu ulimwengu, ama dhana nzima ni hadithi ya kutungwa katika fikra za mwanadamu aliyeishi katika zama za ujinga na kukosa access ya taarifa mbalimbali.
Nawasilisha.
Sawa mkuu mimi pia nafatilia comment za watu.Hakuna vitisho hapo mkuu...utatishika vipi na kitu cha kufikirika?