Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi ni ndinye au dinye?Si nije nikundinye atiii?
Lodge au home ? mkuu usijekua umelewa hujitambuiNdo nimeenda lodge kulala
Toba Yaraby!Why mrembo?
Au ww ndo Mama John mwenye bar ya hapo mbelembele
Siwezi kusema, sikukuu njema Mkuu.Sasa ulisema upo karibu na micassa ni wp hapo, zambezi au?
Nimetoka dance club mwenge sasa hivi naelekea kijichi gateway maana ndio karibu na ninapoishi sitaki kulewa nikiwa mbali na geto. Aliyepo kijichi tuchekiane mimi nakunywa serengeti tu
Ahahaha wanywaji mmekutanaMkuu nipo apa gateway apa kwenye masofa[emoji38]
Ajira ushapata?
Mkuu unataka kusemajeAjira ushapata?
Mimi nipo hapa kwenye pool table. Umevaaje mkuu nije kukuonaMkuu nipo apa gateway apa kwenye masofa[emoji38]
SijalewaaaaUyu kashalewa mimi nipo hapa hapa alipo mimi namuona ila yeye hanioni[emoji38][emoji1787][emoji1787]