Kabisa mkuu. Kila kitu kwa kiasi. Usijishushe ukadharauliwa ila pia usijipandishe watu wakaamini huhitaji msaada, umekamilika.Dah!.... hatari hii...
Ila kuna mazingira inabidi ujiweke 'low profile ' Ili uishi ila usijishushe kupindukia.
Wakuu Mimi naomba hiyo PDF ya serikali yenye muongozo wa malipo ya Perdiem kwa siku ili watu tujue,, isije ikawa tunapigwa mzee kumbe Perdiem ni hela nyingi si tunaandika kiduchu😃Jibu ni ndiyo.
Na zinatofautiana pia na mkoa/ jiji
Perdiem ya mkoa haifanani na perdiem ya jiji.
Serikalini sijui
Wakuu Mimi naomba hiyo PDF ya serikali yenye muongozo wa malipo ya Perdiem kwa siku ili watu tujue,, isije ikawa tunapigwa mzee kumbe Perdiem ni hela nyingi si tunaandika kiduchu😃Jibu ni ndiyo.
Na zinatofautiana pia na mkoa/ jiji
Perdiem ya mkoa haifanani na perdiem ya jiji.
Serikalini sijui
Eti "At least kidogo"Kwanza kajifunze maana ya neno 'at least'
Aisee!Sahihi huko hata akitongozwa kwenye elfu 80 atapata MTU WA maana kuliko huko kwenye vilofa katoka navyo ofisini vilala guest za elfu 40 vibahiili vibana hela Ku save
130,000 nayo ni hela hata ukisema Una save yote unalala kwenye mtaro utajenga ghorofa?
Mleta mada ana pepo la umaskni hongera Kwa huyo dada Kulala chumba cha elfu 80
Mungu amjalie kama hajaolewa apate wa kumuoa WA kiwango hicho cha elfu 80 sio WA kiwango cha elfu 40
Angekua mwanaume shangao lako lingekuwa la maana..ila kwa wanawake..Mtu ni mfanyakazi kama wewe hasa wadada mmepewa per diem za kawaida kabisa rate hizi hizi za night za 130,000 cha ajabu mnafika mkoa unashangaa mdada anaenda kulala lodge ya 80,000 aisee hatupangiani maisha lakini je Kwa maisha gani hayo unakuta nyumbani kaacha hela ndogo tu lazima uangalie na ulipotoka..angalau ingekuwa umepata hela kubwa za miradi ila sio allowance za hizi activities za kila siku.. At least kidogo ukilala ya 40000 me sitashangaa.. Ila nacho fikiria hawa wadada wanakuwa na mitego yao mingine kunasa ma sponsor sio bure..
Sisi tunalipiwa 5 star hotel, plus daily allowances. Kila mfanyakazi ana master card kwa ajili ya kulipia malazi. Ukiwa nje ya nchi unaitumia pia kwa malipo ya taxi na public transportHuo sasa mkuu ni wivu! Hivi unajua kuna mashirika mengine yanawalipia hotel watumishi wao?
mi nalala eti had laki nalalaMtu ni mfanyakazi kama wewe hasa wadada mmepewa per diem za kawaida kabisa rate hizi hizi za night za 130,000 cha ajabu mnafika mkoa unashangaa mdada anaenda kulala lodge ya 80,000 aisee hatupangiani maisha lakini je Kwa maisha gani hayo unakuta nyumbani kaacha hela ndogo tu lazima uangalie na ulipotoka..angalau ingekuwa umepata hela kubwa za miradi ila sio allowance za hizi activities za kila siku.. At least kidogo ukilala ya 40000 me sitashangaa.. Ila nacho fikiria hawa wadada wanakuwa na mitego yao mingine kunasa ma sponsor sio bure..
acheni hizo , si kila mwanamke anategemea kulipiwa lodge sijui na mwanaume. Tuko ambao hatujawahi kulipiwa. Kwanza kwa nini nilipiwe ili hali napewa perdiem na shirika?Usishindane na mwanamke.
Hawanaga Cha kupoteza.
Mpaka anasafiri, tayari anakua keshalipiwa Lodge .
Naona mshikaji bado ana mhemko, papara,mchecheto, ulimbukeni, ushamba n.k kwenye ajira yake mpya! Inaonekana alisota sana mtaani! Pitia mada zake utaona majivuno,dharau na kiburi kisa kapata kazi!Wanaoishi na wewe kazi wanayo tena kubwa!!
Naona huyu jamaa anajizima data tu!Sisi tunalipiwa 5 star hotel, plus daily allowances. Kila mfanyakazi ana master card kwa ajili ya kulipia malazi. Ukiwa nje ya nchi unaitumia pia kwa malipo ya taxi na public transport
Asante expert🤣Hela ya perdiem sio ya kununulia tofali mjomba 😂😂 pumzisha mwili huo ufanye kazi kiufanisi, kesho wakutoe tena kazi za nje ulambe perdiem nyingine.
Si ndio hapo. Kupangiana maisha tuNaona huyu jamaa anajizima data tu!
Anayelala nae ndo analipa lodge bro!!unashangaa mdada anaenda kulala lodge ya 80,000
Hapana, mimi nipo kati ya hao 8😊Mnaweza Mkuu, ila Kwa namba huenda ni 2 kati ya 10.
Wewe utakuwa kati ya hao wawili 🤗