Unamiliki iPhone ya macho matatu wakati hata kiwanja huna, wewe ni bure tu

subiri nirudi.
mimi na miliki iphone 12 pro max,XR,iphone 6,LG v40 na kandinga na najenga.
sasa kumiliki visimu vikufanye nini labda ukaonge pesa
 
Tofautisha need na necessity.Kuna aina za watu neno kiwanja kwao walishavuka zamani hawahitaji kununua kiwanja hata kama hana lakini familia yao ina uwezo wana viwanja vingi sana hawezi kuwaza ushombo wa kitu kiwanja.Tembea uone mengi mtoa mada hujatembea.

Hivi unajua Marekani,Ulaya kwa kwetu Africa nenda tu hapo Kenya na Ushelisheli unakuta viwanja hakuna na hata sehemu ya kuzikwa hana unafikiri mtu kama huyo atajitesa asiwe na simu nzuri kisa hana kiwanja.Umasikini wako wa kimawazo usimtie mtoto wa mwenzio.Ulaya kuna watu hata hatua moja ya kujenga hawezi pata lakini ana usafiri hii sio need ni necessity.

Simu zimefikia mahali sasa sio luxury ni necessity.Wakati simu za mkononi zinaingia miaka ya mwanzo ya 90 ukiwa na simu ya mkononi tu mtu anakuzodoa utamilikije simu huna kiwanja.Simu sasa hivi ni kila kitu ni computer na ni ofisi unayotembea nayo.Sasa hivi unaweza omba chuo au hata kukata ticket ya ndege au kulipia maji au umeme kwa kutumia tu simu.

Hivi hawa Watanzania wenzetu wenye asili ya Asia unaweza niambia wanashobokea viwanja vya kazi gani wakati wanaishi mjini nyumba za msajili cha muhimu kwake ni usafiri na mawasiliano.

NARUDIA TENA UNALOWAZA WEWE MWINGINE ATAKUONA BADO UKO KWENYE UJIMA DUNIA YA OLD STONE AGE.ULAYA NA MAREKANI WATU HAWAWAZI KUJENGA VIWANJA HAKUNA VIMEHODHIWA NA MATAJIRI WANACHOWAZA NI KUWEKA LEASE LABDA YA MIAKA 99 AU KUNUNUA APARTMENT.
 
Acha iconnectiwe, na ndio maana halisi ya tecnology.
 
Nadhani ungekuwa kwanza unachunguza kama ni Fake au original maana iPhone fake mpaka 10,000 unapata.Mwisho wa kuwasilisha

jihadharini tanzania simu nyingi za iphone ni fake. au used. bei zake nirahisi sana kuliko dubai hapo ndio utaona ajabu
 
Wenye akili watakuelewa wasio nazo watabaki kubwabwaja tu.
 
To each his/her Own....

So long as hawakupigi mizinga.., utakuwa unafuatilia maisha ya watu..., By the way unajua wote tukimiliki viwanja havitoshi ?
 
Kama umemuelewa mtoa mada uza hiyo cm njoo vigwaza upate kiwanja mita mia mbili kutoka moro rd
 
Kama umemuelewa mtoa mada uza hiyo cm njoo vigwaza upate kiwanja mita mia mbili kutoka moro rd
 
Umenikumbusha mkuu,ile siku ya Yanga day nilienda zangu hukohuko kisemvule basi nikawa nachek mechi kwenye ki grosaly flani hivi ,kuna jamaa alikuwa anatafuta mteja wa kiwanja alikuwa anakiuza kwa laki 5 yaani nilishtuka sana
Ndo wapi kinsemvule jmn
 
toa icho kistika cha apple mkuu kama inawezekana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…