Unamuogopa mwanamke au mwanaume wa aina gani kwenye mahusiano?

Hii ni mbaya Sana sometime inawaharibia taswira hata kama mtu anataka relationship yenye malengo anahailisha mwanaume yoyote ukitaka kumfaidi epuka hulka au njaa za ovyo kuwa smart kichwani atakuwa anakupa yeyemwenyewe bila sometime hata kumuomba tofauti na hapo atakuona ni mdangaji hiyo mbinu sio nzuri kutokana na tafsiri ya Wanaume
 
Tatizo mkiachwa nanyi mnajisahau πŸ˜‚

Muhimu kila mtu ashinde mechi zake za mtaani..

Mitandani humu tunadanganyana sana
 
Tatizo mkiachwa nanyi mnajisahau πŸ˜‚

Muhimu kila mtu ashinde mechi zake za mtaani..

Mitandani humu tunadanganyana sana
Huyo ambaye ukimuacha kumuomba anajisahau ujue huyo akupendi Mwanaume akipenda anapenda kutoa labda itokee akiwa hana
 
Wanakimbia majukumu madogo madogoπŸ˜‚
 
Me ubahili unatibika vizuri tu na hela unatoa, ila mwanaume mkatili simuwezi......
 
Mropokaji, Ombaomba, Tapeli tapeli na Malaya aka mvaa vikuku
 
Tatizo watoto wa kike wanadhani akitoa mbunye tu ndio anastahili hela! πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mwanamke mzuri.. alafu mvivu huyo huwa anakuwa kama lile bomu la kurusha na mkono [emoji23]

Anytime anaweza kukulipukia..

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
 
Tatizo watoto wa kike wanadhani akitoa mbunye tu ndio anastahili hela! πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Wanajua eti hatuchomoi kwenye mbusu hahaha, wanadinganya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…