Uchaguzi 2020 Unapomwita binadamu mwenzako Msukule mbele ya vyombo vya habari unataka Taifa ligawanyike upate nini?

Uchaguzi 2020 Unapomwita binadamu mwenzako Msukule mbele ya vyombo vya habari unataka Taifa ligawanyike upate nini?

Humphrey Polepole tulihasa asiruhusiwe kuendelea kutumia media, anachofanya siyo siasa nikuwalisha sumu ya mpasuko wanaomsikiliza.

Uwezi kumwita mgombea na binadamu mwenzako MSUKULE ukadhani unaimarisha chama, unakiua. Unaondoa roho wa utii miyoyoni mwa wapiga kura. Unaondoa utu unajivika unyama kwa madaraka yakupita kwanini?

Leo chadema wakiwahita ccm misukule patakalika au ndo maelekezo yatatolewa kwa vyombo vya ulinzi?

Viongozi wa dini mnayaona haya? Tume mnayaona haya? Wazee mnayaona haya?

Wananchi wamechoka kusikia Lisu amefanya hiki na kile wanataka kuambiwa mtafanya nn?

Kama amna familia sisi wengine familia tunazo na tunahaki yakuzilinda, Kama mna nchi yakwenda kwa uwezo wenu wa kiuchumi cc hatuna pakwenda. Msituvuruge kwa kushindwa kwenu kutambua wananchi wanataka nn
Kwa maoni yangu nadhani aendelee hivi hivi kaharibu namatokeo yake watayapata 28/10 tutakuja kumshukuru kwa kazi yake nzuri yakukiua chama chake kwa msomi wake
 
siasa za itikadi&uenezi zilimfaa Nnape, ila hawa akina polepole hawafai hata kuwa mabalozi wa nyumba kumi kumi.
 
Msukule anakuwa rais ila mtoa maamuzi ya nini kifanyike ni Amsterdam
 
  • Thanks
Reactions: Ole
Si ndio furaha yako ccm ishindwe sasa unashauli nini?
 
Conspiracy theory ya Lumumba.
Amepandikiziwa implants zinazo ripoti Ubelgiji moja kwa moja, Kama kawaida ya misukule hupandikiziwa mitambo kama hii.
Kama huamini , mwacheni na mzuieni asisafiri kwenda Ku recharge system utamuona .
 
CCM inafika mwishoni hivyo tuweke nguvu zetu karibu kuna tukio linakuja ni hapo hapo pa kumalizia mambo msiwe na hofu kuweni hodari.
Naomba niki diclare kuwa mm Sina chama chochote isipokuwa kumuita mgombea uraisi wa Tanzania ni "msukule" hapa naona umekosea.

Km umeamua kusema ukweli Basi usitukane
Hao matusi ndio asili yao umemsahau asha bakar jee umemsahau mkapa

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
CCM is dead and gone.
Msukule huendeshwa kwa remote kutoka ubelgiji
Msukule huendeshwa kwa remote kutoka ubelgiji
Hiyo yote ni mipango ya Mungu. Huyu polepole yupo ili litimie lililokusudiwa. Mungu amemuweka ili afanye maudhi, akere watu, apandishe hasira ili wapigakura wafanye maamuzi yaliyosahihi.
Kumbuka kutukana hakuongezi kura za anayetukanwa, huenda zitamnufaisha anayetukanwa.
Polepole anamharibia mgombea wa CCM badala ya kumsaidia. Kama hawajaweka msemaji mwingine, CCM wataendelea kupoteza.
Hilo ni tusi, msukule ni mtu aliechukuliwa kichawi
CCM iko kwenye stage ya mwisho kupotea kwenye ramani

Wamekuwa kama kakikundi kadogo ka wavuta bangi wasio na mwelekeo wowote. Kwa kifupi wamekata tamaa
Hizi ni dalili za kushindwa kumjibu mpinzani wako kwa hoja au kufahamu kuwa mpinzani wako ana uwezo mkubwa wa kufikiri kuliko wewe. Unatumia personal attacks.
 
CCM iko kwenye stage ya mwisho kupotea kwenye ramani

Wamekuwa kama kakikundi kadogo ka wavuta bangi wasio na mwelekeo wowote. Kwa kifupi wamekata tamaa

Dalili ya mvua ni mawingu! Wakitoboa mwaka huu basi kiama chao ni 2025! Hawa wanafiki wote wanao msujudia malaika wakati huu, utashangaa watakavyo mgeuka wakati wa vuguvugu la uchaguzi mkuu wa 2025!

Inaleta sana raha kuona eti CCM inaelekea kuzimu!! Kikundi cha hovyo sana hiki kiwahi kutokea duniani na pia ndani ya nchi yetu.
 
Amepandikiziwa implants zinazo ripoti Ubelgiji moja kwa moja, Kama kawaida ya misukule hupandikiziwa mitambo kama hii.
Kama huamini , mwacheni na mzuieni asisafiri kwenda Ku recharge system utamuona .
Kwahiyo siku tano bila mgombea wetu JPM kufanya kampeini alikua anachaji akili au nini mkuu?
 
Naomba niki diclare kuwa mm Sina chama chochote isipokuwa kumuita mgombea uraisi wa Tanzania ni "msukule" hapa naona umekosea.

Km umeamua kusema ukweli Basi usitukane

Ccm wamepanick, waachwe waongee chochote watakacho ili kuchanganyikiwa kwao kuwe wazi kwa kila mtu. Wakizuiwa wataona kama wamewaumiza wapinzani. Kwa sasa wanajua kabisa ushindi wao sio kama walivyotegemea na hatari ya kupoteza iko wazi, sasa lazima wahamie kwenye matusi.
 
Naomba niki diclare kuwa mm Sina chama chochote isipokuwa kumuita mgombea uraisi wa Tanzania ni "msukule" hapa naona umekosea.

Km umeamua kusema ukweli Basi usitukane
Haya makosa ya kiungonzi na ndo maana vijana kwenye huongozi bado tuna mapungufu,maneno Kama haya kwa nafasi ya pole pole aliyonayo ndani ya chama chake si yakutumia,haya alitakiwa kuwaachia vijana wake kwenye mitandao waparuane na vijana wenzao wa Cha chadema hukohuko ,
Ccm mnakesea Sana ,na mnazidi haribu pakubwa na muhalibia mgombea wenu, pole pole hustahili hongea maneno Kama haya kwa level ya uongozi wako ndani ya chama chako,unamuitaje mgombea mwenye wafuasi wa kutosha msukule,maana nyingine umewatukana watanzania ,wastahili kuomba radhi kwa watanzania
 
Hiyo yote ni mipango ya Mungu. Huyu polepole yupo ili litimie lililokusudiwa. Mungu amemuweka ili afanye maudhi, akere watu, apandishe hasira ili wapigakura wafanye maamuzi yaliyosahihi.
Kumbuka kutukana hakuongezi kura za anayetukanwa, huenda zitamnufaisha anayetukanwa.
Polepole anamharibia mgombea wa CCM badala ya kumsaidia. Kama hawajaweka msemaji mwingine, CCM wataendelea kupoteza.
Andika kwa kutulia.

Sent using Jamii Forums mobile app by My phone

[/url] Eti nabakia Africa. [/url]
 
Dalili ya mvua ni mawingu! Wakitoboa mwaka huu basi kiama chao ni 2025! Hawa wanafiki wote wanao msujudia malaika wakati huu, utashangaa watakavyo mgeuka wakati wa vuguvugu la uchaguzi mkuu wa 2025!

Ina inaleta sana raha kuona eti CCM inaelekea kuzimu!! Kikundi cha hovyo sana hiki kiwahi kutokea duniani na pia ndani ya nchi yetu.
Sio 2025 mkuu! Mwaka huu watatema ndoano
 
Back
Top Bottom