Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nendeni mkagongwe nae huko ubelgiji ila hapa TZ ni hapana.Katiba yako hapo gheto unapovuta Bangi na kupakatwa ukiendeleza ushoga wako? au katiba ya Tanzania? wewe ndiyo umeonja na kulegezwa malinda mpaka kujitoa fahamu kuwa Sheria kali ingekuwa hata wewe usingefanya ushoga hapo gheto kwa cyprian Musiba unaposhinda ukivuta Bangi kisha kuja kusumbua watu mitandaoni na ujinga wako
Hayo ni maoni yakoHumphrey Polepole tulihasa asiruhusiwe kuendelea kutumia media, anachofanya siyo siasa nikuwalisha sumu ya mpasuko wanaomsikiliza.
Uwezi kumwita mgombea na binadamu mwenzako MSUKULE ukadhani unaimarisha chama, unakiua. Unaondoa roho wa utii miyoyoni mwa wapiga kura. Unaondoa utu unajivika unyama kwa madaraka yakupita kwanini?
Leo chadema wakiwahita ccm misukule patakalika au ndo maelekezo yatatolewa kwa vyombo vya ulinzi?
Viongozi wa dini mnayaona haya? Tume mnayaona haya? Wazee mnayaona haya?
Wananchi wamechoka kusikia Lisu amefanya hiki na kile wanataka kuambiwa mtafanya nn?
Kama amna familia sisi wengine familia tunazo na tunahaki yakuzilinda, Kama mna nchi yakwenda kwa uwezo wenu wa kiuchumi cc hatuna pakwenda. Msituvuruge kwa kushindwa kwenu kutambua wananchi wanataka nn
Polepole Ame neutralize maana lissu naye kaitwa tume ya maadili ya nec, kawa preempty NecNaomba niki diclare kuwa mm Sina chama chochote isipokuwa kumuita mgombea uraisi wa Tanzania ni "msukule" hapa naona umekosea.
Km umeamua kusema ukweli Basi usitukane
Mlisema upinzani umekufa,sasa hivi mnatapatapa,Nendeni mkagongwe nae huko ubelgiji ila hapa TZ ni hapana.
Na.mtakufa kwa jazba
Sisi huku nguvu za kiume zipo za kutosha,
Mbona Lisu anaita utendaji wa serikari kuwa wa kishenzi na hamjamwambia aache kutukana maata waofanya hizo kazi ni watu pia wana familia.Naomba niki diclare kuwa mm Sina chama chochote isipokuwa kumuita mgombea uraisi wa Tanzania ni "msukule" hapa naona umekosea.
Km umeamua kusema ukweli Basi usitukane
Mara nyingi kama si mara zote hakuna ukweli unaoambatana na matusi, ukishaona kuna matusi na mambo kama hayo basi ukweli huo huwa ni wamashaka na usishangae ukawa ni uongo😀Naomba niki diclare kuwa mm Sina chama chochote isipokuwa kumuita mgombea uraisi wa Tanzania ni "msukule" hapa naona umekosea.
Km umeamua kusema ukweli Basi usitukane
Siyo Makonda tena?Polepole ndiye alisuka njama za kumuua Tundu lisu, polepole ndiyo alitengeneza dili la kuwanunua wabunge madiwani kurudia chaguzi ndogo ndogo upya akapiga pesa nyingi kwenye manunuzi na kampeni zote, polepole katumia fursa ya mtukufu magufuli kuichukia chadema kujinufaisha kiuchumi, amekuwa akimchochea mtukufu magufuli atoe pesa za kuihujumu kuidhoofisha chadema na ndipo hupiga cha juu humo humo ni mmoja wa wanufaika wa mfumo kandamizi unaominya demokrasia na kuendekeza udikiteta wa kishamba
Tayari CCM wana deni kubwa kwa watanzania wametafuna pesa zao nyingi kwa kazi zisizo na tija kwa Taifa, kabla hawajatangaza wataifanyia nini Tanzania ni vyema warejeshe pesa zote walizochukua Hizina kienyeji zikiwemo za kujenga chato Airport kienyeji pasipo idhini ya bungeMlisema upinzani umekufa,sasa hivi mnatapatapa,
Na bado kampeni hazijafika ha nusu,zimebaki siku 30,mtaongea lugha zote mwaka huu.
NB:
Jikiteni kwenye hoja,muwaeleze mtawafanyia nini watanzania ili maisha yao na wajipatie kipato.
Lazima haya yatokee kabla ya Tetemeko la 56.7. ktk siasa zetuHumphrey Polepole tuliasa asiruhusiwe kuendelea kutumia media, anachofanya siyo siasa nikuwalisha sumu ya mpasuko wanaomsikiliza.
Huwezi kumwita mgombea na binadamu mwenzako MSUKULE ukadhani unaimarisha chama, unakiua. Unaondoa roho wa utii miyoyoni mwa wapiga kura. Unaondoa utu unajivika unyama kwa madaraka yakupita kwanini?
Leo CHADEMA wakiwaita CCM misukule patakalika au ndo maelekezo yatatolewa kwa vyombo vya ulinzi?
Viongozi wa dini mnayaona haya? Tume mnayaona haya? Wazee mnayaona haya?
Wananchi wamechoka kusikia Lisu amefanya hiki na kile wanataka kuambiwa mtafanya nini?
Kama hamna familia sisi wengine familia tunazo na tuna haki ya kuzilinda, Kama mna nchi yakwenda kwa uwezo wenu wa kiuchumi cc hatuna pakwenda. Msituvuruge kwa kushindwa kwenu kutambua wananchi wanataka nini.
Bashite alikwenda kutekeleza shambulio lakini mratibu ni polepoleSiyo Makonda tena?
Wew na polepole wako mtakua misukule waandamizi wa jiweMsukule huendeshwa kwa remote kutoka ubelgiji
Mkuu we mwenyewe mbona wanakutafuna Sana.Kiufupi Pole pole kazingua.Huwezi kutetea uchoko ukiwa na akili timamu
Huyo Chakubanga haeleweki kama ni mzee au kijana. Yaani yeye ndiye anapaswa kuitwa msukule.we kapolepole unakaonaje, yani kanavyoonekana tu kimuonekano unakaonaje
Wito kwa watu wote wastaarabu ,wawaadhibu watu was aina take kwenye sanduku la kura.Hiyo yote ni mipango ya Mungu. Huyu polepole yupo ili litimie lililokusudiwa. Mungu amemuweka ili afanye maudhi, akere watu, apandishe hasira ili wapigakura wafanye maamuzi yaliyosahihi.
Kumbuka kutukana hakuongezi kura za anayetukanwa, huenda zitamnufaisha anayetukanwa.
Polepole anamharibia mgombea wa CCM badala ya kumsaidia. Kama hawajaweka msemaji mwingine, CCM wataendelea kupoteza.