Uchaguzi 2020 Unapomwita binadamu mwenzako Msukule mbele ya vyombo vya habari unataka Taifa ligawanyike upate nini?

Uchaguzi 2020 Unapomwita binadamu mwenzako Msukule mbele ya vyombo vya habari unataka Taifa ligawanyike upate nini?

Polepole ni kiongozi mkubwa ccm.kuongea tusi kama hilo umekosea sana. Uwezo unao mkubwa sana mpaka ccm ikakuamini. Maneno hayo waachie vijana wa mtandao ni. AU NDO MAONO YENU HAYA.
 
Mbona humu huwa mnatamka misukule ya Lumumba
Kweli leo ndo nimeamini wewe ni msukule wa Lumumba. Nani wa jamii forum ashawahi kuita media na kutamka hayo maneno isipokuwa polepole tu?
 
Kuna wakati huwa napata shida Sana na uelewa wa polepole. Anashindwa kuitofautisha ccm na vyama vingine ktk uongeaji wake. Nimemwelewa sana
lisu hajajibu hata kimoja alichoongea polepole. Maana yake lisu kadharau yote aliyoongea polepole.
 
Humphrey Polepole tulihasa asiruhusiwe kuendelea kutumia media, anachofanya siyo siasa nikuwalisha sumu ya mpasuko wanaomsikiliza.

Uwezi kumwita mgombea na binadamu mwenzako MSUKULE ukadhani unaimarisha chama, unakiua. Unaondoa roho wa utii miyoyoni mwa wapiga kura. Unaondoa utu unajivika unyama kwa madaraka yakupita kwanini?

Leo chadema wakiwahita ccm misukule patakalika au ndo maelekezo yatatolewa kwa vyombo vya ulinzi?

Viongozi wa dini mnayaona haya? Tume mnayaona haya? Wazee mnayaona haya?

Wananchi wamechoka kusikia Lisu amefanya hiki na kile wanataka kuambiwa mtafanya nn?

Kama amna familia sisi wengine familia tunazo na tunahaki yakuzilinda, Kama mna nchi yakwenda kwa uwezo wenu wa kiuchumi cc hatuna pakwenda. Msituvuruge kwa kushindwa kwenu kutambua wananchi wanataka nn
Polepole ndiye alisuka njama za kumuua Tundu lisu, polepole ndiyo alitengeneza dili la kuwanunua wabunge madiwani kurudia chaguzi ndogo ndogo upya akapiga pesa nyingi kwenye manunuzi na kampeni zote, polepole katumia fursa ya mtukufu magufuli kuichukia chadema kujinufaisha kiuchumi, amekuwa akimchochea mtukufu magufuli atoe pesa za kuihujumu kuidhoofisha chadema na ndipo hupiga cha juu humo humo ni mmoja wa wanufaika wa mfumo kandamizi unaominya demokrasia na kuendekeza udikiteta wa kishamba
 
Aisee Msukule wa Lumumba naomba nichukue nafasi kukupongeza kwa kujitambua kwako.

Kakika misukule yote nchini inapatikana sehemu moja tu; nayo ni hapo Lumumba! Hivyo Humphrey Polepole amekosea kumuita Lissu Msukule.
nmecheka sana kubabeki
 
Naomba niki diclare kuwa mm Sina chama chochote isipokuwa kumuita mgombea uraisi wa Tanzania ni "msukule" hapa naona umekosea.

Km umeamua kusema ukweli Basi usitukane
Polepole anasaidia CCM kukiri kosa. Nakubaliana naye Lissu ni msukule maana walimuua wao kisha kaponyeshwa na Mungu wao wanamuona Kama Mzimu (Msukule).
 
Humphrey Polepole tulihasa asiruhusiwe kuendelea kutumia media, anachofanya siyo siasa nikuwalisha sumu ya mpasuko wanaomsikiliza.

Uwezi kumwita mgombea na binadamu mwenzako MSUKULE ukadhani unaimarisha chama, unakiua. Unaondoa roho wa utii miyoyoni mwa wapiga kura. Unaondoa utu unajivika unyama kwa madaraka yakupita kwanini?

Leo chadema wakiwahita ccm misukule patakalika au ndo maelekezo yatatolewa kwa vyombo vya ulinzi?

Viongozi wa dini mnayaona haya? Tume mnayaona haya? Wazee mnayaona haya?

Wananchi wamechoka kusikia Lisu amefanya hiki na kile wanataka kuambiwa mtafanya nn?

Kama amna familia sisi wengine familia tunazo na tunahaki yakuzilinda, Kama mna nchi yakwenda kwa uwezo wenu wa kiuchumi cc hatuna pakwenda. Msituvuruge kwa kushindwa kwenu kutambua wananchi wanataka nn
Tulieni sindano iwaingie na huyo shoga wenu.
 
Kweli leo ndo nimeamini wewe ni msukule wa Lumumba. Nani wa jamii forum ashawahi kuita media na kutamka hayo maneno isipokuwa polepole tu?
Ni vigumu kwa wapinzani kusema CCM ni msukule kwani watabambikiwa kesi mpaka wazimie
 
Tulieni sindano iwaingie na huyo shoga wenu.
Ushoga unao wewe kwani Bungeni si wabunge wa CCM wapo wengi ni lini walipiga kula kukataa ushoga? Kwa nini wabunge wa CCM hawapeleki mswada Bungeni kupinga ushoga wako?
 
Ushoga unao wewe kwani Bungeni si wabunge wa CCM wapo wengi ni lini walipiga kula kukataa ushoga? Kwa nini wabunge wa CCM hawapeleki mswada Bungeni kupinga ushoga wako?
Swala la ushoga lipo kwenye katiba kwamba mapenzi ya jinsia moja ni kosa.
Sasa ulitaka wabunge wapige kura ya nini wewe shoga?
Mgombea wako inaonekana keshaonja huko sasa anataka na nyie mchanwe malinda
 
Swala la ushoga lipo kwenye katiba kwamba mapenzi ya jinsia moja ni kosa.
Sasa ulitaka wabunge wapige kura ya nini wewe shoga?
Mgombea wako inaonekana keshaonja huko sasa anataka na nyie mchanwe malinda
Katiba yako hapo gheto unapovuta Bangi na kupakatwa ukiendeleza ushoga wako? au katiba ya Tanzania? wewe ndiyo umeonja na kulegezwa malinda mpaka kujitoa fahamu kuwa Sheria kali ingekuwa hata wewe usingefanya ushoga hapo gheto kwa cyprian Musiba unaposhinda ukivuta Bangi kisha kuja kusumbua watu mitandaoni na ujinga wako
 
CCM ni ruksa kuwatukana wapinzani kwa kutumia vyombo vya habari, lakini wapinzani wakitumia vyombo vya habari kuwajibu CCM wanavifungia kwa njia haramu za kishetani, huo udikiteta una mwisho wake ipo siku CCM watajutia upumbavu wao, walikuwepo akina Bokasa, Gadafi, Sadam Hussein, Abacha, chiluba, mabutu, Elbashiri, idd Amin dada leo hii wapo wapi?
 
Back
Top Bottom